Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Acha ujinga maisha sio UTT pekee, kama huna mzunguko mzuri huwezi kuvumilia 50M ibaki bank ukose biashara.

Biashara ikinawiri ndipo una jeuri ya kuwekeza UTT
Mjinga ni wewe unaye lia lia hapa. Ninacho zungumzia ni perception hasi ya watu kuhusu investment kwenye mutual funds,dhamana za serikali na masoko mbalimbali ya mitaji na hisa.
 
Wanajamii forums bhana,wakija kule kwenye nyuzi za UTT wanaiponda mnoo,wanasema ni ujinga kuweka mil 50 ili upate laki 5 kila mwezi. Wao wanasema hyo pesa wange itriple ndani ya mwaka kwenye biashara zao..

Ila maajabu nashangaa wanatoa mlio hapa..

This is jamii forums
Simba akikonda hawezi kuwa kama paka, Mfanyabiashara mdogo anaejielewa hawezi kuweka UTT hio 50m apate 500.000 kwa mwezi. Biashara ina up and down lakini UTT waachie wazee na watu wenye 300m+ ambazo ni ziada.
 
Simba akikonda hawezi kuwa kama paka, Mfanyabiashara mdogo anaejielewa hawezi kuweka UTT hio 50m apate 500.000 kwa mwezi. Biashara ina up and down lakini UTT waachie wazee na watu wenye 300m+ ambazo ni ziada.
Mwisho...uzoefu wa mfanyabiashara na muwekezaji eg UTT ni mbingu na ardhi.
Huyu fala tunaposema kuyumba kimapata asifikiri tumeisha isipokuwa faida zimeyumba lkn zipo
 
Sasa huo mchele wa mlo wa shuleni una msaada gani mkuu?

Tunataka miradi ya kutoa ajira.
Ajira zitafsidisha wafanyabiashara
Mkuu kuna tatizo mahali
Kweli tunahitaji viwanda lakini kuna mabonde mengi ya kupita huko
Kuna viongozi wanabana sana sijui kwanini
Hivi leo sisi na mazao yote hayo kunakuwa na shida ya kuleta kwenye masoko ya dunia?
Viwanda leo tunahangaika kuwa navyo
Ila nimeona wame assembled ndege ila mwananchi wamesema mmetengeneza hebu mnijulishe na mimi nijue
Au ni kuunganisha kama Bajaj lakini wanasema zimetengenezwa?

Nimeshindwa hata kutoa korosho nje mkuu nipite wapi anagalia bei zake Ulaya linganisha na bongo
Screenshot_20240318_125508_Instagram~2.png
20240316_142010.jpg
 
Mkuu kuna tatizo mahali
Kweli tunahitaji viwanda lakini kuna mabonde mengi ya kupita huko
Kuna viongozi wanabana sana sijui kwanini
Hivi leo sisi na mazao yote hayo kunakuwa na shida ya kuleta kwenye masoko ya dunia?
Viwanda leo tunahangaika kuwa navyo
Ila nimeona wame assembled ndege ila mwananchi wamesema mmetengeneza hebu mnijulishe na mimi nijue
Au ni kuunganisha kama Bajaj lakini wanasema zimetengenezwa?

Nimeshindwa hata kutoa korosho nje mkuu nipite wapi anagalia bei zake Ulaya linganisha na bongoView attachment 2938279View attachment 2938280
Unaniliza mkuu
 
Sina cha kuongea sana sababu biashara nimeanza kipindi cha Samia. Ila hapa nilipofungua ninapajua na mauzo yalikuwepo, yaliathiriwa na kipindi cha COVID-19 tu na yakarejea vizuri mwaka 2021. Ila baada ya hapo yakashuka, ni jengo zima lenye biashara tofauti tofauti limeshuka kibiashara. Mtaa huu biashara imeshuka kimauzo pia. Hawa niliowakuta wamekata tamaa biashara haiendi, fremu hazilipi wenye nazo wamekomaa na bei zilezile za miaka iliyopita wakati wapangaji haiwalipi tena. Mengine naadithiwa naona kama wanatia chumvi.

Uko Kariakoo tumeingia fresh graduates jobless hivyo profit margin imeshushwa vibaya mno ikichangiwa na online businesses. Bei sio ya kuficha tena, competition ni kubwa sana nina mates walikuwa top 10 kitaifa kwenye O level au A level nao ni ama madarali au wameanzisha biashara kibishi kama mimi.

Aliyefungua nchi labda kafungulia wajomba zake, sisi tuwe wazalendo au tuwe na shukrani kama mzee wazuri hawafi.
 
Nimemsikia Leo Mabeyo anasema kabla ya Magufuli kukataa roho aliitwa Mzena akaambiwa Hali mbaya, Magufuli naye akamwambia Mabeyo wewe ni CDF waamuru haw wanirudishe nikafie nyumbani siwezi kupona.

