Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Hela wanahodhi wachache...ule mfumo wa wenye nacho kujilimbikizia ndo huu sasa...
Vikao vya wakuu wa nchi..wakurugenzi..wakuu wa vitengo kwa sasa per dm zao unaweza zirai...hela zimerudi serikalini..wakati wa magufuli hela zilitoka serikalini zikaingia kwenye miradi..kwahyo kama ulikua na tenda za miradi ya serikali unafuu ulikuwepo..
 
Mlizowea mteremko, mama kaanza kukaba mpaka penalty.

Wizi wa mali za umma tunawaona mnavyolalamika humu.
Una tabia za kuropoka sana, sio kila mtu ni mtumishi wa umma, wengine hatuzijui hata hizo mali za uma tunapambana kw kutumia nguvu na akili zetu.

Mama yako ni kweli anakaba kila mahali.
Anajifungulia mihoteli
Anauza matairi
Anafungua sheli/ vituo vya mafuta kila upande
Ana malori ya mafuta na mizigo
 
Mlizowea mteremko, mama kaanza kukaba mpaka penalty.

Wizi wa mali za umma tunawaona mnavyolalamika humu.
Sahz nasikia mnapewa visheti,tende, bajia, kalimati na kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.
 
Sahz nasikia mnapewa visheti,tender,kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.
Umenilipia kwa pigo moja haha
 
Jusi nilikwenda kufanya interview baada kuonaa biahsra sielewi kbsa
Acha tu ndugu hakuna kitu kibaya kama biashara kudoda .Mbaya zaidi pesa ya matumizi ukiwa unatoa humo humo.
Kuna kipindi biashara ilichangamka mpaka nikawa najilaumu hivi muda wote nilikuwa wapi kumbe ilikuwa ni high season.

Mambo yakabadilika mpaka kunasiku nikasema biashara sio talanta yangu nikarudi kukomaa kutafuta ajira bahati nzuri nikafaulu interview ya bomba la mafuta.
Sema mchakato bado mrefu vipimo,. Hii biashara now nimejiegesha tu siku tukiitwa kuanza kazi au kodi ikiisha nafunga .
 
Sahz nasikia mnapewa visheti,tende, bajia, kalimati na kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.
Wewe ukiwa mtafutaji Bakhresa tumuite nani?
 
Back
Top Bottom