ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Sina biashara nakula Hela za mama Samia ambazo nyie ndo wa Lipa kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujui Samia kwasasa anatekeleza maono gani ya nchiUmeongea ukweli
Tena mpaka unamwagika. Tena yupo na bingwa wa uchumi, Dr Mwigulu. Mtaalaam anakwambia uchumi/pesa ni nyingi mno mpaka magari ya namba E yapo mtaani na hivi karibuni namba F na G zitaingia mtaani.Yaani anazipiga nyingi
Bahati mbaya una life mbovu tu sema umeridhikaSina biashara nakula Hela za mama Samia ambazo nyie ndo wa Lipa kodi
Mwigulu alifaa kunyongwa siku nyingi tuTena mpaka unamwagika. Tena yupo na bingwa wa uchumi, Dr Mwigulu. Mtaalaam anakwambia uchumi/pesa ni mwingi mno mpaka magari ya namba E yapo mtaani na hivi karibuni namba F na G zitaingia mtaani.
Anaupiga mwingi mno 🤣
......ndo kwanza yeye ndio waziri wa Maokoto 🤣. Akishavaa skafu ya bendera hapo ndio PhD ya uchumi inapanda vizuri zaidi 🤣🤣Mwigulu alifaa kunyongwa siku nyingi tu
Katukatu sitakaa niende kwa mgangaSio kwamba waendao KWA waganga huwa wanapenda,saa nyingine hali inakuwa iko taiti,unajikuta uko Bariadi kutafuta suluhisho. Kidding
Kipindi Magufuli anaingia kumbuka alirithi uchumi wa JK ambao bado pesa ilikuwemo mifukoni mwa watu..... so kinachotokea sasa ni matokeo ya muda mrefu ya utekelezaji wa sera zake hasa baada ya kukusanya sana mapato ya taasisi yaliyokua nje ya BoT na kuya centralise then kwenda kulipa miradi mikubwa iliyopeleka pesa nyingi nje.Kitu kimoja wakati wa Magufuli wafanyabiashara wote walionyooka walikuwa vizuri sana hata Wahindi, sasa hivi wote wana struggle.
Anamhadaa sana Hangaya, tena huyo Mwigulu ipo siku atamsaliti vibaya mnoo......ndo kwanza yeye ndio waziri wa Maokoto 🤣. Akishavaa skafu ya bendera hapo ndio PhD ya uchumi inapanda vizuri zaidi 🤣🤣
Mchele?Tangu Covid maisha duniani yamekuwa magumu sana na vitu kupanda bei sana
Tofauti ya nchi masikini na nchi tajiri ni kuwa hata kama vitu vinapanda lakini wengine tunamudu
Na kazi nje ni nyingi kwa unaweza hata ukafanya hata kazi tatu
Ila nchi masikini naona wameumia zaidi na zaidi
Poleni sana at least mmeletewa mchele
Huyo ndio mtaalaam na bingwa wa uchumi. Na very very very soon, bunge la bajeti litaanza. Jiandae kusikia bingwa wa uchumi akishusha nondo ya kiPHD za uchumi bungeni. Na akiisoma bajeti ya hadhi na utaalam wa kimataifa 🤣Anamhadaa sana Hangaya, tena huyo Mwigulu ipo siku atamsaliti vibaya mnoo
Bora wewe umefanya tathmini ukagundua umedrop Kwa kiasi gani? Tangu January 20 upatikanaji wa hela umekua mgumu sana inafika point unajaribu kubalance mambo yaende upate tu hela ya kusurviveMpaji Mungu sio mambo ya kucheka haya au mwenzetu hapo Kariakoo mambo yako smooth?
Acha ujinga maisha sio UTT pekee, kama huna mzunguko mzuri huwezi kuvumilia 50M ibaki bank ukose biashara.Wanajamii forums bhana,wakija kule kwenye nyuzi za UTT wanaiponda mnoo,wanasema ni ujinga kuweka mil 50 ili upate laki 5 kila mwezi. Wao wanasema hyo pesa wange itriple ndani ya mwaka kwenye biashara zao..
Ila maajabu nashangaa wanatoa mlio hapa..
This is jamii forums
Bingwa wa majungu na uongoHuyo ndio mtaalaam na bingwa wa uchumi. Na very very very soon, bunge la bajeti litaanza. Jiandae kusikia bingwa wa uchumi akishusha nondo ya kiPHD za uchumi bungeni. Na akiisoma bajeti ya hadhi na utaalam wa kimataifa 🤣
Nisamehe sana bossMchele?
Unatudhihaki mkuu ujue
🤣Bingwa wa majungu na uongo
Uhai bila pesa ni mateso