Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

It's going to get worse, before it gets better (if it ever will)...., Upuuzi unaofanyika leo (na ni upuuzi wa hali ya juu) matunda yake tutayaona kesho...

Sasa hivi walamba asali (nisiwaite walamba asali) MCHWA yaani kama ni mazao wanakula mpaka mbegu....
 
Mkome kuweka midoli madarakani
Punguza hasira da kiboga mdoli uliwekwa na baba yenu JIWE umesahau mara hii?

Nasikia mlikua hadi mkimtemea mate kwa dharau mkimuona mwanasesere kumbe nyie ndo mlikua wanasesere msiojua kesho yenu! Ikiwa mngetambua U VP ni nafasi serious sidhani kama mngekua na mdoli. Leo unasema tumemweka ebo!! Kula chuma hikooo mwanetu kuimba ni kupokezana!!!
 
Namlaumu sana Mabeyo.

Hii nchi ilitakiwa ishikwe na jeshi baada ya JPM ili akili zinyooke zaidi.

Yeye kawaachia hawa mirenda kisa kulinda katiba?
Maskini ya Mungu Kizmkazi aa wala bee.
Anashauriwa akaifungue nchi duniani, huku nyuma mchwa wanakula hadi mifupa yeye anafurahia u airhostess wake uzeeni
 
Back
Top Bottom