Zanzibar 2020 Pemba: Vyama sita vya siasa vyalaani vurugu za Alfajiri ya leo, waomba msaada wa IGP baada ya wananchi kukatwa mapanga

Kwanza huyu mgombea anamuhusu vipi na tukio hili?
Wewe kama Nani mpaka utoe maelezo ya kumwita IGP? Hivi vyama mamluki ni Bora mpigwe mapanga tu
 
..wakati wananchi wanadhulumiwa na kunyimwa haki zao hawazungumzi.

..wanakuja kuzungumza baada ya wananchi kuamua kuchukua sheria mikononi mwao.
 
Tukio hili ni la kupingwa vikali, Ni tukio baya na la kiuaji.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama viwatafute wahusika na wapate hukumu kulingana na Sheria za nchi.
Watanzania tuzidi kudumisha Amani Upendo na siasa safi kipindi hiki cha Kampeni.
 
Wazanzibar mnatabia mbovu sana, sasa uko mwatako mwataka nini kama si tako??
Ninesoma vyooote ila nimekuwa attracted na jina la mtaa tu!! "Mwatako".

Jamaa wamevamia "Mwatako" eeeh! Wanatabia mbaya sana
 
Zanzibar mmeanza tena, serikali jaribuni kutenda haki, raia pia tutenda haki, haki ikitawala haya maovu yatapungua, lakinj haki ikiminywa amani itafifia, si jambo la kawaida mtu kuingia kwenye myumba ya Mungu na kufanya uovu wa kiasi hicho, ameshindwa kumuogopa Mungu. Serikali pia jitahidi kusaidia damu za raia zisimwagike hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.
 
Ni muda sasa wa vyombo vya dola vi act aggressive na hao Wazenj mana kuwachekea ni kuzidi kuwapa kiburi
 
Vyombo vya ulinzi viwasake magaidi hayo
Wameshindwa kuwasaka waliompiga risasi tundu na wengine wataweza hao.

Kiufupi ccm haya mambo mnayataka yawepo nayatakuwepo. Subirini pemba ni sehem nyengine
 
Wanafiki waliowekwa kwa ajili ya kuibeba ccm,wanaanza kuonesha unafiki wao
 
Ni kwa nini yanatokea mapema hivyo? Kama sababu ni kukatwa wagombea lawama kwa tume ya uchaguzi, mtaenguaje wangombea wa upinzani tu? Hamuoni aibu!
 
Watu wasio julikana wameingia Pemba sasa,si wangewapiga watu wa tume za uchaguzi ambao ndio wanastahiki kushikishwa adabu kwa kuvuruga mchana kweupe.
Watu wa tume waliofanya zulma itabidi walindwe sana sana kuliko anavyolindwa magufuli,watu wana asira na wapo tayari kwa lolote.
Watu wasio julikana wamekosea sana hapo au jamaa wanagombea kamati za msikiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…