- Thread starter
- #21
Mbunge anafanya kazi aliyotumwa na wananchi kwa manufaa ya wananchi anaowaongoza kwa hiyo faida ni kwa wote.Kama wabunge wanalipwa zaidi ya lak 3 kwa kusema ndio, mwisho wa mwezi zaidi ya milion 13, mafuta lita 1000 kwa wmezi, na kiinua mgongo cha miaka 5 zaidi ya mls 250 ambazo zote hizo ni pesa za walipa kodi, basi waache wanafunzi wapewe hiyo pesa maana ni mkopo wakimaliza wataulipa.
Punguzeni makasiriko sio kila kijana hiyo pesa anaitumia kwenye ulevi.
Vipi kuhusu huyo mwanachuo?