Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Pesa mtaani zimepotelea wapi? Je, biashara yako inaendaje?

Kikwete na wanamtandao wenzao walishikwa mfukoni uchumi ukahamia mifukoni mwa matapeli! Ilifia hatua serikali ilikopa hela kwa watu binafsi kulipa mishahara!
Magufuli ndo aliididimiza zaidi nchi kwa kutumia theories zilizoshindwa kwa wengine!

Swali ni jee, hizi data tunazopewa na TRA na BoT zinapikwa? Hakuna reflection katika real life juu ya kinachohubiriwa na hao watu.
Ukitaka kunyoosha chuma kilichopinda lazima ukipashe joto. Magufuli alikuwa anayoosha kwa kupasha joto.
 
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?
Walipita wakaja
 
Sasa kwa miaka ijayo hali ndo itakuwa ngumu zaidi mana kuna uchaguzi mwaka huu na mwakan plus hela nyingi ztapelekwa maandalizi ya AFCON aisee nchi itakuwa ngumu sn hii ni kuombeana mungu tu
Uchaguzi pesa zitaenda kwenye kandarasi ya kuchapa karatasi lakini nyingi zitakuja mtaani.

AFCON ndio janga watspewa kandarasi wageni, hivyo watachota hazina yetu.

Wangekuwa na akili wangeajiri consultants pekee ujenzi zipewe kampuni za kizawa pesa ibaki
 
Ukitaka kunyoosha chuma kilichopinda lazima ukipashe joto. Magufuli alikuwa anayoosha kwa kupasha joto.
Magufuli's Administration in Economy ilikua total failure kwa siku za usoni! Sera zake hazikua rafiki kwenye kuponya majeraha ndio maana nayeye ilifikia hatua serikali yake ilikopa hadi taasisi za biashara zenye riba kubwa sana na mikopo ya muda mfupi!! Imagine huu utawala unalipia mikopo iliyoiva aliyokopa Magufuli!
 
Magufuli's Administration in Economy ilikua total failure kwa siku za usoni! Sera zake hazikua rafiki kwenye kuponya majeraha ndio maana nayeye ilifikia hatua serikali yake ilikopa hadi taasisi za biashara zenye riba kubwa sana na mikopo ya muda mfupi!! Imagine huu utawala unalipia mikopo iliyoiva aliyokopa Magufuli!
Hii nayo ni hatari
 
Wakuu habari zenu,

Wakati wa utawala wa Mkapa kuna hali ya ukata wa pesa ulijitokeza tukauita UKAPA.

Wakati wa JK kiasi flani mambo yakalainika japo ufisadi ulikuwa juu sana na mfumuko wa bei. Kila mtu aligeuka dalali. Pale Mnazi Mmoja wakazaliwa madali wenye vitambi na kiburi, huwezi uza gari kupitia wao.

Wakati wa JPM likajitokeza neno VYUMA vimekaza. Mwanzoni mwa utawala wa JPM miradi binafsi na iashara zilidoda, hili hata mimi lilinikumba lakini kuna wakati mambo yalininyookea hatari.

Awamu hii ya mama, tulitegemea mambo yanyooke zaidi kwani kwa kauli kuwa anaifungua nchi tulitegemea neema zaidi.

Mambo yamekuwa kinyume sana. Biashara nyingi zimeyumba, mfano kariakoo hali sio nzuri kabisa.

Makampuni mengi binafsi yako hoi.

Shule binafsi wanalia.

Wananchi huku chini uraiani hali ni tete kuliko maelezo.

Je huko uliko hali ikoje?
Hali tete
 
Gwajima aliongea vizuri sana alipoingia bungeni kuwa hii tabia kila rais akiingia anaanza lwake hatufiki.

Kwangu mimi JK ndiye alikuwa muharibifu zaidi na magenge yake.

JPM alikuwa na nia njema sana ya kuijenga nchi...isipokuwa ubabe na kutosikiliza wataalamu wa uchumi.

But...Magufuli alianza kutufanya tuanze kutumia akili zaidi.

Sasa tuko zama za uchawa mtupu na hatujui uelekeo
Umeongea ukweli
 
Back
Top Bottom