Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahaaaaaa umenifanya nicheke sana asubuhi hiiiUmenikumbusha kulikuwa na mechi ya kirafiki waalimu na wananchuo wakati huo chuo cha Tanesco-kidatu, teacher mmoja jina kapuni katika harakati za kusaka ushindi akawa anakimbiza ball kutingisha nyavu ile kupachika tu goli kushangilia akavua jezi ya juu akishangilia goli, duh kumbe kyupi aina ya VIP imevuka hadi kifua inakimbilia shingoni na vile inang'aa duh!
Acqua Di Gio by Giorgio Armani
Creed Aventus
Dior Home Intense
Yves Saint Laurent La Nuit De L'homme
Issey Miyake
Caroline Herera 212
Hugo Boss Bottle
Tommy Hilfiger
YSL Kouros
Gucci One
Jean Paul Gaultier
CK Obsession
nitajie please....hio list ya chache nilizotumia,sasa hivi natumia issey miyake,212,tommy hilfiger.Kuna moja umeiruka.......hiyo nikipishana na wewe.........lazima nikufuate na lazima u u u u u u...............
nitajie please....hio list ya chache nilizotumia,sasa hivi natumia issey miyake,212,tommy hilfiger.
Ipo kwenye group la Chanel...........oooh my my........
allure homme..........
Perfume bora kabisa kuwavutia warembo ni NMB NBC CRDB EXIM N.K ukizpata hz warembo watamiminika
Laki hamsini kwa hela ya bongo ni shilingi gani!
yes! nishaitumia once....ni nzuri allure homme sport
![]()
nitajie please....hio list ya chache nilizotumia,sasa hivi natumia issey miyake,212,tommy hilfiger.
hyo ndo sh ngapi vilee na vipi huku kariakoo zinapatikana?
Nakumbuka kamoja kanaitwa "leo" (lio) yani haka tone moja tu, harufu yake hadi nzi anakufwaNa kuna vile viperfume vidogo vidogo vya kiarabu....vimenitoka jina