Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana anapita na mikeka.Baada ya miaka 30 pamoja, na watoto 3, Pep Guardiola na Cristina Serra wanaonekana kutengana. 💔View attachment 3201117
Ukiona watu wanaachana umri wa kufarijiana manake hakuna walicho enjoy,watu hawaachani Kwa tukio Moja,mbili au 3Miaka 30 wame enjoy vya kutosha.
Maneno ya kifeminist ya kujastify talaka ili kupora utajiri wa wanaume, 'mume bora', 'muda na familia'.Au Guardiola huwa yuko busy sana hana muda kwa familia? Au pengine kutokana na kazi yake anakuwa ni mtu mwenye msongo wa mawazo kiasi anashindwa kuwa mume/baba bora?
Miaka 30 inasikitisha sana kutengana.
Wamekaa toka 1994 hadi 2014 bila shida yeyote, ila baada ya kufunga ndoa, tayari mwanamke ameshalaghaiwa huko nje ili apate mgao wa pesa za Guadiola..Kwa mtu anaewaza nje ya box, kuoa kuna hasara nyingi kuliko faida
Mwanaume hupendwi inapendwa pochi yakoWamekaa toka 1994 hadi 2014 bila shida yeyote, ila baada ya kufunga ndoa, tayari mwanamke ameshalaghaiwa huko nje ili apate mgao wa pesa za Guadiola..
Ni mwanaume mjinga tuu ndio atawekeza akili Kwa mwanamkeMwanaume hupendwi inapendwa pochi yako
Hawa nanchombo cha starehe mwnawane...enjoy nao ule mbususu basiNi mwanaume mjinga tuu ndio atawekeza akili Kwa mwanamke
Wanawake ni matapeli kupitia vyeti vya ndoa.Wamekaa toka 1994 hadi 2014 bila shida yeyote, ila baada ya kufunga ndoa, tayari mwanamke ameshalaghaiwa huko nje ili apate mgao wa pesa za Guadiola..
Ndoa Ina ushetani mkubwaWamekaa toka 1994 hadi 2014 bila shida yeyote, ila baada ya kufunga ndoa,
balaaKwa mtu anaewaza nje ya box, kuoa kuna hasara nyingi kuliko faida
ivi najiuliza mpaka saiv amewezaje kukaa na kiumbe cha hatar kwa miaka 30 yote?Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30.
Guardiola ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye kikosi cha Manchester City alifunga ndoa na mke wake nchini Hispania mwaka 2014, wakiwa wameshakaa pamoja kwa muda mrefu, lakini jana iliripotiwa kuwa wameachana rasmi.
Taarifa ya kuachana kwao ilianza kutolewa na gazeti la Hispania Spanish Sport, likieleza kuwa wawili hao hawapo pamoja kwa miaka mitano tangu Serra alipoamua kuondoka England na kutimkia nchini Hispania akiwa na mtoto wake mmoja Valentina, 17, huku akimuacha Pep Manchester England akiwa na City.
Wawili ambao walikutana rasmi mwaka 1994 wana watoto watatu, Maria, 24, Marius, 22 na Valentina.
Hata hivyo, inaelezwa kuwa awali hakukuripotiwa taarifa yoyote ya kutofautiana kwa wawili hao kwani pamoja na kuishi nchi mbili tofauti bado mara kwa mara walikuwa wanaonekana pamoja nchini Hispania na England kwa vipindi tofauti.
bro,,,mimi nawaogopa balaaivi najiuliza mpaka saiv amewezaje kukaa na kiumbe cha hatar kwa miaka 30 yote?
Watoto sio faida au sijakuelewa!!?Kwa mtu anaewaza nje ya box, kuoa kuna hasara nyingi kuliko faida