Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

Mkuu unahangaika bure hayawezi kukuelewa haya madudu,Bashite ni zero brain
 
TANZANIA HAKUNA ELIMU BURE.... ZAIDI YA KIZINGU MKUTI. ELIMU BURE NI JANGA LA TAIFA
 
lengo ni kuwafanya waseme NO kwa wazee wenye tamaa kama nyinyi [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilani yao ya CCM mbona inasema mtoto wa kike akishajifungua watahakikisha wanarudi kusoma kama kawaida.Sasa RC yupo ACT au CHAdema
 
Inakuwaje mtoto wa shule anapachikwa mimba wakati mimi nimejaribu for.years na ilishindikana kutia goli? Najiuliza tu kimya kimya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…