Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kila ubaya utalipwaIla kuna watu wana dharau asee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila ubaya utalipwaIla kuna watu wana dharau asee.
Huwa najiuliza hilo swali, na je baada ya tozo ni nini cha zaidi kilichoongezeka?Before tozo maendeleo yalikua yanaletwa na nini?
Alafu watuambia tofauti ya matumizi ya tozo na matumizi ya Vat ni nini!Huwa najiuliza hilo swali, na je baada ya tozo ni nini cha zaidi kilichoongezeka?
Maendeleo gani unayoyazungumzia? Hizo pesa tunakamuliwa sisi wanyonge zinatumbuliwa na wakubwa huko juu.hakuna cha bure katika ulkmwengu huu, lazima tulipe tozo kwa maendeleo yetu.
unadhani maendeleo yataletwa bila tozo?! dhubutu!!! hata hao wanao pinga tozo wanalifahamu hilo, ila nia yao ni kuona Seriakali inashindwa kuleta maendeleo ya wananchi.
Tozo za ufugaji mifugo kila ngo'mbe 1000 Kwa mwaka , kila mbuzi,kondoo na nguruwwe 500 nk. Tozo za upangajiniView attachment 2327988
Tunaye Ndugu Waziri humu Mwigulu Nchemba. Tutumie fursa ya uwepo wake kumkumbusha Tozo zingine ambazo amezisahau. Ni kama akiziota usiku tu kesho anakuja nazo.
Mimi naanza na tozo ya ugali. Ugali utoe kodi. Mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za nafaka watu wengi sana watakula ugali. Piga idadi ya tonge,mara idadi ya tonge kwa siku kwa wiki kwa mwezi. Tonge ikiwekwa kishimo iwe na tozo kubwa kidogo. Hapo serikali itapata bilioni 900.
Tozo nyingine ya haraka haraka ni Simba na Yanga. Kila tukifanya utani wa jadi kuwe na tozo.
ili tusipumue tufe
Hakuna mtu anayekataa kulipa kodi ila hiyo kodi inamsaidiaje mlipaji?hakuna cha bure katika ulkmwengu huu, lazima tulipe tozo kwa maendeleo yetu.
unadhani maendeleo yataletwa bila tozo?! dhubutu!!! hata hao wanao pinga tozo wanalifahamu hilo, ila nia yao ni kuona Seriakali inashindwa kuleta maendeleo ya wananchi.
Huwa nashangaa sana wabongo kumuona huyu mtu kichwa. Jamaa mshamba kinoma yaaniCCM inatuletea viongozi wa hovyo sana,kama huyu mshamba hakustahili kabisa kuwepo hapo
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe hamia Burundi Acha blaa blaa za kijinga,hakuna mjomba wa kukuletea wewe maendeleo..View attachment 2327988
Humu ndani tunaye Ndugu Waziri Mwigulu Nchemba, tutumie fursa ya uwepo wake kumkumbusha tozo zingine ambazo amezisahau. Ni kama akiziota usiku tu kesho anakuja nazo.
Mimi naanza na tozo ya ugali, ugali utoe kodi. Mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za nafaka watu wengi sana watakula ugali. Piga idadi ya tonge mara idadi ya tonge kwa siku, kwa wiki na kwa mwezi. Tonge likiwekwa kishimo liwe na tozo kubwa kidogo. Hapo serikali itapata bilioni 900. Tozo nyingine ya haraka haraka ni Simba na Yanga, kila tukifanya utani wa jadi kuwe na tozo.
Nakuona Chawa upo kibaruaniWewe hamia Burundi Acha blaa blaa za kijinga,hakuna mjomba wa kukuletea wewe maendeleo..
Safi Sana Mwigulu shikilia hapo hapo.
Siko kibaruani na Wala sijawahi kuwa Chawa ila mimi ni raia mzalendo najua nini kinawasibu watu Vijijini..Nakuona Chawa upo kibaruani
Ongeza tozo ya Kujisikia kufanya moja kati ya hayo a) hadi f)Serikali ianzishe TOZO za:-
(a) Pumzi. Kila aliye hai alipe tozo hii.
(b) Usingizi. Kila alaye alipe tozo hii
(c) Ngono. Kila aliyebalehe alipe tozo hii
(d) Kuona. Kila mwenye macho alipe tozo hii.
(e) Kusikia. Kila mwenye masikio yanayofanya kazi alipe tozo hii.
(f) Shibe. Kila anayekula alipe tozo hii.
Stakayeshindwa kulipa tozo hizi ahamie Burundi.