kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Mkuu tujikaze tutavuka tuMimi pia najiuliza mara mbili mbili, mwezi WA 5 nilipie tena? Au nitulie maana Hali ni tete.
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tujikaze tutavuka tuMimi pia najiuliza mara mbili mbili, mwezi WA 5 nilipie tena? Au nitulie maana Hali ni tete.
Una tabia za kuropoka sana, sio kila mtu ni mtumishi wa umma, wengine hatuzijui hata hizo mali za uma tunapambana kw kutumia nguvu na akili zetu.Mlizowea mteremko, mama kaanza kukaba mpaka penalty.
Wizi wa mali za umma tunawaona mnavyolalamika humu.
Hahaha ofcoz Kuna mteja kaja kafukia gepu ndio nimefika 500k Kama siyo huuyu mteja leo ningaelaza 120k[emoji23][emoji23]Faida au mauzo yote
Sahz nasikia mnapewa visheti,tende, bajia, kalimati na kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.Mlizowea mteremko, mama kaanza kukaba mpaka penalty.
Wizi wa mali za umma tunawaona mnavyolalamika humu.
Umenilipia kwa pigo moja hahaSahz nasikia mnapewa visheti,tender,kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.
Tutavuka japo Kwa tabu sanaa
Uchumi umevurugwa sanaTutavuka japo Kwa tabu sanaa
Wewe umenunua magari mangapi ya namba EMbona watu wananunua magari kibao. Namba E zimejaa road.
Acha tu ndugu hakuna kitu kibaya kama biashara kudoda .Mbaya zaidi pesa ya matumizi ukiwa unatoa humo humo.Jusi nilikwenda kufanya interview baada kuonaa biahsra sielewi kbsa
Napumulia machine mkuu! We acha tu!Wewe mambo super mkuu
Wewe ukiwa mtafutaji Bakhresa tumuite nani?Sahz nasikia mnapewa visheti,tende, bajia, kalimati na kuchotewa Michele na nyama kedekede huko misikitini nyie kazi yenu ni kula, kuvimbiwa na kujambiana baas sana sana na kwenda kupoteza muda kujichamba. Huwezi elewa lugha ya watafutaji. Kiufupi nyie ni minyoo sio rahisi kuhisi shida mlipo labda mwenye tumbo lake afe.
Hakuna cha unafuu, uongo mbaya E.Pole! Lakini wewe una unafuu
Bora kushukurunikipata ugali nasema asante mola