Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?


Hana matumizi baada ya tendo ( Common treatment ) wanaoenda ccm wahakikishe wakifika baada ya kupokea mlungula wa kwanza waendelee kuwa na impact na mwiba kwa chadema!

1. Hana impact ccm
2. Hana impact kwa wananchi.
3. Chadema hawana time naye.

Thamani yake ilikuwa pamoja na bedge ya Chadema, alipoivua tu anakuwa mtu wa hovyo kama wengine wa hovyo walivyo!
 
Kiongozi akishakuwa na ndimi mbili ni wa kuogopwa kama ukoma. Leo anasema hivi kesho anasema vingine kuhusu jambo lilelile mngh!..mngh!!

Ndio sababu nawachukulia wanasiasa kama watafutaji tu kupitia mianya ya upigaji
 
Msigwa ni takataka
 
2025 sijui itakuaje kwake pamoja na wale Covid's 19!
 

Hahaha wanasema anamfadhili Simba eti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…