johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbege 😂😂Anachunga mbuzi, ng'ombe, kondoo au punda ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbege 😂😂Anachunga mbuzi, ng'ombe, kondoo au punda ?
Nikajua anachunga vimaMbege 😂😂
kaisha idhibiti Chadema tayari kama unavyoiona iko hoi 🐒Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Ni mpuuzi mmoja alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu, akajifunza misamiati michache ya kitheolojia ndiyo akaanza kujiita mchungaji.Kwanini huyo peter msigwa ni nani
Mwanamitindo?
Mwanasesere
Mlimbwende huko Mzizima
Mchezaji
Au muigizaji ?
Wazee wa kuokota makapi ya CCMTutamrudisha Chadema July 2025 akiwa ameiva
Boni Yai: Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema 2025 itakuwa ni Surprise Kubwa itakayowashangaza Wengi
Na yule demu wa kule Geita nani sijui,yaa upendo nae simsikii tenaAje atuulize sisi tuliotupwa kama dodoki baada ya kutumiwa 😳😂😂🙄
Manunuzi waliyoyafanya CCM imekuwa ni hasara tupu. Msigwa aliwadanganya CCM kuwa yeye anaipa thamani CHADEMA, kumbe kiuhalisia ni kwamba CHADEMA ndiyo ilikuwa inampa thamani Msigwa.Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Mkuu; haiwezekani tukapata ufafanuzi zaidi wa hi?Kama yanayosemwa, kuwa taarifa za Msigwa ndizo zilizosabanisha Ali Kibao kutekwa na kisha kuuawa kinyama, ni za kweli, hiyo ni laana kubwa kwa Msigwa atakayotembea nayo katika uhai wake wote. Yaani tamaa yako ya tumbo, imwondolee mtu mwingine uhai!! Halafu unajiita mchungaji, ina maana hata shetani huwa ana wachungaji?
Kwa hiyo huko Iringa alikuwa anahudumu kwenye Kanisa lipi ?Nmpuuzi mmoja alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu, akajifunza misamiati michache ya kitheolojia ndiyo akaanza kujiita mchungaji.
Hajawahi kusimama madhabahuni hata siku moja hiyo title anaitumia kutapelia tu.Kwa hiyo huko Iringa alikuwa anahudumu kwenye Kanisa lipi ?
Yeye aliwaaminisha CCM kuwa Marehemu Mzee Ally Kibao ndiye engine ya Chadema hivyo wakitaka kuidhoofisha Chadema basi wahakikishe wanamuondoa Chadema nao wakalinunua wazo lake nafikiri Mzee Kibao aliwgomea kuondoka Chadema ndiyo wakaamua kumtoa roho ili ule ushauri wa Msigwa wa kumuondoa Mzee Kibao Chadema utimie.Manunuzi waliyoyafanya CCM imekuwa ni hasara tupu. Msigwa aliwadanganya CCM kuwa yeye anaipa thamani CHADEMA, kumbe kiuhalisia ni kwamba CHADEMA ndiyo ilikuwa inampa thamani Msigwa.
Kama yanayosemwa, kuwa taarifa za Msigwa ndizo zilizosabanisha Ali Kibao kutekwa na kisha kuuawa kinyama, ni za kweli, hiyo ni laana kubwa kwa Msigwa atakayotembea nayo katika uhai wake wote. Yaani tamaa yako ya tumbo, imwondolee mtu mwingine uhai!! Halafu unajiita mchungaji, ina maana hata shetani huwa ana wachungaji?
Yule wamemgombea kumpiga miti sasa hawana muda naye tena maana wakubwa wote ameshawakalia uchi.Na yule demu wa kule Geita nani sijui,yaa upendo nae simsikii tena
Mission is over, alichotumwa kukifanya kakimaliza, kakunja chake, inasubiri ngwe nyingine 2025 electionsAliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Juzi tu hapa nimemuona anakunywa Ulanzi kitwiru hapa