Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Pendekezo: Dkt. Hassan Abassi afukuzwe kazi kwa kiburi cha kukataa amri halali ya Rais wa Nchi

Leo Mama D naona umelala vizuri na mumeo...

Ni ngumu kuamini kuwa this time unakosoa maamuzi ya mwanaCCM mwenzako Abass...!!

That's absolutely very good mama..

Haya ni mabadiliko mazuri ya kifikra. Kongole..

Sijui unamaanisha nini hapo kwenye kulala vizuri na mume wangu na sioni mume anahusikaje kwenye hiipost

Pale mtu anapokosea Kukosoa ni kukosoa tuu haijalishi mtu yuko chama gani
Nyie msiokosoana ndio mmeishia kuua vyama vyenu..... wanaokosoana watandelea kushika dola miaka100

Protokali gani Rais ambaye ni mkuu wa nchi anatoa hitimisho la jambo halafu anaibuka msaidizi wake kumrekebisha hadharani. Uswahilini hii tunaiita kukosa adabu

Asante kwa kongole anyways
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Apigwe chini mara moja huyu.
 
Sijui unamaanisha nini hapo kwenye kulala vizuri na mume wangu na sioni mume anahusikaje kwenye hiipost

Asante kwa kongole anyways

Unajua sana namaanisha nini...

Namaanisha hivi:

Ugomvi wowote wa pande mbili na hususani kati ya mume na mke mara nyingi, huathiri fikra na kisha maamuzi...

Utashangaa kukutana na mtu akimpa kila anayekutana naye njiani au mtandaoni mabanzi ya kufa mtu. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa, ni stress za ugomvi na mumewe/mkewe usiku wa kuamukia----------

Sasa wewe Mama D, leo uko vizuri sana. Inawezekana umelala vyema bila ugomvi na mumeo kuamkia leo kwa sababu unayaona mambo ktk uhalisia wake bila stress...

Kama wewe siyo mwanamke bali ni mwanamume unisamehe kwa kukupa jinsia isiyo yako. Ila ni kwa sababu unajiita Mama D naashumu umeolewa. Na kama huna mume pia nisamehe...

Lililo muhimu ni hili; Umebadilika ghafla kifikra kutoka kwenye kushabikia makosa na uovu na kuukataa na kuupinga...

Kongole bibie, babu eeh...
 
Unajua sana namaanisha nini...

Namaanisha hivi:

Ugomvi wowote wa pande mbili na hususani kati ya mume na mke mara nyingi, huathiri fikra na kisha maamuzi...

Utashangaa kukutana na mtu akimpa kila anayekutana naye njiani au mtandaoni mabanzi ya kufa mtu. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa, ni stress za ugomvi na mumewe/mkewe usiku wa kuamukia----------

Sasa wewe Mama D, leo uko vizuri sana. Inawezekana umelala vyema bila ugomvi na mumeo kuamkia leo kwa sababu unayaona mambo ktk uhalisia wake bila stress...

Kama wewe siyo mwanamke bali ni mwanamume unisamehe kwa kukupa jinsia isiyo yako. Ila ni kwa sababu unajiita Mama D naashumu umeolewa. Na kama huna mume pia nisamehe...

Lililo muhimu ni hili; Umebadilika ghafla kifikra kutoka kwenye kushabikia makosa na uovu na kuukataa na kuupinga...

Kongole bibie, babu eeh...

Asante sana mkuu

Nawe kongole kwa uelewa, uzalendo na upendo
 
Leo Mama D naona umelala vizuri na mumeo...

Ni ngumu kuamini kuwa this time unakosoa maamuzi ya mwanaCCM mwenzako Abass...!!

That's absolutely very good mama..

Haya ni mabadiliko mazuri ya kifikra. Kongole..
Siku ya mwisho kila goti litapigwa .
 
Mkuu mama Samia kasema vyombo vya habari ikiwemo na magazeti au wewe tunaposema vyombo vya habari unaelewa nini?[emoji23]
" tuvivyombo vya habari sijui vitv vya mtandao "
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Huyu ng'ombe afukuzwe mapema sana ana mkwamisha mama anataka mama aonekane vip ktk jamii nashauri fukuza huyu mpuuzi na ashitakiwe kwenda kinyume na maagizo ya mkuu wa nchi
 
Hakuna ambaye hajamsikia Rais Samia Suluhu leo alipoagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki vifunguliwe , huyu Hassan Abbass ni nani katika nchi hii hadi amlishe maneno Mh Rais kwamba Kilichoagizwa kufunguliwa ni Televisheni za mitandaoni , liko wapi andiko alilopewa na Mh Rais kuhusu hilo ?

Je amedhamiria kumpinga Mh Rais kwa faida ya nani ? kuna haja gani ya kuendelea kuwa na kiongozi mwenye kiburi kiasi hiki ?

Bila shaka huyu ameshindwa kwenda na kasi ya mama , ameamua kupandisha mabega yake juu kujimwabafai , napendekeza afukuzwe kazi haraka na ikiwezekana akamatwe na kushitakiwa .

View attachment 1745371
Kwani magazeti sio vyombo vya habari?
 
Dr Abbas anaipunguza speech ya rais katika tafsiri anayoitaka yeye. Rais kasema vyombo vya habari yeye anasema online TV tu.
Huu ni ukaidi
Miongoni mwa mambo Rais anatakiwa kujiandaa nayo ni masalia ya jiwe asipowaondoa atakwama sana....Sababu nyakati zile jiwe na wateule wake walijiaminisha hii Nchi ni kama kijiwe chao wanaweza kufanya lolote....ili afanikiwe lazima awatoe

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Ila agizo la mheshimiwa Rais Samia Suluhu liko wazi, vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Sasa Dr. Hassan Abbas unajichagulia chombo gani ufungue na kipi usifungue.
 
Huyu Abbas kilaza kabisa. Rais alisema vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Mfano aliotoa Rais kwa online TVs haifanyi magazeti, nk yawe excluded. Azinguliwe huyu. Hatufai!
Dr Abbas anaipunguza speech ya rais katika tafsiri anayoitaka yeye. Rais kasema vyombo vya habari yeye anasema online TV tu.
Huu ni ukaidi
 
Ila agizo la mheshimiwa Rais Samia Suluhu liko wazi, vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Sasa Dr. Hassan Abbas unajichagulia chombo gani ufungue na kipi usifungue.
Ana elimu kubwa kumzidi Rais
 
Back
Top Bottom