Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mnyiramba au Mlugulu?Jitahidi kuwa na subra
Makala hawezi kuwekwa bench yule Mnyiramba 😂😂😂🔥
Utende usitende machawa wakinasa Convo zako umeisha!Yeye aliwekeza sana kwenye kusifia akasahau utendaji
Kiukweli hata Mimi Huwa sielewi japo Kwa kumtuzama Nje Huwa anafanya kazi vizuri.Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza
Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?
Sio kweliYeye aliwekeza sana kwenye kusifia akasahau utendaji
Tulia basi Lema kapelekewa mziki huku gambo kule sabaya!Chadema haijawahi kuogopa figisu za viongozi wa kupita
Makonda kashika sharubu za Don JK kwenda kumpiga biti business partner wako mdogo wa GSM. Siku 2 tu kapigwa demotion🤣🤣🤣🤣.Wapi Papaa Amos Makalla, mutu ya watu! Mutu yenye pesa mingi! Hii Papaa Amos, ndiye itakuwa Katibu yenu muenezi mupya kabisa ndani ya chama. Na kama kuna mutu haiamini, basi imuulize Papaa Jei Kei, rais ya dunia.
Mnyiramba 😂Ni Mnyiramba au Mlugulu?
Hamna watu wengine ? mnazungusha wale waleHuyo ni mwenezi mpya wa CCM baada ya yule mbwa kuondolewa
Mutu ya watu, Roho ya Mungu.Wapi Papaa Amos Makalla, mutu ya watu! Mutu yenye pesa mingi! Hii Papaa Amos, ndiye itakuwa Katibu yenu muenezi mupya kabisa ndani ya chama. Na kama kuna mutu haiamini, basi imuulize Papaa Jei Kei, rais ya dunia.
Ana uwezo gani ?Hata mie nimewaza hili.
John Mrema ana muda gani pale? Benson Kigaila? Mbowe?Hamna watu wengine ? mnazungusha wale wale
Bado anatawala toka kaburini,, na huko Arusha moto unatembea vilevile ,tena baada ya kupata password za kusini watu wajiandaeDomokaya msemaovyo anajiponza, nani kakwambia Mama kizimkazi anamhusudu Mzee cha Chato?
Kabudi tuliambiwa hivyo hivyo , leo kapangiwa wapi ?Anaenda kuwa katibu mwenezi wa CCM soon. Siku zote mtu akitenguliwa inaishia hapo ila huyu wamesema atapangiwa kazi nyingine unajuwa nini kinakuja.
Ni hivi , Makala kapigwa chini , labda akasimamie mashamba ya mananasi ya Rafiki yake JKJohn Mrema ana muda gani pale? Benson Kigaila? Mbowe?
Yaani John Mrema wakati wa krismas wachaga wenzake wanaenda na magari ya kisasa, kenta za bia na mbuzi, yeye anaenda na makoti ya chadema na ilani kwenye mifuko ya lambo, na kiatu imekula tope za msimu wa mvua
Makala mzalishaji mkubwa wa mpunga, tena ana kiwanda cha ku-processNi hivi , Makala kapigwa chini , labda akasimamie mashamba ya mananasi ya Rafiki yake JK
Basi arudi hukoMakala mzalishaji mkubwa wa mpunga, tena ana kiwanda cha ku-process