Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Hapo shetani atakuwa achezi mbali nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo shetani atakuwa achezi mbali nao
Kitambi kama kile unapataje furaha ya maisha?Kamwe huwezi kumridhisha mwanadamu. Mwacheni aishi atakavyo kikubwa ana furahia maisha.
😃😃😃yaani hapo nguo ndio zimemsitiri ila akivua nguo ya juu ...hilo tumbo alilonalo hata akijiangalia nyeti zake hazioniWengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃aisee wana staajabisha sanaWanawake Mungu anawaona. Huo mzigo wote!!!!
kwa huo mwili wa msechu ...Dont tell anaujanja wa kupiga style nyingine....huyo hata dog style hawezi kupiga....tumbo litakuwa linazuia miguu isijikunje
😃😃sureShati la mchechu linafunika starlet.
Mchechu sehemu kubwa itakua ni kuzama chumvini tu maana mashine hawezi kusukuma nyama.
kweliKamwe huwezi kumridhisha mwanadamu. Mwacheni aishi atakavyo kikubwa ana furahia maisha.
Agiza pepsi naja kulipakuoana ni kukubali kuishi pamoja kama mke na mume.
kufunga ndoa ni igizo fulani huwa linafanyika either msikitini, kanisani au serikalini ili mpewe vyeti kuwa mmeoana
Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃😃😃😃nimecheka sanaMwili wote huo si ampunguzie rafiki yake Baba Levo kidogo. Mwenzake kakonda kama mbu wa kiangazi ila yeye ananenepa na bado anasema ni rafiki yake.
Sunnah ya wapi? imeandikwa kwenye kitabu gani?Umbea sunnah,labda kama hujui hilo
Ya nguruwe Ndiyo babalaoHamna mi mwembamba sana sema nina mapumbu makubwa kama ya ng'ombe
Sunnah ya wapi? imeandikwa kwenye kitabu gani?
Unajua maana ya Sunnah au ndio unajiandikia tu ili uchekewe humu JF?Hakuna sehemu nimeandika nimesoma kwenye kitabu,acha/punguza kukariri
Unajua maana ya Sunnah au ndio unajiandikia tu ili uchekewe humu JF?
Ndio ujiulize sasa.Nikichekewa humu JF naingiza sh ngapi?