Peter Msechu afanyiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni

Na hyo procedure ya maputo ni sh ngapi?? Maana kuna shoga angu juzi nikamwambia hongera naona karibia unajifungua sijaonana nae kitambo kidogo amenuna mpk leo...nikajaambiwa ni tumbo lake
 
Aseee....
 
Nawaza in long run..hiyo sehemu ambayo puto imeikava haiwezi kudevelop kama ukungu hivi kupelekea some complications..ikiwemo cancer...
 
Hilo puto wameliingiizia wapi?
 
Haya matatizo yasikie kwa watu wengine. Nina dada alikuwa anakunuw maji na chakula kidogo sana na mda mwingine anafunga sana ila alikuwa ananenepa tu. Mda mwingine usione mtu mnene ukajua anakula sana. .
Asilimia kubwa ya wabongo tunaamini kula sana ndio kunenepa, kuna jamaa pia namfaham aisee anakula si mchezo, naposema anakula jua anakula kweli kweli, ila mwili wake ukiuona huwezi amini
 
Hakuna kitu kinachochomfurahisha mtu mnene kama kumuona mtu mnene zaidi kumzidi yeye!!
Utasikia hebu jitahidi mazoezi kidogo , [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa, hio nishawahi mshuhudia boss wangu anamcheka jamaa mmoja tulikutana naye sehemu mnene sana bahati mbaya ni mfupi!
Jamaa alicheka sana, wakati hata sie huwa tunamahangaa tumbo lilivyozidi [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Sio balozi wa maputo ya kuwekewa huyu🤔?Kama kweli sawa maana hawachelewi hawa kesho atatusuta hapa utasikia :"new deal new dollar mlinicheka mwenyewe im makin monii"
Balozi wa kuwekewa maputo mloganzira
 
Kwa sababu huwa sipendi kulala hotelini nahisi sio pasafi napenda kulala nyumbani kwangu kwahiyo nikisafiri lazima nirudi Dar.
Hotel za aina gani hizo chafu?

Atakuwa analala guest za 10 hadi 20 ndio maana anaogopa. Akalale kuanzia 60 hadi 300,000 mbona ni zaidi hata ya kule anakokimbilia kulala nyumbani kwake.

Aache kulala uchochoroni
 
Hahahaaa, hio nishawahi mshuhudia boss wangu anamcheka jamaa mmoja tulikutana naye sehemu mnene sana bahati mbaya ni mfupi!
Jamaa alicheka sana, wakati hata sie huwa tunamahangaa tumbo lilivyozidi [emoji1][emoji1][emoji1]
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…