Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

Kwenye nauli za vyombo vyote vya usafiri...
Tukiweka tozo hapo itapendeza sana...
 
"Nilisema wakati ule na narudia tena, anayeona ananyanyaswa ahamie Burundi"

Kumbe licha ya yale malalamiko kuhu hiyo kauli yake jamaa hakujifunza chochote.

Sasa naona watanzania tumefikia kiwango cha mwisho cha kudharauliwa na hawa jamaa.
 
hakuna cha bure katika ulkmwengu huu, lazima tulipe tozo kwa maendeleo yetu.
unadhani maendeleo yataletwa bila tozo?! dhubutu!!! hata hao wanao pinga tozo wanalifahamu hilo, ila nia yao ni kuona Seriakali inashindwa kuleta maendeleo ya wananchi.
Maendeleo gani unayoyazungumzia? Hizo pesa tunakamuliwa sisi wanyonge zinatumbuliwa na wakubwa huko juu.
 
images76543.jpeg
 
View attachment 2327988

Tunaye Ndugu Waziri humu Mwigulu Nchemba. Tutumie fursa ya uwepo wake kumkumbusha Tozo zingine ambazo amezisahau. Ni kama akiziota usiku tu kesho anakuja nazo.
Mimi naanza na tozo ya ugali. Ugali utoe kodi. Mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za nafaka watu wengi sana watakula ugali. Piga idadi ya tonge,mara idadi ya tonge kwa siku kwa wiki kwa mwezi. Tonge ikiwekwa kishimo iwe na tozo kubwa kidogo. Hapo serikali itapata bilioni 900.
Tozo nyingine ya haraka haraka ni Simba na Yanga. Kila tukifanya utani wa jadi kuwe na tozo.
Tozo za ufugaji mifugo kila ngo'mbe 1000 Kwa mwaka , kila mbuzi,kondoo na nguruwwe 500 nk. Tozo za upangajini
 
hakuna cha bure katika ulkmwengu huu, lazima tulipe tozo kwa maendeleo yetu.
unadhani maendeleo yataletwa bila tozo?! dhubutu!!! hata hao wanao pinga tozo wanalifahamu hilo, ila nia yao ni kuona Seriakali inashindwa kuleta maendeleo ya wananchi.
Hakuna mtu anayekataa kulipa kodi ila hiyo kodi inamsaidiaje mlipaji?
Je huduma za kijamii zipo vizuri?
Malengo na maendeleo yanafanyika nchini kwa asilimia 90 ?
Ubadhilifu na rushwa unachunguzwa na kupunguzwa?
Utitiri wa viongozi wasiona msaada kwa nchi na magari ya gharama je vinaangaliwa?
Hatujawahi kuwa serious na maisha ya wananchi wa kawaida


Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu wanaoishi mijini wanafaidika zaidi na maendeleo kuliko wanaoishi vijijini( ambao ndio wazalishaji wakubwa), kuwe na Tozo ya kuingia na kuishi mjini... Alafu tuweke Tozo za wanaotembelea na kuogelea kwenye fukwe zote ...Tozo ya kuogelea ....kiwanja Cha mpira ni kimoja TU chenye hadhi na wanafaidika zaidi ni wa darslam walipe Tozo ya kwa MKapa
 
View attachment 2327988

Humu ndani tunaye Ndugu Waziri Mwigulu Nchemba, tutumie fursa ya uwepo wake kumkumbusha tozo zingine ambazo amezisahau. Ni kama akiziota usiku tu kesho anakuja nazo.

Mimi naanza na tozo ya ugali, ugali utoe kodi. Mwaka huu kutokana na kupanda kwa bei za nafaka watu wengi sana watakula ugali. Piga idadi ya tonge mara idadi ya tonge kwa siku, kwa wiki na kwa mwezi. Tonge likiwekwa kishimo liwe na tozo kubwa kidogo. Hapo serikali itapata bilioni 900. Tozo nyingine ya haraka haraka ni Simba na Yanga, kila tukifanya utani wa jadi kuwe na tozo.
Wewe hamia Burundi Acha blaa blaa za kijinga,hakuna mjomba wa kukuletea wewe maendeleo..

Safi Sana Mwigulu shikilia hapo hapo.
 
Serikali ianzishe TOZO za:-
(a) Pumzi. Kila aliye hai alipe tozo hii.
(b) Usingizi. Kila alaye alipe tozo hii
(c) Ngono. Kila aliyebalehe alipe tozo hii
(d) Kuona. Kila mwenye macho alipe tozo hii.
(e) Kusikia. Kila mwenye masikio yanayofanya kazi alipe tozo hii.
(f) Shibe. Kila anayekula alipe tozo hii.

Stakayeshindwa kulipa tozo hizi ahamie Burundi.
Ongeza tozo ya Kujisikia kufanya moja kati ya hayo a) hadi f)
 
Tozo ya pumzi ndio imekaa poa zaidi

Wengine wameshauri tozo ya kichwa ila kwa maoni yangu hiyo tozo haitakusanya fedha nyingi kulingana na watanzania wengi kuwa vichwa maji.
 
Back
Top Bottom