Pedesheee Amos Makalla ana tatizo gani, Mbona anakumbwa na utenguzi mara kwa mara?

Pedesheee Amos Makalla ana tatizo gani, Mbona anakumbwa na utenguzi mara kwa mara?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza

Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?
 
Hata kule Mwanza alipelekwa kwa kulazimisha tu, alitakiwa kupumzishwa baada ya kuondolewa Dsm.

All in all hizi kazi za kuteuliwa serikalini hazina maana, unalala macho wazi kila siku, labda kwa Nape, Makamba, Mwigulu na Ridhiwani ndio wenye amani awamu hii.
 
Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza

Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?
Furahi sasa chdema haitoletewa figisu tena!
 
Hata kule Mwanza alipelekwa kwa kulazimisha tu, alitakiwa kupumzishwa baada ya kuondolewa Dsm.

All in all hizi kazi za kuteuliwa serikalini hazina maana, unalala macho wazi kila siku, labda kwa Nape, Makamba, Mwigulu na Ridhiwani ndio wenye amani awamu hii.
Jitahidi kuwa na subra

Makala hawezi kuwekwa bench yule Mnyiramba 😂😂😂🔥
 
Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza

Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?

Kaka makala jembe ni mtu mstarabu, kazi maalum yule amepita majiji ya Mbeya dar na mwanza: mikoa katavi na Kilimanjaro huyu kakulia kwenye mfumo na anweza kurudishwa ccm kazi maalum
 
Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza

Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?
Huyo ni mwenezi mpya wa CCM baada ya yule mbwa kuondolewa
 
Back
Top Bottom