Mama amka please! Nchi inatafutwa hii!Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama amka please! Nchi inatafutwa hii!Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
UntachaboooooooooHuko mbali sana,pesa ziko kwenye akaunti ya Nyanza Construction na Mayanga Construction zaidi ya trilionUhisi
Mnasubiri nini sasa?Tukianza kuwamulika Polepole na Dr. Ally hawaponi na late Mfugare wachahe kati ya wengi
Kwani mimi ni Serikali?Mnasubiri nini sasa?
Mnhh!!Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Mnavyo msakama Maguuli utadhani sasa hivi hakuna ufiasadiKuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Mere accusations...Huko mbali sana,pesa ziko kwenye akaunti ya Nyanza Construction na Mayanga Construction zaidi ya trilioni 2
Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Sawa mkuu,ila wasianze kuchafua wasiokuwepo,ilhali wao bado wapo...Mama amka please! Nchi inatafutwa hii!
Unauhakika au upo kama kasuku kuropoka tu?.Huko mbali sana,pesa ziko kwenye akaunti ya Nyanza Construction na Mayanga Construction zaidi ya trilioni 2
Yule Mzee aliyefata dawa ya korona kwa ndege yetu kumbe ndani alibeba mzigo wa noti, ila Jiwe katajirisha watu, kama Kuna mtu alipewa fedha kwa Siri, itakuwa kakausha nazo.Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Kuna madai kwamba tukiingia nyumbani kwa mmoja wao kuna chumba cha sqm 40 kimejaa noti .Huko mbali sana,pesa ziko kwenye akaunti ya Nyanza Construction na Mayanga Construction zaidi ya trilioni 2
Kazi imeanza 🤣🤣🤣Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Ngoja wazalendo walinda legacy waje!!Kuna kakikundi kaliko aminisha Umma kwamba ni kasafi Kumbe kameoza sana
Pesa zaidi ya Trilion 3 ziko hapo visiwa jirani.
B
Ambaye alikuwa msafi na mkewe naye akawa msafi, ni nyerere peke yakeKatika vitu nachukia sana ni kuwa na Rais ambaye anasema anaipigania nchi kumbe ni mwizi au anashirikiana na wezi.
Ila haitoshi hata yule ambaye anaonyeshwa na vyombo vyake au raia wake kuwa yule na yule ni mwizi na fisadi na walichoiba kiko mahali fulani na hachukui hatua bali mipasho tuu au kupotezea.
Watu wa aina hiyo ni wa hovyo sana.
Unajua nn mkuu tatizo linakuja pale tuliaminishwa ni wazalendo wa kweli tunawapambania wanyonge kibaya zaid unakuja kusikia hizi hbr mkuu inauma sana!! Hizo awamu nyingine mamb yanajulikana yalikua chukua chukua lkn mkuu imagine unaambiwa sisi ni wazalendo halafu unakuja sikia ngenga kama hiz unaweza kataa kusikiliza watawala mazima!!Hakuna awamu ambayo haijawahi kuliibia Taifa hili, hasa kuanzia ya pili nakuendelea.
Tukitaka kupigana hii vita tuache unafiki.
Hakuna awamu ambayo haijawahi kuliibia Taifa hili, hasa kuanzia ya pili nakuendelea.
Tukitaka kupigana hii vita tuache unafiki.
Hata awamu ya kwanza waliiba. NMC, RTC, BANDARI na mashirika mengine. Kwenye vyama vya ushirika ununuzi hewa na baadaye kuchoma maghala.Hakuna awamu ambayo haijawahi kuliibia Taifa hili, hasa kuanzia ya pili nakuendelea.
Tukitaka kupigana hii vita tuache unafiki.