Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

Pesa ya kujikimu kwa wanafunzi ipunguzwe wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6, pia pesa ya books and stationary iondolewe au nayo ipunguzwe.

Acha wivu huo ni mkopo,alafu kasome mzee maandishi mengi ya lugha ya kigeni unachapia tuuu
 
Badala ya kupunguza mimi nashauri waongezewe hadi 15000 kwa siku gharama za maisha zimepanda sana, labda wabunge ndo wapunguziwe posho zao

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Wewe 5000 kwa siku ungeibudget vipi kutokea asubuhi hadi usiku katika kujikimu? [emoji848]
Sasa hivi nafikri chakula kwenye kantini kitakuwa imefikia labda 2000 sasa ukiweka na chai pamoja na maji hiyo 5k haitoshi kwa kweli ila 7.5k inatosha na chenji inabaki. Maji pale Bugando nafikri kwenye ile mitambo yao wanauziwa 200 kwa lita kama sikosei! Wakifanya hiyo 7.5k vijana wote walioko chuoni wapewe boom!
 
Wanakopeshwa, watakuja kuzirudisha.

Mimi napendekeza ziongezwe posho ya siku angalau iwe 16,000
 
Hivi hizo hela zikibaki kama zilivyo ndugu mwandishi wa uzi unapoteza nini?
Watalaam wa serikali wamekokotoa na kufikia uamuzi kutoa pesa hizo, wewe ni nani?
Serikali hata isipolipwa hizo hela haitafirisika.
Acheni nyoyo za chuki.
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
kama ulishawahi kusikia kuna watu huwa wanatumwa au kutumiwa na shetani, wewe ni mmoja wao. na ninaamini haujawahi kupitia chuo. badala ya kusema waongezwe unataka wapunguziwe?
 
acha wale Tena wangepewa hata 20 per day wewe kinakuuma nn? Mbona wabu ge.............hausemi?
 
Hata ikapunguzwa ifike 1000 kwa siku hiyo 9000 iliyopungua hutaiona kokote ukafurahia zaidi itaingia mifukoni kwa wakubwa.
Hapa cha kufutwa ni posho za wabunge tu mishahara yao ni mikubwa inawatosha.
 
Tuongee uhalisia.
Elfu 10 kwa siku kwa mtu ambaye huna majukumu zaidi ya kusoma unaitumia vipi?
Kwani majukumu uliyokuwa nayo wewe unadhani na mwenzako anayo yaleyale mkuu? Kila mmoja ana majukumu yake.
 
Unataka wanachuo wale msoto?

Hiyo pesa ni kawaida sana kulinganisha na gharama za maisha. Kumbuka ndio pesa wanayoitegemea pia kuvaa, nauli za hapa na pale bila kusahau wengine ndio hulipia gharama za hostel au maghetto.

Kumbuka huo ni mkopo sio fadhila.
 
Mleta mada angesema ipunguzwe ili wanachuo wote wapate. Na siyo lazima iwe 5000 inaweza kuwa hata 7500 kwa siku ili inayobaki ikajazie kwa waliokosa!
Angesema hivi kidogo angeonekana ana point.
Lakini yeye hoja yake anataka hela ya mkopo wa wanafunzi ipunguzwe tu bila kujali hiyo pesa iliyopunguzwa itaenda wapi?itamnufaisha nini yeye binafsi?kwa kifupi kaonesha kisirani tu kwa wanafunzi kuona kama wanakula hela za bure hajui kwamba stress za kusoma kwa Bongo ni zaidi ya kazi
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
Tatizo unakunywa sana bia 😂😂😂
 
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.

Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?

Wanafunzi wakumbuke chuo wameenda kusoma na sio kuoneshana ufahari wa matumizi,

Hivyo bodi ya mikopo iwapunguzie hawa wanafunzi pesa kutoka elfu 10 wapewe elfu 5 ikizidi sana elfu 6 na si zaidi ya hapo.

Pia kuna hii pesa ya books and stationaries, kiukweli hakuna mwanachuo anayepoteza pesa yake kununua vitabu ,wengi wanasoma tu slides za walimu wao ikizidi sana wana google tu.

La kama kuna ulazima wa hivyo vitabu basi waende library na uzuri library nyingi vitabu wana azimisha kwa mwanafunzi anayehitaji.

Kwa hiyo hii pesa bora iondolewe tu.

Zingatieni hili kuna mahitaji mengi ya msingi kwa wananchi kuliko kuendelea kuwaendekeza hao.

Bora kiasi kipunguzwe na kielekezwe kwenye huduma zingine za msingi za kijamii.
watakuambia ni mkopo siyo ruzuku
 
Tafuta pesa uache kusema elfu kumi ni pesa ya mke, mme na watoto wakati elfu kumi ni kilo ya nyama tu
 
Mleta mada anaonekana ni aina ya watu fulani wenye roho mbaya (tabia za kichawi) ukiangalia alipo leta mada pointi yake kubwa ilikuwa ni kwamba hiyo hela ni kubwa kwa mwanafunzi ni hela yw matumizi ya familia baada yakuona anashambuliwa ameanza kuleta hoja nyengine sasa kuwa na wengine wapate.. hiyo hela wanayopewa ya matumizi asilimia kubwa ya watu hiyo hela ndio wanatumia kwa gharama zao zote za maisha ukijumuisha matumizi ya chakula hostel/kodi pia nakukamilisha malipo ya ada..
 
Back
Top Bottom