Point ni kwamba wapo wenye kuamini na wasioamini katika nadhari tofauti tofauti za kisayansi.kwenye scientific theory huegemea kwenye evidence
Hiyo unayoizungumzia wewe kwa kui refer na imani (ambapo hauko sahihi) ni hypothesis
Hypothesis ni moja ya njia za kisayansi zinazopitiwa kabla ya kufikia hitimisho
Hoja yangu ni kwamba mmeshaweka msimamo wa kupinga kwa hali yoyote ile hoja ya kuwepo Mungu, hivyo ndivyo mnavyotambulika na si kwamba mmepitia hoja zote na ndipo mkaja na hilo hitimisho bali huo ndio msimamo wenu tu mliyojiwekea.Kwa mfano hoja gani yenye nguvu inayothibitisha Mungu yupo na atheists hawataki kuisikiliza?
Siyo tu wamepitia bali hakuna hata hoja moja wanayo weza kuivunja.Hoja yangu ni kwamba mmeshaweka msimamo wa kupinga kwa hali yoyote ile hoja ya kuwepo Mungu, hivyo ndivyo mnavyotambulika na si kwamba mmepitia hoja zote na ndipo mkaja na hilo hitimisho bali huo ndio msimamo wenu tu mliyojiwekea.
Hapana,Hoja yangu ni kwamba mmeshaweka msimamo wa kupinga kwa hali yoyote ile hoja ya kuwepo Mungu, hivyo ndivyo mnavyotambulika na si kwamba mmepitia hoja zote na ndipo mkaja na hilo hitimisho bali huo ndio msimamo wenu tu mliyojiwekea.
Kama hoja gani ambayo kwako unaipa kipaumbele kwamba imeshindikana?Siyo tu wamepitia bali hakuna hata hoja moja wanayo weza kuivunja.
Unadhirisha nachokisema, unataka nikupe hoja nayoona ina nguvu na wewe uijibu kwa maana uipangue hoja yangu hiyo. Ndiyo ambacho nachokisema hapa kwamba teyari mmeshaweka msimamo wenu kwahiyo mpo teyari kwa kupangua hoja yeyote ile mbele yenu(yenye kujaribu kueleza kuwepo kwa Mungu) ili kutetea msimamo wenu wa kupinga na kudai kutokuwepo Mungu.Hapana,
Sio kweli kama tunapinga hoja, ila tunapinga hoja za kimagumashi (logical fallacy arguments) zenye attempts za kufoji uthibitisho
Nimekuomba unipe mfano wa hoja yenye ushawishi ambayo kwako unaiona ina nguvu kuliko zote katika kuthibitisha Mungu halafu tuone kama kweli haitajibiwa
Sayansi ni sayansi inakuaje uongo tena? hapa nazungumzia nadharia za kisayansi, tatizo wewe umefanya kuwa imani kiujumla ni uongo na ndipo shida ilipo.Sasa watu kutoamini katika nadharia ya kisayansi kuna thibitisha nini?
Kwamba unakusudia kusema sayansi nayo ni uwongo au?
Hoja zote, ambazo tunazijadili humu hamjawahi kuzivunja.Kama hoja gani ambayo kwako unaipa kipaumbele kwamba imeshindikana?
Uhalisia ndiyo muamuzi wa haki.Halafu nani anayesimama kama muamuzi kusema hii imeshindikana na hii imewezekana?
1. MaarifaVigezo gani vinavyozingatiwa?
Kwanza katika mjadala siyo sharti kufikia hitimisho, na ndiyo maana huwa kuna muda nikiona hatuelewani na mmeshikilia msimamo wenu usio kuwa wa elimu nashika njia.Kama ni kukushawishi wewe mpaka ukubaliane na hoja zetu na kubadili msimamo wako ndio kulete tafsiri ya kwamba hoja imewezekana, basi kwa mantiki hiyo upo sahihi kusema hoja zenu
Kwa hiyo kwako hoja yenye nguvu haiwi challenged?Unadhirisha nachokisema, unataka nikupe hoja nayoona ina nguvu na wewe uijibu kwa maana uipangue hoja yangu hiyo. Ndiyo ambacho nachokisema hapa kwamba teyari mmeshaweka msimamo wenu kwahiyo mpo teyari kwa kupangua hoja yeyote ile mbele yenu(yenye kujaribu kueleza kuwepo kwa Mungu) ili kutetea msimamo wenu wa kupinga na kudai kutokuwepo Mungu.
Nadhani hujanielewa.Kwa hiyo kwako hoja yenye nguvu haiwi challenged?
