Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Machadema nayo yamepoa sana kama uji.
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
kaisha idhibiti Chadema tayari kama unavyoiona iko hoi 🐒
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Manunuzi waliyoyafanya CCM imekuwa ni hasara tupu. Msigwa aliwadanganya CCM kuwa yeye anaipa thamani CHADEMA, kumbe kiuhalisia ni kwamba CHADEMA ndiyo ilikuwa inampa thamani Msigwa.

Kama yanayosemwa, kuwa taarifa za Msigwa ndizo zilizosabanisha Ali Kibao kutekwa na kisha kuuawa kinyama, ni za kweli, hiyo ni laana kubwa kwa Msigwa atakayotembea nayo katika uhai wake wote. Yaani tamaa yako ya tumbo, imwondolee mtu mwingine uhai!! Halafu unajiita mchungaji, ina maana hata shetani huwa ana wachungaji?
 
Kama yanayosemwa, kuwa taarifa za Msigwa ndizo zilizosabanisha Ali Kibao kutekwa na kisha kuuawa kinyama, ni za kweli, hiyo ni laana kubwa kwa Msigwa atakayotembea nayo katika uhai wake wote. Yaani tamaa yako ya tumbo, imwondolee mtu mwingine uhai!! Halafu unajiita mchungaji, ina maana hata shetani huwa ana wachungaji?
Mkuu; haiwezekani tukapata ufafanuzi zaidi wa hi?
 
Manunuzi waliyoyafanya CCM imekuwa ni hasara tupu. Msigwa aliwadanganya CCM kuwa yeye anaipa thamani CHADEMA, kumbe kiuhalisia ni kwamba CHADEMA ndiyo ilikuwa inampa thamani Msigwa.

Kama yanayosemwa, kuwa taarifa za Msigwa ndizo zilizosabanisha Ali Kibao kutekwa na kisha kuuawa kinyama, ni za kweli, hiyo ni laana kubwa kwa Msigwa atakayotembea nayo katika uhai wake wote. Yaani tamaa yako ya tumbo, imwondolee mtu mwingine uhai!! Halafu unajiita mchungaji, ina maana hata shetani huwa ana wachungaji?
Yeye aliwaaminisha CCM kuwa Marehemu Mzee Ally Kibao ndiye engine ya Chadema hivyo wakitaka kuidhoofisha Chadema basi wahakikishe wanamuondoa Chadema nao wakalinunua wazo lake nafikiri Mzee Kibao aliwgomea kuondoka Chadema ndiyo wakaamua kumtoa roho ili ule ushauri wa Msigwa wa kumuondoa Mzee Kibao Chadema utimie.
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Mission is over, alichotumwa kukifanya kakimaliza, kakunja chake, inasubiri ngwe nyingine 2025 elections
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu

Mzee mfukunyuku sana wewe...aliyoyaeleza hayana jipya. Ni yaleyale. Yeye amechelewa. Alianza Mrema na haikuwezekana. Tunapenda kuona mambo ya maendeleo yanafanyika na hayo yanataka kusimuliwa. Ili tuendelee kujifunza na kutiana moyo. Kuhama chama toka lini imekuwa deal!
Baadae akiwa mzee kama mimi, sote tunagundua wana siasa ni wale wale na mambo yao yanalenga kuwajenga wao binafsi kuliko kuwasaidia walio wengi.
 
Back
Top Bottom