Pesa ya lodge wewe, pesa ya chakula na vinywaji wewe, mkimaliza kuzini pesa ya nauli wewe, pesa ya matumizi wewe. Kijana, tafakari una akili timamu?

Sawa ni rahisi tu ishi na wazungu.
 
True ndo maana nimebaki singo napiga mazoezi makali asubuhi na jioni ili nisipate muda wa kuwaza sana ngono
 
Cha ajabu vijana walio oa ndio tunashinda nao bar kila weekend hawataki kurudi nyumbani wanasema kuna makelele, usijidanganye ukaoa ili upate uhakika wa mbususu. Kama unaweza kulipia upunguze uzito then uendelee na shughuli zako za msingi nakushauri lipia. Attachments/Ndoa inakusogeza karibu na kifo zaidi
 
kijana onea hurua akili yako
kijana penda familia yako
kijana bora umpe mama hela hiyo hela ya lodge
kijana penda mwili wako.
kijana mama yako asante yake inafungua rizki na kuleta baraka kwako
kijana hao watu kuruka ruka nao kuna mikosi kwenye maisha
kijana tunza hela yako
kijana kuwa mbinafsi kwa malengo
 
Unajua kila jambo kuna vile mtu analichukulia (mtazamo) yeye kumaliza hela gest huenda kwake anaona ndo sahihi kuliko kula au kufanya kingine.

Mtu kama huyo hata hizo 50 huenda hajutii kama unavyodhani, na akipata zingine mwendo utakuwa uleule.
Kweli Nadhani ni jinsi mtu alivyoumbwa katika Vipaumbele vyake na kile kinachompa Raha. Mwingine kuhonga mwanamke kwake ndio raha .. na anapenda mwanamke amuombe hele na yeye ajisifie kuwa mm ninamtunza huyu etc etc,,... DUNIA PANA SANA HII..
 
Sasa pesa si ndio inanunua material ya kusafishia tundaa, tusipo safisha na kuiweka safi utakula kwel? Alaf mkigoma sisi tutatumia dildo nyie mtatumia nini?
 
Sikupingi mkuu hii ni busara ila nadhani kuweka mazingira sawa ya ushauri wako ni tujitahidi kuwa na msichana mmoja itasaidia sana
Binafsi kuwa na girl friend mmoja ambae Kuna wakati ananiuzia na Kuna wakati ananipa free imesaidia sana
Haisaidii maana naye ni muuzaji tu, hakuna mwanamke utakuwa naye aache kutaka dependency ya hela kwako. Hata walioolewa (Wake) ni madanga kwa waume wao -hawataki kufanya kazi wanataka mme ndie ahudumie kila kitu et kwa sabab ni watoto wake.
Unaweza ukawa na mwanamke mmoja akakuchuna kulko kuwa na wanawake 6 unaowapa vi-ten ten. Dhana ya kuchunwa ni very contradictory
 
Kweli Nadhani ni jinsi mtu alivyoumbwa katika Vipaumbele vyake na kile kinachompa Raha. Mwingine kuhonga mwanamke kwake ndio raha .. na anapenda mwanamke amuombe hele na yeye ajisifie kuwa mm ninamtunza huyu etc etc,,... DUNIA PANA SANA HII..
Uko sahihi mkuu
 
Sasa pesa si ndio inanunua material ya kusafishia tundaa, tusipo safisha na kuiweka safi utakula kwel? Alaf mkigoma sisi tutatumia dildo nyie mtatumia nini?
Samahani mkuu, wewe ni me au ke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…