Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Saiv hata wao 100 hawatoboi btw huo umri ni wa kuwajali watoto sio kuleta mivutano inayoweza kuwaathiriWenzio wanaishi 100+ wakati mbongo akiishi 50 tayari anasubiri kizikwa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saiv hata wao 100 hawatoboi btw huo umri ni wa kuwajali watoto sio kuleta mivutano inayoweza kuwaathiriWenzio wanaishi 100+ wakati mbongo akiishi 50 tayari anasubiri kizikwa tu.
Wengine wanaishi na majambazi bila kujua,muda ukifika mmoja anaibiwa bila hiari yakeInaumiza sana pale wapenzi mnapo amua kutengana 💔 kwa sababu yoyote ile.
Waza Gemu yenu na City kama alikuwa kwenye migogoro na familia hamjamfunga ndo basi tena😃😃Kataa ndoa kama nawaona hivi
Wanawake wa huko(hata huku kwa mtindo wao) wapo kijasiriamali zaidi,hapo anataka fungu,akafanye biashara,apate mtaji baada ya kupanua papa kwa miaka 30,mbwa kabisa,kila siku nausia vijana wasiwe wema sana kwa wanawake zaidi ya mama na jamaa zaoAu Guardiola huwa yuko busy sana hana muda kwa familia? Au pengine kutokana na kazi yake anakuwa ni mtu mwenye msongo wa mawazo kiasi anashindwa kuwa mume/baba bora?
Miaka 30 inasikitisha sana kutengana.
Wakati mwingine expectations zenu (kama haupo busy) ni hatari sana, ikichanganywa na hizi tamthiliia za ki Filipino.Au Guardiola huwa yuko busy sana hana muda kwa familia? Au pengine kutokana na kazi yake anakuwa ni mtu mwenye msongo wa mawazo kiasi anashindwa kuwa mume/baba bora?
Miaka 30 inasikitisha sana kutengana.
Tena wana matatizo makubwa.Wazungu linapokuja suala la uhusiano wa kijamii huwa wana matatizo ya ubongo bahati mbaya ndo role model wa jamii ya leo ya Africa..
Msiwege mnaoaBaada ya miaka 30 pamoja, na watoto 3, Pep Guardiola na Cristina Serra wanaonekana kutengana. 💔View attachment 3201117
Mafanikio yoyote yale…. Yana gharama zakeAu Guardiola huwa yuko busy sana hana muda kwa familia? Au pengine kutokana na kazi yake anakuwa ni mtu mwenye msongo wa mawazo kiasi anashindwa kuwa mume/baba bora?
Miaka 30 inasikitisha sana kutengana.
Hawa walikubaliana kuachana desemba mwaka jana,baada ya kuishi kwa miaka 5 kila mmoja akiwa nchi tofauti,na kuachana kwao ni kwa amani,na mpaka leo wanaongea vizuri hawana ugomvi wowote,ila kilichowafanya watengane hawajakisemaBaada ya miaka 30 pamoja, na watoto 3, Pep Guardiola na Cristina Serra wanaonekana kutengana. 💔View attachment 3201117
Kabisa mkuuTena wana matatizo makubwa.
Akikumbuka hasira za kunyimwa mbunye anazidisha dozi.Man city sasa itakuwa ya Moto pep atashusha vipigo mpaka waseme
Tunaenda kumpiga vizuri, stress za mapenzi haziwezi kuisha mapemaWaza Gemu yenu na City kama alikuwa kwenye migogoro na familia hamjamfunga ndo basi tena[emoji2][emoji2]
Tuige mke na mme kuachana?Maagano ya mashetani ili na sisi tulio nchi za kimasikin tuinge tuone kama hayo mambo ni kawaida tu
Ndio mkuu kunawatu watatumia kama mfanoTuige mke na mme kuachana?