Peter Msechu afanye mazoezi la sivyo atakuja kulia lia kama Stamina

Peter Msechu afanye mazoezi la sivyo atakuja kulia lia kama Stamina

kuoana ni kukubali kuishi pamoja kama mke na mume.
kufunga ndoa ni igizo fulani huwa linafanyika either msikitini, kanisani au serikalini ili mpewe vyeti kuwa mmeoana
Agiza pepsi naja kulipa
 
Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe inaelekea nawe ni simtaki so unajifariji[emoji23][emoji23][emoji23] ..
Peter kwa taarifa yako hakua mnene ni ulafi wake ndio umemfikisha hapo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Afu mwana mfupi sasa...yaan mwill kama huo lazima mtu awe na matatzo katka sexual relationshp yake kataa kubali,lazma

One way or another
 
Peter Msechu namfahamu na ndugu zake ni Wagweno wanaishi pale Bakwata kwa juu, ni wembamba

Nilishangaa sana aliposema kuwa kwao wote ni wanene na yeye ndio mwembamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaomtetea kuwa hapendi kuwa hivyo sijui unene wa familia ni uongo tu huyo jamaa karidhika na unene wako huo alafu Msechu ni Mmelo sanaa tatizo.
 
Back
Top Bottom