Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
- Thread starter
- #101
Pole mkuu tukaze butiKwangu pia mambo ni mazito na nilifikiri labda ni kwangu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu tukaze butiKwangu pia mambo ni mazito na nilifikiri labda ni kwangu tu.
Chuma ipo, karibu Sana, si unajuwa biashara ya kishuwa haina kelele nyingi.Jeep wrangler bado ipo mkuu wangu?
Stress anazo, zinahusu uchaguzi ujao tuu!Angelikuwa na stress tungeona kwa vitendo. MAneno ya kusema anazo stress ni kumpa sifa asizostahili.
Sisi stress zetu ndo zinahangaisha vyombo vya ulinzi na usalama
Hapa sasa kwa wale wa mishahara, hali ni mbaya zaidi kama utaugeuza mshahara kutoka kwenye Tshs kwenda kweny Us Dollar.My turnover dropped by 60% comparing to Magufuli era.........dont know what gonna happen,future looks bleak!
Hiyo ndio gari yangu mkuu, nilijikaza tu nisiseme neno but ninaitakaChuma ipo, karibu Sana, si unajuwa biashara ya kishuwa haina kelele nyingi.
VIWANDA ILIKUWA POA SANA, ila tumedharau ndio matokeo yake haya.Wakuu habari zenu,
Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.
Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.
Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.
Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.
Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.
Makampuni mengi binafsi yako hoi.
Shule binafsi wanalia.
Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.
Je huko uliko hali ikoje?
Wewe mambo super mkuuHii thread imenifikirisha sana, kama taifa tunaenda wapi.
Yes kwenye black market dollar ni tsh. 2,900 hadi 3,000Hapa sasa kwa wale wa mishahara, hali ni mbaya zaidi kama utaugeuza mshahara kutoka kwenye Tshs kwenda kweny Us Dollar.
Mshahara umeshuka ghafla katika kipindi hiki cha miaka 3, hakuna anayejali.
Dollar imefika 2,900 huko pembeni inakopatikana kwa wingi, na 2,5.. huko isikopatikana.
Kila kitu kinawezekana mkuu ila huko ni pagumu sana wala sihangaikiMimi na wewe tukiteta tutafanya jambo la faida kwetu sote
Hiyo ndio gari yangu mkuu, nilijikaza tu nisiseme neno but ninaitaka
Kama bado unajitafuta mziki wake huwezi Anza na kina Toyota.Hiyo ndio gari yangu mkuu, nilijikaza tu nisiseme neno but ninaitaka
No, nimeimiliki mkuu hivyo naijua vizuri.Kama bado unajitafuta mziki wake huwezi Anza na kina Toyota.
Ngoja niwaambie kitu kimoja sijui kama mtanielewa, kwa maisha tuliyofikia sasaivi, hata duniani, kila mtu ajikite kwenye potential yake ( HAPA NDIO KUNAPESA YA KUFA MTU) sema wengi hawafahamu haya mambo, ila sasa ili utoboe vizuri hahahah SERIKALI YAKO IFANYE UWEKEZAJI.( POTENTIAL) mnielewe wakuu, hatuwezi kuajiriwa wote, hatuwezi kuwa wajasiriamali wote, hatuwezi kuwa wafanyabiashara wote...Wakuu habari zenu,
Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.
Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.
Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.
Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.
Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.
Makampuni mengi binafsi yako hoi.
Shule binafsi wanalia.
Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.
Je huko uliko hali ikoje?
Wakuu habari zenu,
Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.
Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.
Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.
Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.
Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.
Makampuni mengi binafsi yako hoi.
Shule binafsi wanalia.
Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.
Je huko uliko hali ikoje?
Kiukweli Mama ame focus sana na matajiri na watu wenye biashara kubwa kubwa tu lakn wafanyabiashara wadogo kama machinga wanafukuzwa barabarani kuwa wanaharibu muonekano wa miji na majijiMimi namuelewa sana. Uzuri mimi nilikuwa na target kubwa kwenye biashara yangu. Hela nyingi nilikuwa na re-invest back into business so capital kubwa kiasi naweza ku-absorb hii situation kwa muda ila vinginevyo ningefunga biashara. Mauzo kudondoka 60% na gharama za uendeshaji zinakua si kitu kidogo.
Pole mkuuKwa kuwa umeulizia biashara yangu naomba nikujibu tu kuwa nimefilisika.. Mtaji umekata na sasa nimerudi kuajiriwa..