SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Peter Msigwa elimu yake ni darasa la saba, alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu ndiye alimfundisha kingereza, na alipoondoka alimchukua kwenda SA alikosemea cheti cha theolojia .Mbowe alikuwa Benki Kuu ya Nchi kama Mwigullu Nchemba na Vicky Kamata usimchukulie poa
Nyie Watoto wa vijijini hamjui lolote sawa na huyo Mkinga mchungaji wenu πππ
Embu acha kuwa na akili za kitotoCCM wamfukuze Msigwa haraka sana .
Ni pandikizi la Kambi moja ndani ya Chadema. Hiyo kambi ikifanikiwa ,Msigwa atarudi Chadema . Ni kama ilivyokuwa Kwa Nyarandu na Chadema.
Embu acha kuwa na akili za kitoto
Naona umeshachanganyikiwa na kupaniki na tu akili twako twa kitoto toto.Akili za kitoto ni za mamalia wako
Bottom
Naona umeshachanganyikiwa na kupaniki na tu akili twako twa kitoβ°0aaaaΓ aKuelekea 2025 - Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe
Elimu ndogo mlizonazo mkiongozwa na mwenye Kigoda wenu inafanya muwe vichekesho na vituko kwa watu. Lucas wakiitwa wenye elimu utatoka? Machapisho yako ya kusifia wanaume wenzako kama mwanamke malaya hiyo ndiyo elimu uliyosomea? Wewe ni mpuuzi fulani tu unayeishi kwa matumaini ya kuteuliwa.www.jamiiforums.com
Samahani muNGUto toto.
Elimu ya Msigwa ni kubwa sana ukilinganisha na ya mwenye Kigoda wenu.Peter Msigwa elimu yake ni darasa la saba, alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu ndiye alimfundisha kingereza, na alipoondoka alimchukua kwenda SA alikosemea cheti cha theolojia .
Amemzidi umaarufu hadi ameamua kuwa chawa wake kabisa, Lucas ni poyoyo kweli kweli, amesikia tumbili Msigwa amevuna $500,000 kutoka kwa Abduli basi ameanza kujipendekeza kwake kama demu malaya vile.Lucas Msigwa kaja juzi TU CCM.......kasha kuzidi umaarufu....TAFUTA NJIA YA KUTOKEA
Tuwekee ya mwenyekiti wako ya O Level.Unafahamu matokeo ya mwenye Kigoda wenu kidato cha sita??
Nimesema unayafahamu matokeo ya mwenye Kigoda wako kidato cha sita? Jibu swali na siyo kukimbia kimbia kama ndamaTuwekee ya mwenyekiti wako ya O Level.
Elimu ya Msigwa ni kubwa sana ukilinganisha na ya mwenye Kigoda wenu.
Nayafahamu. Jee wewe unajua kuwa mwenyekiti wako alitaga O Level?Nimesema unayafahamu matokeo ya mwenye Kigoda wako kidato cha sita? Jibu swali na siyo kukimbia kimbia kama ndama
Unayafahamu yapoje?Nayafahamu. Jee wewe unajua kuwa mwenyekiti wako alitaga O Level?
Nenda NECTA, ukaangalie na ya mwenyekti wako ya Form IV.Unayafahamu yapoje?
Sasa utapeli wa wale una mchango gani kwenye usafi wetu? Au ndio tunahesabu dhambi zao kwa kumtumia "mtumishi wa mungu" ili walau nasi tuonekane tunalingana nao?Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Jibu swali ewe usiyejitambua.? Umesema unayajuwa.nimekuuliza yapoje?Nenda NECTA, ukaangalie na ya mwenyekti wako ya Form IV.
Don't show your stupidity unadhani Chama ambacho kilikikuwa hakipokei ruzuku Wala hakiwatshi wafanya biashara wakubwa kutoa michango isiyo ya hiari ilikuwa inajiendesha vipi.Kwa hiyo nanyi bado mnamuamini Mbowe? Hivi pesa za Join the chain zipo wapi?????
Wewe bwege ndiye hujitambui umekosa hoja sasa unajadili watu, sina muda mchafu huo, kujua matokeo ya Mbowe itakusaidia kuondoa umasikini wako ?Siku zote akili ndogo kama yako inaishia kujadili watu, mimi siyo wa level hiyo, kwaheri na upumbavu wako.Jibu swali ewe usiyejitambua.? Umesema unayajuwa.nimekuuliza yapoje?
Sitaki uruke ruke na kutukana matusi kama mlevi wa gongo.Wewe bwege ndiye hujitambui umekosa hoja sasa unajadili watu, sina muda mchafu huo, kujua matokeo ya Mbowe itakusaidia kuondoa umasikini wako ?Siku zote akili ndogo kama yako inaishia kujadili watu, mimi siyo wa level hiyo, kwaheri na upumbavu wako.
Kwanini unamchukia Mtumishi wa Mungu.huoni kuwa unakaribisha laana langoni pako?I real hate you msigwa