Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

My turnover dropped by 60% comparing to Magufuli era.........dont know what gonna happen,future looks bleak!
Hapa sasa kwa wale wa mishahara, hali ni mbaya zaidi kama utaugeuza mshahara kutoka kwenye Tshs kwenda kweny Us Dollar.

Mshahara umeshuka ghafla katika kipindi hiki cha miaka 3, hakuna anayejali.

Dollar imefika 2,900 huko pembeni inakopatikana kwa wingi, na 2,5.. huko isikopatikana.
 
V
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?
VIWANDA ILIKUWA POA SANA, ila tumedharau ndio matokeo yake haya.
 
Hapa sasa kwa wale wa mishahara, hali ni mbaya zaidi kama utaugeuza mshahara kutoka kwenye Tshs kwenda kweny Us Dollar.

Mshahara umeshuka ghafla katika kipindi hiki cha miaka 3, hakuna anayejali.

Dollar imefika 2,900 huko pembeni inakopatikana kwa wingi, na 2,5.. huko isikopatikana.
Yes kwenye black market dollar ni tsh. 2,900 hadi 3,000
 
Mimi na wewe tukiteta tutafanya jambo la faida kwetu sote
Kila kitu kinawezekana mkuu ila huko ni pagumu sana wala sihangaiki
Macho yako Botswana
Unafuga na unalindwa
Ardhi unapewa kubwa sana na unaweka unachotaka
Doria kila saa
Unalindwa na mali zako mkuu
Najua unaweza kuwa na kitu ila kwa huko ni pagumu sana
Hata madini ya mawe mnayo mengi ila mikiki kibao
Napapenda nyumbani mkuu, eti tupewe special status kama wakimbizi 😄
 
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?
Ngoja niwaambie kitu kimoja sijui kama mtanielewa, kwa maisha tuliyofikia sasaivi, hata duniani, kila mtu ajikite kwenye potential yake ( HAPA NDIO KUNAPESA YA KUFA MTU) sema wengi hawafahamu haya mambo, ila sasa ili utoboe vizuri hahahah SERIKALI YAKO IFANYE UWEKEZAJI.( POTENTIAL) mnielewe wakuu, hatuwezi kuajiriwa wote, hatuwezi kuwa wajasiriamali wote, hatuwezi kuwa wafanyabiashara wote...
 
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?

Mimi namuelewa sana. Uzuri mimi nilikuwa na target kubwa kwenye biashara yangu. Hela nyingi nilikuwa na re-invest back into business so capital kubwa kiasi naweza ku-absorb hii situation kwa muda ila vinginevyo ningefunga biashara. Mauzo kudondoka 60% na gharama za uendeshaji zinakua si kitu kidogo.
Kiukweli Mama ame focus sana na matajiri na watu wenye biashara kubwa kubwa tu lakn wafanyabiashara wadogo kama machinga wanafukuzwa barabarani kuwa wanaharibu muonekano wa miji na majiji
 
Back
Top Bottom