Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Hiyo hotel iko wapi babaKujenga hoteli basi anajiona yeye kamaliza mziki vikwazo yeye haumhusu unawahusu Wananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hotel iko wapi babaKujenga hoteli basi anajiona yeye kamaliza mziki vikwazo yeye haumhusu unawahusu Wananchi
Hapangiwi wala hajaribiwi.Mganga wets hapangiwi na wala hajawahi kushindwa na shetani
Ni mkubwa zaidi na anajipigania mwenyeweHapangiwi wala hajaribiwi.
Duh! umenikumbusha JPM?
We nae, eti ushahidi. Kwa mahakama gani iliyo huru useme ushahidi ukitolewa haki itatendeka? Mahakama hizi hizi zilizo chini ya CCM? Just try and use your brain kidogo.Sheria za kumfanya chechote zipo, ila haziwezi kufanya hivyo kama hakuna ushahidi
Wengi wa wanaomtuhumu huyo jamaa hawana ushahidi, bahati mbaya hata marekani wameingia kwenye mkumbo huohuo, wamesema wana ushahidi wa kutosha ila hawautoi ili utumike kumfanya chechote.
What about wanaowapa hizo mimba? Wana akili au?Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
View attachment 1346418
No, you should think again. And this time use your brain to think. You don't even understand the argument here, unaropokwa tu. Wapi Zitto amesema mimba zi halalishwe? Hivi mnaakili kweli nyie au ni uvivu wa kufikiri au ndio kukosa elimu bora? Who in their right mind can "halalisha mimba mashuleni"?. What normal people are fighting for here is for the girl child to be able to continue with education regardless of the situation. Why do you want to punish the child twice? Hii nchi jamani kiwango cha elimu kinahitaji kuangaliwa upya, yaani ukiangalia nchi za wenzetu, tena sio mbali Kenya na Uganda tu, hawana mijadala ya kipuuzi like this. Museveni alishapitisha law ya kuwaacha watoto waliopata mimba warudi shuleni tangu miaka ya 90s. Kenya wala hawanaga shida ya kipuuzi kama hii kwa vile wanaelewa umuhimu wa elimu kwa mtoto regardless. But come to TZ, here we are.... And mind you, the quality of our education is waaaay lower than of those two countries. Kila kitu kinajieleza nafikiri.Kwani ZZK anataka watoto wa shule kupata mimba iwe ruksa na mtoto akitaka kurudi shule aendelee kusoma?
Sasa watoto wa kike shuleni wakiruhisiwa kupata mimba siwengi wataona ndo style ya shule alafu wawaachie mabibi vijijini kulea vichanga ? Hope ZZK should think again.
Mkubwa Nani? Makonda au wewe? Mimi Sina mkubwa zaidi yangu mwenyewe kwani najipa huduma zote muhimu bila kumshirikisha yeyote! Wewe mwenye wakubwa zako ndio uwe na adabu na unyenyekevu kwa utegemezi uliokuwa nao! Nina taarifa unakula na kuvaa vya lumumba!
😂😂😂
kwamba mahakama haziko huru?We nae, eti ushahidi. Kwa mahakama gani iliyo huru useme ushahidi ukitolewa haki itatendeka? Mahakama hizi hizi zilizo chini ya CCM? Just try and use your brain kidogo.
HAHAHAHivi ile issue ya kuoga kabla ya kwenda town bado inasimamiwa?
DAH BASHITE ANA SUMBULIWA NA MSONGO WA MAWAZO. AMEKUWA MWEHU ANA ROPOKA TUU.... ILA CHENYE MWANZO KINA MWISHO HATA YEYE ANA MWISHO WAKE.Kumbe hao watoto anaoongea nao ni mizigo!?
Na ndio mahakama hizo hizo zinazoshindwa kuamua haki for Kabendera, Tito etc.kwamba mahakama haziko huru?
mbona Lissu alikua anashinda kesi zake kila siku!
Unamfahamu Kambore? Kila siku anashinda kesi kwa mahakama hizi hizi
NB: kinachotakiwa ni ushahidi usio na shaka na si tuhuma za mange kasema.
kwamba hawana hatia?Na ndio mahakama hizo hizo zinazoshindwa kuamua haki for Kabendera, Tito etc.
Vipi yule alimtia mimba kama ni wanafunzi Mwenze aendelee kusoma? Haki iko wapi? Na kama ni raia wa kawaida hatua gani zinachukuliwa dhidi yake?Katika swala Zima la m toto wa kike kupata mimba akiwa bado mwanafunzi wa shule za chini, tunatakiwa kufanya maamuzi ya kutomruhusu kuendelea na shule baada ya kuangalia vigezo vingi kama ifuatavyo.
1. Je alibakwa?
2. Je maendeleo yake yakoje Darasani?
3. Je anarekodi ya tabia mbaya shuleni?
Sheria zinasema usimhukumu mtu bila kumsikiliza.
Kama mto to wa kike ana maendeleo mazuri darasani, hana tabia mbaya lakini alibakwa na kupewa mimba, sisi tunaomfukuza shule akili zetu zitakuwa hazitoshi hata kuvaa nguo. Tutakuwa watembea uchi.
This man is a Stupid pair Of buttocksLeo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
View attachment 1346418