Pesa ya Mwanamke ilivyotamu lazima niilambe! Huo ndio msimamo wangu

Navipataje!!?
 
nilimkopa wife laki sita, na Sina dalili za kulipa, na juzi kakuta sms ya mchepuko kwenye simu yangu, aisee kanipiga mkwara nisipompa hela yake lazima avute pumbu zangu,

huyu mshenzi alivyo kauzu Sina jinsi lazima nimlipe mama'e
 
nilimkopa wife laki sita, na Sina dalili za kulipa, na juzi kakuta sms ya mchepuko kwenye simu yangu, aisee kanipiga mkwara nisipompa hela yake lazima avute pumbu zangu,

huyu mshenzi alivyo kauzu Sina jinsi lazima nimlipe mama'e

πŸ˜€πŸ˜€

Usimtese Mkeo.
Usizini
 
Tatizo lako wewe unaejiita taikon wa fasihi huwa unaandika uzi mreeefu.

Na bahati mbaya zaidi nadhani huwa hauhakiki uzi wako kimaudhui kabla ya kuupost.
Ama lah huwa una mambo mengi kichwani ukiwa unaandika uzi wako.

Kwasababu kwenye huu uzi wako upo kuwili kuwili mara ukatae hiki lakini ukiendelea mbele umejitetea kwa kukikubali kwa maneno mengine.

Uzi una maneno meengi yanayojirudia kimaana.

Kama wewe ni mwandishi kweli basi punguza maneno meengi yenye maana moja.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi ni Wale wahubiri tunahubiri mpaka waumini wanalala.
 
Weka akilini, Wanawake wanamacho Kwa wanaume wanaowapenda na kuwafikisha kileleni.
Hapa ndo mnapokosea mpaka kusimamia visigino kumbe mwanamke hana hisia na wewe.

Kama ulivyosema wanawake kwenye mahusiano hufikiri kwa hisia na sio akili kama wanaume kama Vishu Mtata hufikiri. Hivyo basi haijalishi perfomance yako, kumkamata mwanamke kwanza kabisa ni maneno na si vitendo.

Pili vitendo vikishabihiana na maneno yako ya awali kwa angharabu 60%.

Tatu ndio kitandani sasa.
Hapo hata kama ni kimoko chali unarudi palee juu kwenye maneno anatengenezeka .....
Usikubali kuoa mwanamke MASIKINI, Hilo kila mara Taikon analisemaga,
Usikubali kuoa mwanamke mvivu.
Anaweza kua masikini lakini ukamtumia kupata pesa.
Kusema usioe mwanamke maskini huko ni kutaka kamseleleko na hiyo sio sifa ya mwanaume.

Kuna jamaa kaoa mwanamke kwao ni kweli wana pesa mno lakini ni mvivu wa kutupwa, hafanyi kazi yoyote. Anazidi kutipwilika na kunenepeana tu. Sasa hata ule muonekano uliompendea unapotea kwa kupenda mwanamke asie maskini.

Akili kumkichwa ROBERT HERIEL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…