Ni kweli kabisa!
Sababu kubwa ni ukosefu wa mabweni kwenye Shule .
Wanafunzi wanalazimika kutembea mwendo mrefu sana wakati wa kwenda na kurudi shuleni.
Usafiri hakuna.
Wazazi/walezi hawana uwezo wa kumfikisha mtoto Shule kwa usafiri wa familia.
Usafiri wa umma hakuna.
Watoto wakike wanapokuwa njiani wakati wa kwenda au wakati wa kurudi hulazimika kuingia ushawishi wa ngono kupitia lifti za waendesha pikipiki na hatimae kupata mimba kama si magonjwa.
Wanafunzi wa kiume wengi huamua kuacha masomo njiani akiwa form 1 au 2 wengi huamua kuacha masomo sababu ya tabu wanayoipata kwenda mwendo mrefu kwa miguu kwenda shuleni na kushinda na njaa [emoji108][emoji108][emoji108]
Sent using
Jamii Forums mobile app