Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Mwigulu hafai hata ujumbe nyumba 10,

Kigeugeu

Majivuno

Mropokaji


Nadhani yule.mama naibu waziri apewe uwaziri wa fedha.
 
Afadhal prof assad ,aende wizara Ya fedha,
Sijui katiba inaruhusu
 
Hii ni africa kaka...mbona unakua kama namna gan..nmeshakwaambia kimei alitolewa pale...nyie mnasema alistaafu..ndio..ila mi nakwambia alitolewa pale .kwisha..hutak kaa hapo
Alitolewa na nani kwa mamlaka gani, kwa ushahidi upi? unataka nikubali kwa kuwa wewe umesema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…