Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Mkuu, ungefunguka tu historia ya ukweli wote mpaka ya nyuma ya pazia juu ya Utajiri wa Bakhresa. Maana akina fulani wanamsifia kuwa yeye ni msafi mno na mali alizonazo zote kazipata kwa njia safi mno.Bakhresa ni zao lile lile la minyoo..... hujui yaliyopo nyuma ya pazia ya watu aina ya Bakhresa! Narudi kwako wewe ni mnyoo tuuu hujui na huwezi elewa msoto wa kutafuta! Shiba kisha vimbiwa usubiri kuliwa na mmeo. Mko watu wa hovyo sana.