Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kuna mtu anatimiza mwezi kwenye mapenzi yenu toka apewe kimahisara na mmoja wenuNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Nime rialaizi wewe Ni mshambaWhat i realised is, most people are so malicious, you are one of them
Vipi kama wote mmekutana washamba ?Kama mwandani wangu hajaona huo ushamba unaousema, wewe ni nani hasa?
Kuridhika kwako wewe kwenye penzi lako, unadhani na wengine nao wanaridhika hivyo hivyo? Kama vipi wape basi mpenzi wako nao waridhike..!Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Kuwa uyaone, naona ndo unachipukia kama vile demu aliyetolewa bikra. Better shut-up your mouth and learn, yaonekana wewe bado mchanga sana kwenye hayo mamboNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Kama kuna kitu nimejifunza nikutozungumza neema zako, mana kwa povu mnalotoa naamini wengine kama mnauchawi na ingekua physically mngeturonga, ni aibu sana kwa watu kana nyinyiKuwa uyaone, naona ndo unachipukia kama vile demu aliyetolewa bikra. Better shut-up your mouth and learn, yaonekana wewe bado mchanga sana kwenye hayo mambo