Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Bado udini upo Tanzania ,Dr Abbas yupo sahihi raid hajatamka magazeti na pia waliyofungiwa ni kwa mujibu wa Sheria Sasa mnataka yeye avunje Sheria.kwani nchi inaongozwa kwa tamko la raisi au Sheria ?
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Huyu nyumbu ndie alikuwa kiherehere wa kufungia vyombo vya habari. Na sasa anaongea kama nani?
Maana sio waziri wahii wizara.
Tuna muomba Mh. Rais amzengue.
 
Kwenye hili la who is who kati vigogo hawa wa media, as far as media is concerned, Mkurugenzi ndio kila kitu, lakini kwa vile KM ndie alikuwa Mkurugenzi kabla, na Msigwa alikuwa chini yake, sasa Msigwa ndio ameteuliwa Msemaji Mkuu, hivyo Abbas kupunguziwa madaraka, ya usemaji Mkuu, then Msigwa chini ya Abbas will never be free kutimiza wajibu wake chini ya Big Brother Abbas or go against Big Bro!. My honest opinion, kwangu mimi kuna tatizo la size ya viatu, Msigwa akiwa Ikulu nilinote gaps alizohitaji kusaidiwa, sasa kwa kuletwa kuwa Mkurugenzi wa Maelezo ni likiatu kubwa sana, hivyo Msigwa atahitaji very serious and powerful backups ambayo Dr. Abbas ata provides kama alivyoanza jana kwa kufanya kazi ambayo sio yake na kututafasiria kauli za rais akisema vyombo vya habari vilivyo fungiwa maana yake ni online TV na sio magazeti!. Ili kumtendea haki Msigwa as Mkurugenzi wa Maelezo, Dr. Abbas aondolewe pale, ahamishiwe popote au hata apewe ubalozi aende ubalozini na kumpa space Msigwa kuisuka Maelezo yake, kama Samia anavyo ifumua na kuisuka upya serikali ya Magufuli aliyo irithi. Uwepo wa Dr. Abbas as KM, japo ni msaada mkubwa kwa Msigwa kwa siku za mwanzo mwanzo za set up, lakini kuendelea kuwepo for long, will be a pain on the neck kwa Msigwa, it's like a kid, attached to an apron strings of it's mother. Msigwa will never be Msigwa himself, but Dr. Abbas proxy, or his protege!.
P
Nilikuwa wa kwanza kupendekeza Abbass ahamishwe Wizara ya Habari
 
Sasa ni zamu ya Rais Samia Suluhu Hassan kuamua awe upande gani...

Wa Wahafidhina wa CCM kama huyu Abbas na kundi lililo nyuma yake au upande wa sauti za wananchi...

Yaani hapa taratibu mitego na mishale inaanza kuachiliwa kwa huyu Rais mama Samia S.H. Akikaa vibaya, asipokuwa bold, atanasa na taratibu kuanza kupotea...

Maamuzi sahihi ni kuendelea ku - maintain mwanzo mzuri wa uongozi wake na itakuwa ni ushindi kwake...

Maamuzi mabaya yakiongozwa na ushauri potovu wa wasaidizi wake kama huyu Abass, atakuwa anaenda kinyume na matakwa ya watu...

Atafuata njia ya Mwendazake John P. Magufuli ya kufa kiroho na kimwili kwa sbb ya kupuuza sauti za umma/watu/wananchi...

Mungu Yehova na amsaidie mama huyu kwa kumpa HEKIMA na BUSARA sawasawa na Mfalme Sulemani alivyopewa na Bwana Mungu ktk kutawala na kuamua kwake...
 
Abasi kwanza sio msemaji wa Serikali na wala sio Waziri wa Habari. Kiherehere sana huyu kiumbe. Mama fukuza huyu mtu.
Si ndiye Katibu mkuu wa wizara inayoshughulikia habari?

Ofcoz, kwa upotoshaji huu waziri (boss) wake achukue hatua haraka kumrekebisha Katibu mkuu wake Vnginevyo watapotea wote, yeye waziri na Katibu wake..!
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Atumbiliwe tuzalishe kigogo mwingine!
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371

Ukimwona mwambie ajifunze taratibu za utendaji

Hicho alichokiandika hapo alitakiwa kukisema kabla Rais hajaongea na hapo tungemuelewa... hii inamjengea sura ya kupingana na Rais kitu ambacho sio sawa

Kama hajui protokali aelewe kwamba rais na hata mkuu mwingine mwenye mamlaka ya mwisho akishaongea ndio amemaliza, labda rais mwenyewe arudi kuongea vinginevyo
 
Bado udini upo Tanzania ,Dr Abbas yupo sahihi raid hajatamka magazeti na pia waliyofungiwa ni kwa mujibu wa Sheria Sasa mnataka yeye avunje Sheria.kwani nchi inaongozwa kwa tamko la raisi au Sheria ?
umeandika hapa as if umeshuka leo kutoka London au umezaliwa leo, kwani hayo matamko si ndio trend yetu TZ
 
Ngoja tuone.

PhD inaposhindwa kutafsiri maana ya vyombo vya habari.

PhD inasema gazeti siyo chombo cha habari.

PhD inambishia Rais ambaye ni taasisi.

PhD inachanganya itikadi na maswala ya kiserikali.

Ngoja tuone.

Ukinizingua Nakuzingua!
Kweli wewe umebadilika na unaenda na wakati!
 
umeandika hapa as if umeshuka leo kutoka London au umezaliwa leo, kwani hayo matamko si ndio trend yetu TZ
Tatizo tulilonalo wa tz ni kumuhukumu mtu tusiyempenda kosa Hilo Hilo likifanywa na tunayempenda tunapongeza hii ndio shida.Katibu mkuu katekeleza agizo la rais kwa mujibu lilivyotoka bado mnamlaumu .Swali fikirishi he Kuna vyombo vilifungiwa bila kufata Sheria?na Kama Sheria ni kandamizi je tatizo ni lamsimamiaji wa Sheria au watunzi wa Sheria? na pia siku zote mmekuwa mkiimba wimbo kuwa Rais afate Sheria na hayuko juu ya Sheria Sasa mmesahau Kama vyombo vya habari vilivyofungiwa ni kwa mujibu wa Sheria?tunatatizo kubwa Sana watz la ubinafsi na kupenda maslahi binafsi
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
huyu naye poyoyo tu bado haamini kwamba jiwe hatunaye tena; kwa hiyo tuseme yale maneno ya mama yalikuwa unabii sasa yeye ndo anatafsiri
 
Ukimwona mwambie ajifunze taratibu za utendaji

Hicho alichokiandika hapo alitakiwa kukisema kabla Rais hajaongea na hapo tungemuelewa... hii inamjengea sura ya kupingana na Rais kitu ambacho sio sawa

Kama hajui protokali aelewe kwamba rais na hata mkuu mwingine mwenye mamlaka ya mwisho akishaongea ndio amemaliza, labda rais mwenyewe arudi kuongea vinginevyo

Leo Mama D naona umelala vizuri na mumeo...

Ni ngumu kuamini kuwa this time unakosoa maamuzi ya mwanaCCM mwenzako Abass...!!

That's absolutely very good mama..

Haya ni mabadiliko mazuri ya kifikra. Kongole..
 
Back
Top Bottom