Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

Kwaiyo hata wanao unawakopesha?
 
Huu msimamo nimeupenda.
Sasa kila mtu ale kwa nguvu zake
 
Mtu anayefanya hayo jua ana uwezo wa kufanya hayo na hiyo pesa haimuumi.

Siku zote sisi tusiokuwa na pesa tukiona mwenye pesa anatumia pesa zake tunasema anatumia vibaya.
Hivi wewe unawajua vijana wa hovyo?
Sisi kazini tulikuwa naye mmoja. Anakubali kazini ale mihogo na chai atumie buku tu halafu jioni anakwenda kuteketeza 50 kwenye zinaa. Alifukuzwa kazi sasa naona anazikumbuka zile 50k za lodge
 
Kweli kabisa bora upige nyeto uokoe kibunda. Uzinzi ni gharama
 
Kuna wanaume maboya kweli aliyekuambia kwasababu wewe ni mwanaume basi unatoa tu nani.? Ndo maana Kuna wanawake wamegeuza viungo vyao mtaji baadao ya kugundua Kuna wanaume maboya. Kama mwanaume unachotakiwa kufanya nikumsaidia katika baadhi ya vitu mfano unahitaji mawasiliano na hana simu, Itabidi umtafutie simu ya Ili muwasililane, hana nguo nzuri, Mnunulie apendeze . Hayo hufanyika wakati tayari mna mahusiano

Pesa zinatumika pale unapo taka kulazimisha penzi unatumia nguvu ya pesa baada ya kushindwa kushawishi Kwa maneno, Mara nyingi sis wazee ndo tunatapaswa kufanya hivyo sio vijana.
kunikosoa ruksa
 
Hivi wewe unawajua vijana wa hovyo?
Sisi kazini tulikuwa naye mmoja. Anakubali kazini ale mihogo na chai atumie buku tu halafu jioni anakwenda kuteketeza 50 kwenye zinaa. Alifukuzwa kazi sasa naona anazikumbuka zile 50k za lodge
Unajua kila jambo kuna vile mtu analichukulia (mtazamo) yeye kumaliza hela gest huenda kwake anaona ndo sahihi kuliko kula au kufanya kingine.

Mtu kama huyo hata hizo 50 huenda hajutii kama unavyodhani, na akipata zingine mwendo utakuwa uleule.
 
Kaka mkubwa umeandika mambo ya akili sana ila sidhani kwa vijana hawa walio jaa ujuaji kama watakuelewa. Mimi binafsi nilishakua kama wewe kuumiza kichwa kufikiria jinsi gani utaiokoa jamii yako ila niliona nitaota upara bure tu .

Hawa vijana dawa yao ni kuwaletea mambo ya kipumbavu na ya kishenzi zaidi yao ndio mtaenda nao sawa ila ukileta ya akili watu hawakuelewi hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…