mnyonge wa hali ya chini
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 920
- 1,148
Masahihisho mkuu hatusemi my wife wake------- tunasema wife wake my ni wewe wake na yeye mke wenu?heee! Kumbe zile basi zote zina jina la my wife wake?!!!!
uMwache asotemo na yeye.
Kila jambo lina mwisho wake.
Ngoma ikivuma sana hupasuka
ni kweli ila ndio lugha siku hizi ya mtaani!! hahahahahahhaha.Masahihisho mkuu hatusemi my wife wake------- tunasema wife wake my ni wewe wake na yeye mke wenu?
Hiyo hapo HAPA KAZI TUU. Ila wanamuonea kwa vile katufanya tuwajue wasio julikanaMkuu tupia picha tuone mabasi yake yalivyopendeza kwa rangi
Mtenda hutendwa,anayeua kwa upanga atauawa kwa upanga.Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.
Pia soma
>Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi
>Kesi ya Zakaria: Polisi washindwa kumfikisha mahakamani. Wadai jalada halijakamilika. Ndugu wakesha mahakamani
>Musoma: Polisi waenda kukagua nyumbani kwa mfanyabiashara maarufu na kada wa CCM, Peter Zakaria
>Peter Zakaria asomewa mashtaka mawili ya kujaribu kuua, anyimwa dhamana
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]ni kweli ila ndio lugha siku hizi ya mtaani!! hahahahahahhaha.
Wanatumia sana wasanii wa vichekesho kwenye TV, my wife wake, my wife wangu and the like. Yote kwa yote ahsante kwa kunijali mkuu radika
CCM sio chaka la wahalifuHao ni wenyewe kwa wenyewe, acha waumizane. Mtu akidhani kuwa CCM ndio kuwa salama, anajidanganya. Huyo atasoteshwa jela hadi achakae. Wamempachika hayo mashtaka ili tu asikanyage uraiani. Atajuta kuijua CCM.
Afadhali wewe unaanza kutueleza yaliyo ya kina juu ya huyu bwana. Wengine hatuelewi nje ya tunayoambiwa kwenye magazeti.Zakaria bwana, hadi gari zake zinatamba barabarani, ukikaa vibaya zinakuparua, tena wanajaa katikati ya barabara!!!
Mbona hamsemi wazi mambo ya huyu bwana yanayosemeka? Mnamun'gunya maneno na kupepesa ndimi? Amefanya nini tusichokijua wengine? Si mseme basi?CCM hatufugi majambazi, aliondoka lowasa na kingunge, na sumaye na tukashinda kwa kishindo sembuse huyu jambazi na mla jasho la wengine
Mkuu hebu rudia huo msemo bila kuutafsiri!Kikwetu kuna msemo unasema hivi .. natafisiri ... ukikijaza kiroba wakati unajua utakibeba mwenyewe unajipa tabu bure"
Wakati wanatoa magari yao kuwasomba watu kwenda kwenye mikutano ya kampeini hawakujua kuwa wale waliowahi kuwa humo waliuona ubaya wa humo ndo wakatoka.
Na sasa hii ni zamu ya wao kuonyeshwa!
Uhujumu uchumi,wasiojulikana bhana!Wale jamaa wakikuwahi, ndio hurudi ila ukiwawahi, utaskia ni...... [emoji23][emoji23]
Nasubiri siku jambazi Makonda akishughulikiwaCCM sio chaka la wahalifu