Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Keshakuwa used kama ile mipira ya....🤣😀🤣😀⚽⚽
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Kuondoka kwa msigwa CHADEMA, ni vuguvugu, hajaleta impact CCM, na hajaibomoa CHADEMA!! alikuwa vuguvugu
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Kandarasi imeisha mkuu,pamoja na yule binti Peneza
 
IMG_20241101_102040.jpg
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Pumzi fupi ruti ndefu nafasi yake itakuwa inamsuta
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Anaangalia namna ya kuendelea kupata ulaji kwani njaa haina bauncer.
 
Amekabidhiwa kitengo cha siasa za majitaka
 

Attachments

  • IMG-20241013-WA0002.jpg
    IMG-20241013-WA0002.jpg
    38.2 KB · Views: 3
  • IMG-20241008-WA0001~3.jpg
    IMG-20241008-WA0001~3.jpg
    94 KB · Views: 3
  • 1725891704170.jpeg
    1725891704170.jpeg
    44.3 KB · Views: 2
  • 5798904-1fa5b9f4fe7a36a353fd0342c9e2b57.mp4
    2.9 MB
  • IMG-20200403-WA0003~2.jpg
    IMG-20200403-WA0003~2.jpg
    18.8 KB · Views: 2
MShenz anayejiita mchungaji peter msigwa anastahili public condemnation kwa ujinga ambao ameufanya.
Kuna usemi/methali inayosema kuwa "Warabu wa Pemba hujuwana kwa vilemba" Sasa nikuulize bwana mkubwa, umemjuaje Msigwa kama ni mshenzi kama na wew sio Mshenzi??
 
Aliahidi kuzunguka nchi nzima (hakutaja kwa gharama za nani) kuelezea mazuri ya chama chake kipya alichokuwq akikisema vibaya miaka yote.. Na kukiponda chama chake cha zamani
Ametumika kwa kipindi kifupi kuliko ilivyotarajiwa.. Na sasa hasikiki tena
Kinachoonekana ni bado ana maumivu mengi moyoni na ameshindwa kabisa ku 'move on'
Alikoenda hakuna mwanga alikotoka keshaharibu.. Ana majuto mengi moyoni lakini roho i dhaifu kukiri
2025 sio mbali.. Kuna siku atayafakamia matapishi yake kwa macho makavu
Kichaa cha msimu huwa hakitabiriki lini kinapanda.

Tumpe muda, atapandisha soon mawingu yakitiki
 
Back
Top Bottom