Pedesheee Amos Makalla ana tatizo gani, Mbona anakumbwa na utenguzi mara kwa mara?

Pedesheee Amos Makalla ana tatizo gani, Mbona anakumbwa na utenguzi mara kwa mara?

Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC , ametumbuliwa kwenye Ukuu wa Mkoa wa Mwanza

Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?
Kiukweli hata Mimi Huwa sielewi japo Kwa kumtuzama Nje Huwa anafanya kazi vizuri.

Mwisho Kila mtu na alivyozaliwa hapa Duniani, wengine Wana damu za kunguni.
 
Anaenda kuwa katibu mwenezi wa CCM soon. Siku zote mtu akitenguliwa inaishia hapo ila huyu wamesema atapangiwa kazi nyingine unajuwa nini kinakuja.
 
Wapi Papaa Amos Makalla, mutu ya watu! Mutu yenye pesa mingi! Hii Papaa Amos, ndiye itakuwa Katibu yenu muenezi mupya kabisa ndani ya chama. Na kama kuna mutu haiamini, basi imuulize Papaa Jei Kei, rais ya dunia.
Makonda kashika sharubu za Don JK kwenda kumpiga biti business partner wako mdogo wa GSM. Siku 2 tu kapigwa demotion🤣🤣🤣🤣.

JK ndio Kingmaker wa hii nchi. Akikata moto kina Nape watelia vilio vya mbwa mdomo juu.
 
Hamna watu wengine ? mnazungusha wale wale
John Mrema ana muda gani pale? Benson Kigaila? Mbowe?

Yaani John Mrema wakati wa krismas wachaga wenzake wanaenda na magari ya kisasa, kenta za bia na mbuzi, yeye anaenda na makoti ya chadema na ilani kwenye mifuko ya lambo, na kiatu imekula tope za msimu wa mvua
 
John Mrema ana muda gani pale? Benson Kigaila? Mbowe?

Yaani John Mrema wakati wa krismas wachaga wenzake wanaenda na magari ya kisasa, kenta za bia na mbuzi, yeye anaenda na makoti ya chadema na ilani kwenye mifuko ya lambo, na kiatu imekula tope za msimu wa mvua
Ni hivi , Makala kapigwa chini , labda akasimamie mashamba ya mananasi ya Rafiki yake JK
 
Back
Top Bottom