Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Alikuwa anapiga bzness gan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakhresa ni zao lile lile la minyoo..... hujui yaliyopo nyuma ya pazia ya watu aina ya Bakhresa! Narudi kwako wewe ni mnyoo tuuu hujui na huwezi elewa msoto wa kutafuta! Shiba kisha vimbiwa usubiri kuliwa na mmeo. Mko watu wa hovyo sana.Wewe ukiwa mtafutaji Bakhresa tumuite nani?
Huku shambani.Huko wapi
Massanturakokoli wewe😂Tafuta uzi wa chit chat
Bakhresa ni mwekezaji.Wewe ukiwa mtafutaji Bakhresa tumuite nani?
SI mlishindwa kufanya maamuzi sahihi?Mkome kuweka midoli madarakani
Namlaumu sana Mabeyo.SI mlishindwa kufanya maamuzi sahihi?
Jana mkabwabwaja mlivyoshindwa hata geshi lishike hatam
Punguza hasira da kiboga mdoli uliwekwa na baba yenu JIWE umesahau mara hii?Mkome kuweka midoli madarakani
Aisee hali tight mzee.general bzness yako inaendaje?Nilisubiri January iishe nikawa najisemea uko mbeleni Mambo yatakua shwari cha ajabu Hali ni mbaya na ndo inazd kua mbaya Mungu atunusuru waja wake [emoji120]
Hata Mimi napitia hiyo hali,sijui tufanyeje,mleta mada kanigusa sanaMimi pia najiuliza mara mbili mbili, mwezi WA 5 nilipie tena? Au nitulie maana Hali ni tete.
😄😄😄😄😄😄 Kaenda kwa fundi kutafuta dawa ya kuvuta wateja.Sio kwamba waendao KWA waganga huwa wanapenda,saa nyingine hali inakuwa iko taiti,unajikuta uko Bariadi kutafuta suluhisho. Kidding
Maskini ya Mungu Kizmkazi aa wala bee.Namlaumu sana Mabeyo.
Hii nchi ilitakiwa ishikwe na jeshi baada ya JPM ili akili zinyooke zaidi.
Yeye kawaachia hawa mirenda kisa kulinda katiba?
Mbaya zaidi unajikuta wajiuliza ukirudisha frame...utafanya issue gani??Hata Mimi napitia hiyo hali,sijui tufanyeje,mleta mada kanigusa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi napitia hiyo hali,sijui tufanyeje,mleta mada kanigusa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Majanga matupu [emoji55]Aisee hali tight mzee.general bzness yako inaendaje?
MKuu leo nilikuwa naangalia miamala ya nyuma ilivyokuwa imeshiba hadi najisikia hasira😂Mbaya zaidi unajikuta wajiuliza ukirudisha frame...utafanya issue gani??
Ndo Mwanzo wa kuingia kwenye madeni
Punguza hasira ndgMKuu leo nilikuwa naangalia miamala ya nyuma ilivyokuwa imeshiba hadi najisikia hasira😂