Perfume gani isiyo na harufu kali inafaa kwa mwanaume

Emotion
 
Inasikitisha vijana wenye ndevu wapo bize na mambo ya kike perfume badala ya kujenga Nchi
Vijana waliolelewa na Single Mazza wanawaza Umario, Kampeni ya Kataa Ndoa, Kulamba rips za Midomo, Kuvaa ili wapendeze, Pafyumu nzuri, Viwanja Vikali vya mitoko not otherwise. Akili yao hawataki kuishughulisha.
 

Kwa hiyo budget ngoja waje wadau wazoefu wa bugdet hiyo wakusaidie...

Ila wapo jamaa wanaouza mafuta ya kunukia "oil perfume", maybe waweza ambulia kichupa kidogo kwa bei hiyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…