Baada akaomba aitiwe paroko wake wa Saint Peters oysterbay na Kardinali Pengo.

Baadaye ya kukata roho Mabeyo ndiye aliyeambiwa, akamuita waziri mkuu na Bashiru wakaulizana Nani anapaswa kutangaza ikabidi waangalie katiba, hapo Mama aliwekwa pembeni na Mabeyo.

Hadithi hii inatufundisha Mabeyo alipewa fursa na Mungu kuwakombowa Watanzania lakini alishindwa kuitumia.

Kuyaondowa haya mashetani ya CCM itatuchukuwa muda Sana.

Hivi Una mtu kama Dr Kimei na hayumo kwenye cabinet umejaza Wahuni na machawa tu, mnatarajia unafuu upi wa Maisha?
 
Sina cha kuongea sana sababu biashara nimeanza kipindi cha Samia. Ila hapa nilipofungua ninapajua na mauzo yalikuwepo, yaliathiriwa na kipindi cha COVID-19 tu na yakarejea vizuri mwaka 2021. Ila baada ya hapo yakashuka, ni jengo zima lenye biashara tofauti tofauti limeshuka kibiashara. Mtaa huu biashara imeshuka kimauzo pia. Hawa niliowakuta wamekata tamaa biashara haiendi, fremu hazilipi wenye nazo wamekomaa na bei zilezile za miaka iliyopita wakati wapangaji haiwalipi tena. Mengine naadithiwa naona kama wanatia chumvi.

Uko Kariakoo tumeingia fresh graduates jobless hivyo profit margin imeshushwa vibaya mno ikichangiwa na online businesses. Bei sio ya kuficha tena, competition ni kubwa sana nina mates walikuwa top 10 kitaifa kwenye O level au A level nao ni ama madarali au wameanzisha biashara kibishi kama mimi.

Aliyefungua nchi labda kafungulia wajomba zake, sisi tuwe wazalendo au tuwe na shukrani kama mzee wazuri hawafi.
Nchi imefunguliwa Wapemba wajae bara kwenye positions tofauti na biashara ya familia yake
 
Nimemsikia Leo Mabeyo anasema kabla ya Magufuli kukataa roho aliitwa Mzena akaambiwa Hali mbaya, Magufuli naye akamwambia Mabeyo wewe ni CDF waamuru haw wanirudishe nikafie nyumbani siwezi kupona.

Baada akaomba asitowe paroko wake wa Saint Peters oysterbay na Kardinali Pengo.

Baada ya kukata roho Mabeyo ndiye aliyeambiwa, akamuita waziri mkuu na Bashiru wakaulizana Nani anapaswa kutangaza ikabidi waangalie katiba, hapo Mama aliwekwa pembeni na Mabeyo.

Hadithi hii inatufundisha Mabeyo alipewa fursa na Mungu kuwakombowa Watanzania lakini alishindwa kuitumia.

Kuyaondowa haya mashetani ya CCM itatuchukuwa muda Sana.

Hivi Una mtu kama Dr Kimei na hayumo kwenye cabinet umejaza Wahuni na machawa tu, mnatarajia unafuu upi wa Maisha?
Jeep wrangler bado ipo mkuu wangu?
 
Unaniliza mkuu
Mimi ninaumia zaidi na niko nje
Dual tumenyimwa nafikiri tungepewa hata cha mawese ningefungua
Mchina katengeneza mashine za kila aina hata ya kuvunja mawe ningeleta na malori mbona ningeajiri hata 20 au 30?
Ila ndugu zetu wao wameshiba mpaka wanasema sasa mikopo basi acha zipungue tulizokwapua

Kweli naumia, korosho tena sokoni zimejaa na sisi tunauziwa Ulaya 1kg 40,000 yaani hata ukinitumia kwa ndege napata faida nzuri tu

Acha tupambane tuwasaidie nyumbani sisi ndio tegemeo
 
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?
Kwangu pia mambo ni mazito na nilifikiri labda ni kwangu tu.
 
Mimi ninaumia zaidi na niko nje
Dual tumenyimwa nafikiri tungepewa hata cha mawese ningefungua
Mchina katengeneza mashine za kila aina hata ya kuvunja mawe ningeleta na malori mbona ningeajiri hata 20 au 30?
Ila ndugu zetu wao wameshiba mpaka wanasema sasa mikopo basi acha zipungue tulizokwapua

Kweli naumia, korosho tena sokoni zimejaa na sisi tunaiziwa Ulaya 1kg 40,000 yaani hata ukinitumia kwa ndege napata faida nzuri tu

Acha tupambane tuwasaidie nyumbani sisi ndio tegemeo
Mimi na wewe tukiteta tutafanya jambo la faida kwetu sote
 
Back
Top Bottom