Papaa Makala Mobimba, case closed[emoji3][emoji3]Wapi Papaa Amos Makalla, mutu ya watu! Mutu yenye pesa mingi! Hii Papaa Amos, ndiye itakuwa Katibu yenu muenezi mupya kabisa ndani ya chama. Na kama kuna mutu haiamini, basi imuulize Papaa Jei Kei, rais ya dunia.
ππππ Baba Gabi in da house, hiyo kawaida bro kikubwa DAB apumzikeKwa kuteuliwa hajambo lakini baada ya muda anang'olewa .
Niliwaambia lakini π€£π€£π€£π€£Baba Gabriel anaenda kuwa mwenezi soon
DAB hakuna mapumziko ni mapambano mbele kwa mbeleππππ Baba Gabi in da house, hiyo kawaida bro kikubwa DAB apumzike
Akapambane na wala skanka kwanza πππDAB hakuna mapumziko ni mapambano mbele kwa mbele
Kwani ukimtazama kwa macho tu unaona kama zinamtosha kichwani!!! Narudia ukimtazama kwa macho tu, bado hujamchukua sampuli na kupeleka maabara unaona kama ana jipya?Sasa swali letu ni hili , Pedeshee Makalla ambaye alitumia Juhudi binafsi na kumualika Diamond Platnum ili kuvuruga Mkutano wa Chadema viwanja vya Furahisha huko Mwanza kwa kuweka tamasha la bure , kwanini hana Bahati na vyeo vya ccm ? Mbona anatolewa mara kwa mara ? ina maana viongozi wake hawaoni Juhudi anazozifanya za kudhibiti Chadema baada ya kushiriki hata kumfunga Sugu Mbeya ?