Huyo ni wakili tu mchumia tumbo kama hao akina Lissu,hana lolote Ulaya unapwa hao bure ili wapate kazi sio bongo ti unamlipa wakili.
Watu pumbavu kama huyo aliyekuwa mgombea urais kwa ndoto zake za chandema kaingia mkenge jamaa anamtetea twiter.
Huyo sijui amsterdam nani anapractise uwakili wake kwamalooser wa africa,pembeni wanamlipa huku anapewa posho na serikali yake.
Nina mawakili wa3(wengine wanaaply)katika kesi zangu wala sina habari kujitangaza
Siwalipi senti tano,wanabembeleza ili wapate kesi yako wakiwakilisha wapewe chao ili waonekane wako active.Kuna mmoja nilikaa nae kwahoja mi sina wakili na yeye wakili alinyanganywa leseni siku hiyo hiyo LIVE.
Kaingia pale na Mgari mkuubwa na masuti yake mi nimepark baskeli yangu napiga feg tunakutana ndani huko kachoka na hakukua na mambomengi nimempiga maswali pale mbele ya judge hana majibu,nikatoa evidence zote live kwenye ipad hana majibu ,akaulizwa na judge we una nini kuwakilisha hiyo kampuni?
Anajibu "oohmi nimetumwa tu kuja nisign niwakilishe kampuni"yani yule mama Jugje akachukulia mfano pale pale jamaa alitemeshwa leseni na faini juu akaambiwa miaka mi2 asifanye kazi ya uwakili.
Na kiupole tu nikaulizwa na judge km nataka nifungue kesi ya fidia kunipotezea muda.
Nikasema NO,tukagonga tano na jugje nikaondoka zangu na kabaskeli kangu jamaa kabaki anantizamana namgari wake mkuuuubwa.
Ndio hao mawakili dizaini ya Amsterdam.