Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

Mtu anayefanya hayo jua ana uwezo wa kufanya hayo na hiyo pesa haimuumi.

Siku zote sisi tusiokuwa na pesa tukiona mwenye pesa anatumia pesa zake tunasema anatumia vibaya.
Kwa hiyo hivyo viten ten mnavyo tapanya badara ya kuvirundika na kuviwekeza ndio mnasema mnahela.....?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ujalazimisha penzi inamana Pesa ya Lodge haulipi, Chakula hio siku mnapewa bure, Usafiri huyo demu na wewe mtapandishwa bure nk.....Soma alichiandika jamaa kwanza sipo upande wa jamaa ila hapa nimekereka kwa kutokuelewa hoja....Mosi.

Pili, unasema mwanaume hatakiwi potential pesa then juu pale unasema eti kumnunulia simu, nguo amended nk sindio matumizi yenyewe hayo ambayo mwanaume anatoa pesa aliyoifanyia kazi.
 
Kumbe
Ngoja niwaandalie upumbavu.
Dawa ya mpumbavu ni upumbavu square
 
Nadhani Hoja ya msingi kusema vijana watched uzinzi tu basi.

Ila kusema wanapoteza pesa kwaajiri ya Mapenzi hakuna njia ya mwanaume kuepuka kuchoma pesa kwenye Mapenzi mpaka siku unakufa labda uamue kuachana na mapenzi ambapo haiwezekani na ndio utaingia gharama kubwa zaidi japonica haipo in form of money.

Utasema kuoa na kuandika kwa usatadi, ila ukweli kuoa ndio unachoma hizo pesa Γ—1000 zaidi ya kwenda Lodge simaanishi usioe uchakate mademu Lodge Noooop namaanisha hakuna namna Mwanume utaepuka kuchoma pesa zako kwenye penzi.

Chakuongeza, wanaume moja ya motive ya sisi kusaka mkwanja ni Mapenzi naweza kukuuliza matumizi mengine ya msingi ya hio pesa unasema utaibana huezi niambia utaazungukazunguka tu na kurdish kwenye Penzi.
 
Kulala 10/15
Chakula na vinywaji 30,000/-
Ali request ukalpa 8,000/-
Nauli ya kurud 8000
Pocket money 30000/-

Jumla laki chin ya 24hrs pesa unaisaka ndan ya siku 7

Love is scammer

Tafuta malayai nunua k 3000/5000
Kila siku matumiz ya juu siku 7 (35000/-)
 
Kwa hiyo hivyo viten ten mnavyo tapanya badara ya kuvirundika na kuviwekeza ndio mnasema mnahela.....?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani kama kuna sehemu nimesema nina hela.
 
Kumbe
Ngoja niwaandalie upumbavu.
Dawa ya mpumbavu ni upumbavu square
Hawa vijana ukijifanya unatumia akili nyingi na busara kuongea nao ndugu yangu utaongea pekeyako na hakuna kitu utawafanya. ona majibu yao kwenye koment.

Ila njaa zikiwabana utakuta wanatia huruma wanaomba Connection za michongo sasa hapo na wewe ndio inakua time yako ya ku revenge kuwambia wakale waliko peleka mboga. Tena kwa mizahaa ili kiwaume
 
Sex ni expensive lakini ni nature sio kitu unaweza amua tu usikifanye
Hahaha ni basic need,Mim nikiwa sinanyege akili Huwa zinapiga hesabu hivi hivi tena Mangi haswa,balaaa nikichatishwa tu au nikae week mbili bila bila ujue nitatuma nauli hata Laki.

Yaani zambi ngumu kuishinda nihii Sasa, ukiwaza alichokufanyia last mechi ...uwiiiii akili inahama haswa yaani Kila mwenye nyonyo ninakua nampigia hesabu zakumlaa tu.
Broo ni nature niugaidi kuizuiaaa.
 
Nacho shukuru Mungu mpaka Sasa naukaribia uzee...

Ujinga Huwa unabakia kichwani tu sijawai utenda nimekua mtu wa kuwaza phenomenal impact & que sequences

MWENYEZI MUNGU ATUONGOZE SANAA πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ndio matumizi ya hela hayo mkuu..
 
Huu
Huu uzi ulipaswa kuishia kwenye TITLE tu.

Yaani title tu imemaliza kila kitu.
 
Hawa watoto wapo kwaajili yetu acha wafaidi jasho letu japo Kuna wanaume wenzetu wanakismati Cha kupendwa bila hata pesa
 
Malaya wa 3000/5000 hawana hadhi kiongozi.

Pili umuhondomoi kwa kujiachia

Tatu wengi ni chap kwa haraka yaani chomeka kojoa.

Lakini la mwisho hiyo 3000/5000 Bado ni pesa hivyo kila mtu ale urefu wa kamba yake
 
1. Mbona kama unatufokea.
2. Unawapangia watu maisha na pesa zao.
3. Sio Kila mtu anataka kuoa. Sio SHeria kwamba lazima uone. We ukioa inatosha
4. Ngono ni muhimu sana kwa afya ya mwili na akili.
5. Kwa Hali ya Sasa ya kiuchumi duniani ngono lazima iuzwe

6. Kifedga ushauri wako ni mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…