Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

Mlitabiriwa, ujio wa hiyo dini yenu ulitabiriwa na mtapotosha wengi wadhaifu katika Imani, mtakata hata vichwa vya wakristo mkiwalazimisha kujiunga kwenye hiyo laana yenu.

Atakayevumilia hadi mwisho ndiye ataokoka
Unawachokoza!! Shauri yako!
---Ila Nchi hii, huwa tunashabikia sana vitu vyo hovyo. Nakumbuka mtu huyu, alishakaribishwa mpaka Bungeni na Spika Ndugai. Na kuna ziara moja ya Wabunge nje ya Nchi, walienda naye! Kisaaa.... Ule msemo wake wa KILEVI eti JPM atakuwa juuuuuu, Ndugai atakuwa juuuuu! Nilichoka kabisa!
Leo hii, kabadilisha JEZI, tayari imekuwa HABARI!!!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Lazima akili yako iwe fyatu kidogo ili kuamini hizo story za mudi. Eti full package wakati mudi mwenyewe alipiga katoto ka miaka 9. Au siyo kweli?
Kwani we umeona jambo la ajabu hilo, hilo jambo litakuwa la ajabu kwako kama huijui historia vizuri..

Na kwa hoja hii (hoja za miaka 90's hizo) inaonesha namna gani upo fyatu.
 
Tatizo hujui kuwa kwenye hizi dini kuu tatu (ibrahimovic religions) hizo reward kote zimetajwa kote kote..

Kwahiyo kama umazungumzia kuhusu mabikra, mito ya asali na maziwa na nyingine nyingi..basi ujue hata kwenye ukisto ahadi hizo mmeahidiwa.

Ungekuwa mtu ambae akili yako imetulia na haina kamasi kamasi basi ningekupa hapa andiko, ila ninaamini hujui hata kama biblia inafunguliwa kuanzia kushoto kwenda kulia...
Kwa hiyo nyie hicho kitabu chenu mnafungua kuanzia kulia kwenda kushoto? Nipe hilo andiko la Biblia linalosema hizo story za mudi za mabikra na mito ya pombe, maziwa na asali
 
Ameanza tena kipindi cha uchaguzi, asije akaja na mpya, lengo kupumbaza watu ..
 
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
KUNI IMEONGEZEKA.
View attachment 3161929
 
Kwa hiyo nyie hicho kitabu chenu mnafungua kuanzia kulia kwenda kushoto? Nipe hilo andiko la Biblia linalosema hizo story za mudi za mabikra na mito ya pombe, maziwa na asali
nilijua ni yule yule kichwa maji ety ndio anaomba andiko, kama ni wewe ngoja nikupe andiko halafu nipime upeo wako
 
Sina uhakika baada ya kusilimu huyo Peirre Liquid ataacha pombe.

Wiki tatu zilizopita nilikutana naye hapo Uhasibu Mbagala akipiga zake beer kwenye hiyo pub maarufu ya Liquid Pub.

Mola amsaidie ailinde na kuitetetea imani yake, maana safari ya Pepo siyo rahisi kama tunavyofikiri
"Safari ya pepo siyo rahisi kama tunavyofikiri"😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
 
Mtu kutoka kwenye ukristo (sio UKTISTU) kuja Kwenye uslamu lazima iwe habari kubwa, ukizingatia kama ni mtu ambae ana umaarufu lazima habari hiyo nayo iwe maarufu.

Mtu anatoka kwenye kiza anakuja kwenye nuru...mtu anatoka kwenye kundi la imani ambalo hawana mungu sahihi, hawana kitabu sahihi, hawana mitume sahihi, kila kitu ni FICTION, anakuja kwenye dini iliyonyooka haina kona kona, dini inayoendana na mahitajio yote ya mwanaadamu...utashangaza watu kama utasema hii haipaswi kuwa habari kubwa.

