Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crdb alijaza wachaga tu.hafai mkabila Kama mwendazakeKimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
HahahahahahaaSasa jina ulotaja hapo ni mbunge?
Sijui huwa mnafikiria kwa kutumia nini
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Wizara ya fedha apewe Daudi Albert Bashite.
Ila Mpango anaonekana bado mgonjwa.
Na mlinzi wangu MmawiaHii wizara ya fedha apewe kipara kipya ikishindikana kabisa basi hata Bia yetu anafaa
Wanacheza!WAACHE WAPIGE RAMLI!!! HATA KIKWETE NA JINA LAKE LA NCHIMBI RAMLI YAKE HAIKUFAA!!! Samia Suluhu HASSAN SI MCHEZO!! MTAISOMA NAMBA.
Wakifanya mchezo,hii sasa itakuwa zamu yao kwenda Lupango!!Wanacheza!
Hakuna mwenye uhakika wa kuzika mwenzie.Tutazika wengi, tuombe mungu
Afadhal prof assad ,aende wizara Ya fedha,Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Alitolewa na nani kwa mamlaka gani, kwa ushahidi upi? unataka nikubali kwa kuwa wewe umesema?Hii ni africa kaka...mbona unakua kama namna gan..nmeshakwaambia kimei alitolewa pale...nyie mnasema alistaafu..ndio..ila mi nakwambia alitolewa pale .kwisha..hutak kaa hapo
achaga mno.Kimei mtu mbunifu sn
Prof Adolf Mkenda kabila gani?Adolf Mkenda ndiye waziri wako wa fedha.
Kaa kwa kutulia.
Nilifikiri nimeona peke yangu tuombe Mungu tusije kuomboleza tena awamu iishe salamaIla Mpango anaonekana bado mgonjwa.
Kwani wakiwa wahaya wote lakini wakafanya kazi nzuri tatizo liko wapi?Kimei hafai atapendelea w
achaga mno.
mkabila umeshaishi nae? umefanya nae kazi? ulikuwa nae kwenye struggle zake unamuita mkabila?Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB