Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani. Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena

Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on' Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri 2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Peter msigwa ni nani ?
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Walidhani atasaidia kuokoa dhahama za ccm kumbe wapi. Tabu iko palepale.

Hakuna mitano tena
 
Tutamrudisha Chadema July 2025 akiwa ameiva

Boni Yai: Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema 2025 itakuwa ni Surprise Kubwa itakayowashangaza Wengi
Kwanini huyo peter msigwa ni nani
Mwanamitindo?
Mwanasesere
Mlimbwende huko Mzizima
Mchezaji
Au muigizaji ?
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Aje atuulize sisi tuliotupwa kama dodoki baada ya kutumiwa 😳😂😂🙄
 
Back
Top Bottom