Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Sas utakuta anakaa kw dada ake๐คฃ๐๐๐๐ Dahh! Unataka jamaa akae kama beberu au siyo?
Umarioo bhnaHuna pesa tulia usome namna watu wenye pesa wanavyopanga namna ya kutumia pesa zao...
Axe pafyume ya walalahoiTafuta Axe
Ndiyo mlalahoi kama wewe inakufaa kabisaAxe pafyume ya walalahoi
Buku 10 utauziwa maji ya machungwa na wahuni wa kariakoo...labda upate ya kupima portion ndogo sana.Kwani hakuna unyunyu uliotulia chini ya buku ten
Usimseme mwenzako wakati anaomba msaada. Kuna Boss, Hugo Man, Boss The Scent n.k. Zote hizi ni za Hugo Boss. Mfahamishe tu ipi katika hizi itamfaa. Au ndio mnanunua zile fake?mkuu hapa ndipo ulipoonekana wewe ni mswahili na huna uhitaji.
Umetajiwa jina hugo boss nenda dukani kanunue
Sawa mtaalamu..Buku 10 utauziwa maji ya machungwa na wahuni wa kariakoo...labda upate ya kupima portion ndogo sana.
Ukiwa na maana inatofauti gan EDP kwenye hii context
Yes Nzuri Wakati wote! Jitahidi Upate Hugo Broโ Utatushukuru Baadaye.hugo boss ๐
au hiiYes Nzuri Wakati wote! Jitahidi Upate Hugo Broโ Utatushukuru Baadaye.
Perfume haipakwi we mshamba.Mwanaume unapaka pafume?
Rafiki, kwani kuna ubaya gani mwanaume kutumia perfume?Mwanaume unapaka pafume?
Jichanganye๐Oga vizuru, kulq asilimia kubwa ya vyakula vya ardhini (mbogamboga na nafaka), kunywa maji mengi, paka mafuta ya kawaida tu ya mgando ili kulinda ngozi. Hasa yale ya asili.
Huitaji perfume, utatoa harufu safi na nzuri tu ya asili.
๐คฃ๐คฃ ila we jamaaUfue shuka sasa