Peter Madeleka: Kutishia watu kuwapeleka Magereza ili wateseke ni Ushamba na ulimbukeni. Kuuza bandari za Watanganyika ni ufisadi

Kwa hiyo vibaraka wenzako woote wa CCM unawajua akina Katambi na wenzake
 
Wewe nawe ulienda shule kweli ? Hakuna anayekataa ubinafishaji wa Bandari, kinacholeta ukakasi ni maudhui ya mkataba wenywe.
Tatizo sio mkataba ni uelewa wa kilichoandikwa. Ule mkataba wa IGA ambao una mawanda mapana ya kibiashara.

Hayo mawanda ndio yanayotayarishiwa mikataba ya kibiashara na humo ndimo watanzania tujimwage kwa kina katika kutetea maslahi yetu kibiashara.

Anayelalamikia mkataba kuwa ni wa kinyonyaji hana uelewa wa nini haswa kinakwenda kufanyika.
 
Huyu wakili ni kati ya mawakili wenye akili sana na bora Tanzania inejaliwa kuwa Naye ndio maana anaandamwa
 
Tuna rais wa ajaby
Rais anapaswa kusimamia maslahi ya umma na si maslahi ya kikundi kidogo cha watu.

Hakuna mahala ambapo nimeona rais huyu yupo kwa ajili yetu
 
Basi ungeendelea kubaki huko Ili kudhinirisha ushamba wao! Pumbavu!
 
Kuendesha wenyewe sio suala la kiuchumi
 
Wewe ndio hijui. Kama unajua basi wewe ni chawa
 
Kuendesha wenyewe sio suala la kiuchumi
Sisi wenyewe ndio tunapata hati chafu kila CAG anapofanya ukaguzi pale TPA. Mawazo ya kijamaa hayana msaada katika uendeshaji wa bandari kisasa.

Kuna masuala mengi ambayo sisi hatuna uwezo wa kuyakabili katika uendeshaji wa bandari. DP World anamiliki meli 400 maana yake baadhi yake anaweza kuzitenga kwa ajili ya kuhudumia bandari yetu peke yake.

Kuna masuala ya kuharibika vifaa vya kazi pale bandarini na uwezo wa mwendeshaji wa kuhakikisha vinafanya kazi haraka ili uendeshaji usikwamishwe.
 
Basi tutawaliwe , maana inaonyesha hatuna uwezo wa kujiongoza
 
Basi tutawaliwe , maana inaonyesha hatuna uwezo wa kujiongoza
India tunapokwenda kutibiwa matatizo ya moyo kila mara wameingia mkataba na DP World.

Na wao wanayo haki ya kusema watawaliwe kisa hawana uwezo wa kujiongoza?. Haya ni mawazo ya kijamaa na yanatupotezea sana ule uwezo wa kuitazama dunia halisi tunayoishi.
 

Vichwa ngumu hawaelewi wao kila wakiambiwa kitu na wapinzani wanakubali..
 
Uthibitisho WA mkataba WA India na DP weldi unaweza kutuonyesha au upo kwenye ndoto zako
 
Usitake kuhalalisha uhalifu wako hapa kama ilivyo desturi yenu
 
Uthibitisho WA mkataba WA India na DP weldi unaweza kutuonyesha au upo kwenye ndoto zako
Cha muhimu ni kampuni hiyo hiyo tunayoikataa ndio wameikubali huko India. Ni kampuni hiyo hiyo tunayoiletea mizengwe ndio imekubaliwa huko UK na Belgium.

Uandishi wa mikataba ni shule kamili, sio kila mtu anayedhani anayafahamu masuala ya mikataba anao uelewa wa kipi kinachoandikwa kwenye mikataba.

Tanzania tunacheza mno na masuala ya elimu, na huu mkwamo wa kimaendeleo sababu mojawapo ni hiyo.
 
Kwa hiyo mkataba wetu Una mapungufu na sio hiyo kampuni
 
Usitake kuhalalisha uhalifu wako hapa kama ilivyo desturi yenu
Nani kahalalisha huo ndio ukweli? Unadhani mtu binafsi anaweza ondoa CCTV camera au anaweza order walinzi wa compound wasiwepo siku hiyo? Lissu pia aliwahi ripoti Nissan Patrol inamfuatilia ila hakuna hatua ilichukuliwa alafu mkiambiwa mmeshiriki mnakua wakali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…