Weka chuki pembeni, tuliza akili yako vizuri, fanya ulinganifu wa uislamu na ukristo (sio ukristu) utagundua uislam ni full package na wewe unauhitaji saana kuliko hata uislamu unavyokuhitaji wewe.
😅😅😅
 
Siyo kwamba muislam akibadili kuwa mkristo haiwi habari ila ni nadra Muislam kubadili dini siyo rahisi hata kidogo hivyo habari hizo huwa ni chache, ila wanaokua waislam habari ni nyingi kama zilivyokua Habari za Bondia maarufu Cassius Marcellus kubadili dini na kuitwa Mohamed Ally, Kama bondia Mike tyson alivyobadili dini na kujiita Malik Abdul Aziz, Kama kiungo wa France, juventus na Manchester united Paul Pogba alivyobadili kuwa muislam na kubaki na jina lake hilohilo kama mwana HipHop wa USA Ice cube alivyobadili dini na kuwa muislam na kubaki na jina lake Oshea Jackson

kwahiyo habari juu ya watu kuwa waislam ni nyingi lazima uziskie
Where is the logic? Kwamba kitu kinachotokea mara nyingi ndicho kitangazwe, kinyume na kinachotokea kwa nadra! Ungetegemea kinachotokea kwa nadra ndicho kiwe habari ya kutangaza. Kwa mfano hutangazi kwamba baa fulani ilijaa wateja siku ya Jumamosi kwa kuwa hilo ni jambo la kawaida. Lakini ikitokea kwamba siku ya Maulid Waislamu walikuwa wakinywa bia msikitini, hilo litakuwa jambo la kutangaza kwa kuwa si kawaida. Vivyo hivyo, unasema Muislamu kuwa Mkristu ni nadra. Basi tukio hilo ndilo lingekuwa la kutangaza. Siyo Mkristu kuwa Muislamu kwa kuwa unasema hilo linatokea kila leo. Mfano mwingine ni kwamba kama mtu atamuuma mbwa, hiyo itakuwa habari ya kutangaza kwa kuwa siyo kawaida; ambapo mbwa akimuuma mtu hiyo siyo habari, per se, ya kutangazakwa. Hakuna ajabu yo yote hapo. Habari itajitokeza pale tu kuna madai ya fidia ndipo itajulikana kwamba mbwa alimuuma mtu. Hatutangazi kama habari kwamba mbwa alimuuma mtu kama habari yenyewe.
 
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
Huyu ilitegemewa maana GSM angemtupa angeishije? Kula yake pale Silent Ocean inategemea baraka za GSM.
 
Hapo ndipo unaona tofauti kati ya Uislamu na Ukristu. Wakristu wanasoma habari hii na kuichukulia "kawaida" tu. Mtu ameamua kivyake. Hakuna wa kumsumbua wala kumfanya cho chote. Lakini angekuwa Muislamu atangaze hivyo, kifo kingekuwa kinamhusu. Ndugu zake wangemkataa na Muislamu yo yote angekuwa na kibali kutoka kwenye dini hiyo kumuua. Ndiyo maana Waislamu wanaoingia Ukristu hubidi kuhama nchi kabisa kwenda kuishi kwingine kabisa ambapo kutakuwa na usalama.
Kabadiri dini fayimah yule mnzizi mwanzake rayvan kuna aliye andamana au akili yako ina funza?
 
Pierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.

Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:

View attachment 3161929
Nilipomwona anashinda pale Silent Ocean hana kazi anakimbizana na docs hovyo hovyo wala sijashangaa.Ukizingatia pale kuna msikiti watumishi wanashindana kuswali wakati huo huo ni majambazi balaa.

Kazi za heshima wamepewa waarabu huku waafrika wakifanyakazi za kitumwa tumwa.

Ukienda silent ocean godown utagundua hii nchi imefika mahali pa hovyo sana.
 
Huko ndo Mahala pake yeye na wengine wa aina yake, Sura tu inaonyesha si timamu🤔.
 
Back
Top Bottom