Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

2244444_tapatalk_1567662891357.jpeg.jpg
17353465_1346268955433008_6567779633624083107_n-1.jpg
 
HIYO ELIMU BURE ANAYO SEMA NI FAKE. TANZANIA HAINA UWEZO WA KUTOA ELIMU BURE. HIYO WANA YOITA ELIMU BURE NI DANGANYA TOTO. ELIMU BURE NI KUANZIA USAFIRI, VITABU, KALAMU, CHAKULA KAMA UJI AU SNACKS PLUS TUITION YENYEWE. HICHO WANA CHOITA ELIMU BURE NI UONGO TENA WA MCHANA KWEUPE.
 
Pumbavu sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiye mpumbavu ùnayedhani Tanzania kuna elimu bure. Kufuta mchango wa Tsh 20,000 siyo kufuta gharama ya elimu. Waulize waliosoma Msingi-Sekondari -Vyuo wakati wa Nyerere na Mwinyi 1970-1990 ndiyo wanajua elimu bure.

Hata Magufuli amesoma wakati wa Nyerere mpaka degrii anajua kuwa hiki kinachoendelea siyo Elimu bure.
 
Bodaboda ndo chanzo cha mimba nyingi Sana vijijini anataka kusema nn.Wenye kuweza kumaliza bila mimba ni heri walioshindwa nao wasinyimwe haki ya elimu.Muhimu jamii itoe Sana elimu ya afya ya uzazi wasifichwe wafundishwe madhara ya mimba utotoni
 
Bodaboda ndo chanzo cha mimba nyingi Sana vijijini anataka kusema nn.Wenye kuweza kumaliza bila mimba ni heri walioshindwa nao wasinyimwe haki ya elimu.Muhimu jamii itoe Sana elimu ya afya ya uzazi wasifichwe wafundishwe madhara ya mimba utotoni


Ni kweli kabisa!

Sababu kubwa ni ukosefu wa mabweni kwenye Shule .

Wanafunzi wanalazimika kutembea mwendo mrefu sana wakati wa kwenda na kurudi shuleni.

Usafiri hakuna.

Wazazi/walezi hawana uwezo wa kumfikisha mtoto Shule kwa usafiri wa familia.

Usafiri wa umma hakuna.

Watoto wakike wanapokuwa njiani wakati wa kwenda au wakati wa kurudi hulazimika kuingia ushawishi wa ngono kupitia lifti za waendesha pikipiki na hatimae kupata mimba kama si magonjwa.

Wanafunzi wa kiume wengi huamua kuacha masomo njiani akiwa form 1 au 2 wengi huamua kuacha masomo sababu ya tabu wanayoipata kwenda mwendo mrefu kwa miguu kwenda shuleni na kushinda na njaa [emoji108][emoji108][emoji108]




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa!

Sababu kubwa ni ukosefu wa mabweni kwenye Shule .

Wanafunzi wanalazimika kutembea mwendo mrefu sana wakati wa kwenda na kurudi shuleni.

Usafiri hakuna.

Wazazi/walezi hawana uwezo wa kumfikisha mtoto Shule kwa usafiri wa familia.

Usafiri wa umma hakuna.

Watoto wakike wanapokuwa njiani wakati wa kwenda au wakati wa kurudi hulazimika kuingia ushawishi wa ngono kupitia lifti za waendesha pikipiki na hatimae kupata mimba kama si magonjwa.

Wanafunzi wa kiume wengi huamua kuacha masomo njiani akiwa form 1 au 2 wengi huamua kuacha masomo sababu ya tabu wanayoipata kwenda mwendo mrefu kwa miguu kwenda shuleni na kushinda na njaa [emoji108][emoji108][emoji108]




Sent using Jamii Forums mobile app
True ukiangalia kwa mfano mkoa Wa kilomanjaro takwimu ni ndogo kwa sababu jamii ya kule kwanza ilipunguza distance ya mwanafunzi kusoma mbali wakajitolea kujenga mashule na mabweni plus kuwapa motisha za ziada walimu ili watumie mda mwingi wawe karibu na wanafunzi.Kama jamii ni jukumu letu tuwatatulie changamoto wanafunzi inawezakana
 
Kwa taarifa yake na pia nafikri pia anajua na anamifano hai kama si kutokana na uongozi wake basi kwenye mapito ya maisha! Wako wasichana wengi ambao wamepata mimba na wakarudi shule baada ya kujifungua sasa hivi wanawasomesha watoto wao na wanamaisha mazuri. Na wapo kama wanavyotaka wao hawakuweza kurudi shule lakini sasa hivi na single mothers wanahangaika na maisha.

Lengo la kuwakataza hao watoto ni nini? labda wametenda dhambi sasa adhabu ndio hiyo ya kuwanyima elimu? Ok, Mwisho wa siku unajenga taifa la wasomi au la wajinga? taifa la omba omba au la kujitegemea? Kuteleza siyo kuanguka waachani watoto wenye nafasi waendelee na shule mwisho wa siku wakajitegemee badala ya kuwa omba omba

Wewe ni Lipumbavu la kutupwa.Sikia kwa watu tu kuwa binti yao kapata mimba wakati anasoma primary au sekondari.Usiombe likukute wewe .Huu ni kama msiba mwingine tu. Makonda anaongea yale ambayo yamo kwenye mioyo ya watanzania wengi wenye uchungu na mabinti zao wanafunzi.Siyo kwa sababu Marekani imesema tu basi tumuone Makonda hafai.
Tunamuomba rais asimuondoe Makonda mkoa wa Dar es salaam na 'of course' hana mpango wa kumuondoa kwa sababu za chuki za watu.Simamia yale ambayo kwetu sisi ni haki. Achana na mijipumbavu kama hii ambayo inapenda kulishwa kila kitu.
 
Mkuu nimedhurumiwa IST yangu na demu....msaada kwenye tuta
 
I see his point,

Kwamba Mzazi hawezi somesha mwanafunzi mzazi, huko ni kuongeza umaskini.
 
Tatizo lake na la viongozi wengi hasa awamu hii ni uelewa na ushabiki/kujipendekeza. Hawana juhudi za kusoma tafiti wala kujielimisha katika mambo ya msingi. Wanaopata mimba wakiwa shuleni wengi wao ni watoto yaani under-18. Wengi wao wanasukumwa na umasikini wa familia zao au wanabakwa. Kuwatoa kwenye mzingo wa lindi la umaskini panahitajika juhudi za kuhakikisha wanapata elimu na kufikia ndoto zao. Ni haki yao ya msingi. Kwa kuwabagua au kuwatenga haiwasaidii wao wala vizazi vyao. Taratibu taifa linazidi kudidimia.
 

Attachments

Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.

Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.

View attachment 1346418
Haaah hili dude limeibuka tena jaman,huu ulozi wa wazi kabisa sio kwa kujiamini huko
 
Back
Top Bottom