Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Huyu bwana anarudisha nyuma jitihada za mama za kujaribu kurudisha upendo kati ya watanzania pamoja na kuturudishia uhuru wetu wa kukosoa na kujieleza. Atolewe hapo haraka sana. Kama ana umuhimu wa kuwa katika timu ampe wizara nyingine
 
Ana elimu kubwa kumzidi Rais

0161e885-f470-4a74-bc9f-a51f2827db4a.jpg
 
Hii issue imeshakuwa complex, sioni sababu ya kuwalaumu subordinates kwa kutangaza maamuzi ya bosi wao, mwanzo tulidhani wao ndio wamekosea, ila kwa hii clarification iliyotoka leo maana yake huyo jamaa jana hakukosea, sisi ndio tumuombe radhi, he was correct, habati ya kusema wamemshawishi Rais nao ni ujinga tu, kama Rais anashawishika maana yake hafai kukaa ikulu yetu kama hana msimamo.
 
Hii issue imeshakuwa complex, sioni sababu ya kuwalaumu subordinates kwa kutangaza maamuzi ya bosi wao, mwanzo tulidhani wao ndio wamekosea, ila kwa hii clarification iliyotoka leo maana yake huyo jamaa jana hakukosea, sisi ndio tumuombe radhi, he was correct, habati ya kusema wamemshawishi Rais nao ni ujinga tu, kama Rais anashawishika maana yake hafai kukaa ikulu yetu kama hana msimamo.
unamuamini Msigwa bila barua ya Ikulu ?
 
Hakusema hivyo, alisema viji tv vya online
Ila jibu umelipata
Sidhani Kama ataelewa ...ametanguliza ushabiki...Rais alikuwa clear alikuwa clear..vijiTv vya mkononi vilivyofungiwa na mamlaka..Sasa watu wanaleta ushabiki
 
Jinga sn hilo jamaa...... Bado limelewa madaraka
 
Sidhani Kama ataelewa ...ametanguliza ushabiki...Rais alikuwa clear alikuwa clear..vijiTv vya mkononi vilivyofungiwa na mamlaka..Sasa watu wanaleta ushabiki
Mtaumbuka sasa hivi
 
unamuamini Msigwa bila barua ya Ikulu ?

Subiri uone huo utekelezaji,hivi unadhani kuanzia jana mpaka leo hajajiridhisha tu kuwa Rais alimaanisha nini? Haya Abbas kasema jana,mmemtolea povu,leo Msigwa karudia kitu kile kile bado huamini tu.
 
Nyie ndo mlikuwa mnalilia Bando! Hivi Abbas naelimu yake anaweza kukaidi agizo la Rais? Watanzani tusiwe tunakurupuka kwenye kuongea tu.
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Dada naona leo utakuwa umepata majibu sahihi kuwa Dr. Abbas alikuwa sahihi!! Pole kwa stress!
 
Hii issue imeshakuwa complex, sioni sababu ya kuwalaumu subordinates kwa kutangaza maamuzi ya bosi wao, mwanzo tulidhani wao ndio wamekosea, ila kwa hii clarification iliyotoka leo maana yake huyo jamaa jana hakukosea, sisi ndio tumuombe radhi, he was correct, habati ya kusema wamemshawishi Rais nao ni ujinga tu, kama Rais anashawishika maana yake hafai kukaa ikulu yetu kama hana msimamo.

Na ndiyo keshamaliza hivyo,tatizo watu wanapenda kuambiwa kile wanachopenda kusikia basi,ukiwaambia kile hawakipendi utapewa kejeli zote. Hivi wanadhani kuanzia jana Abbas na leo Msigwa,wote hawajajiridhisha kwa Boss wao kuwa alimaanisha nini? So far kwa Msigwa kulitolea ufafanuzi rasmi leo ndiyo kamaliza.
 
Back
Top Bottom