Ikiwa nanguvu kwako, basi inapaswa kuchukuliwa hivyo hivyo na kwa mwingine bila kuhojiwa kujua uhalali wake?
Hujui pia kuna kanuni za ku verify majibu, na hizo kanuni haziwezi kuja kwa namna nyingine ikiwa ni pamoja na kuhoji?
Ebu fikiria kama ndo mkristo anataka akupe hoja yenye ushawishi ya kukufanya wewe muislamu uamini Yesu alibatizwa na pia ni njia ya kweli ya uzima, ambayo ina lengo la kukufanya uokoke
Akakupa hoja ya maandiko ya biblia yanayozungumza ubatizo wa yesu uliofanywa na yohana mbatizaji ikiwa hiyo ndio hoja kuu anayoamini kua ina nguvu, utakubali aina hiyo ya uthibitisho?
Utaokoka?
Bila shaka utahitaji maelezo zaidi ya hicho alichokiandika japokuwa alisema ni hoja yenye nguvu, kumbe "hoja yenye nguvu" ni another fallacy yenye kulazimisha mtu akubali hoja fulani bila kohoji
Kwa hiyo jambo la busara ni wewe kuweka hiyo hoja kisha tutaichambua kuona authentic yake na hapo ndipo tutaweza kuhitimisha kua hoja hiyo ni bora
Nimeeleza kwamba nazungumzia nadharia na nikasema kwamba wapo wanaoziamini baadhi ya nadharia za kwenye sayansi na wasioziamini.Tatizo ni wewe kuhusisha sayansi na imani, hapo ndo confusion inapoanzia
Kama hoja gani, ebu kuwa specificHoja zote, ambazo tunazijadili humu hamjawahi kuzivunja.
Hayo yote pia yanatokana na perspective ya mtu na namna anavyo tafsiri maneno hayoUhalisia ndiyo muamuzi wa haki.
1. Maarifa
2. Lengo
3. Hekima
4. Usanifu
5. Hatima
Sikatai kwamba hoja zetu sio dhaifu kwaku demonstrate na kuweka hoja za ku disprove, ila kusema dhaifu kwasababu zinapingana na madai yako hiyo ni wishfully thinkingKwanza katika mjadala siyo sharti kufikia hitimisho, na ndiyo maana huwa kuna muda nikiona hatuelewani na mmeshikilia msimamo wenu usio kuwa wa elimu nashika njia.
Hoja zenu hazina nguvu sababu msingi wake ni dhaifu sana, yaani akili yako wewe ndiyo inakupa hitimisho na kingine hamna elimu ya jambo husika.
Kingine, huwa mnaona ya kuwa wenye wajibu wa kuthibitisha ni sisi tunao kiri ya kuwa Mola yupo, na nyinyi mnao kanusha ya kuwa Mola hayupo hamuwajibiki kuthibitisha hilo. Hiki ni kichaka mnacho kitumia.
Kwa hiyo na wewe umeshaweka msimamo wa kupinga habari za Yesu na wokovu na utaendelea kuutetea msimamo huo?Nadhani hujanielewa.
Nachozungumzia mimi ni kwamba ninyi teyari mmeshaweka msimamo wenu wa kupinga kuwepo Mungu kwa hali yeyote na mnatetea huo msimamo wenu.
Ila ambacho sijakijua ni kwamba msingi wa huo msimamo wenu ni upi? yani hoja ipi inayowafanya muwe na huo msimamo?
Mkuu unaelewa nini kuhusu neno "Mungu"?huwa na wapopoa tuu kuwa kama hiyo dini inajua ukweli ingetuambia kuhusu dna , tena nikikutana na madr na molecular scientist waamini mungu nawapopoa sana. Nawaambia hivi kama kwelu tupo special sana mbona cell zetu hazina tofauti na amoeba au plasimodium , tuna same cellular structure au the instruction ya kutengeneza jicho langu na la ng'ombe ipo vile vile. Wanabaki kubwabwaja maana wanajua fika huo ndio ukweli ila wanashikilia dini kujitoa stress. Bomu la mwisho nawauliza virus anaweza hijack cell machenary kujizalisha so wote sisi tumeanza na common ancestor na evolution ndio inetufanya tubadilike tuwe na different structure.
Wanasaynsi wanatakiwa waachane na story za mungu maana kuelewa sayansi na bado unaamini mungu inamaanisha ulichosoma kwenye sayansi hukuelew
Wazazi wako nao?Wazazi
Ngoja twende taratibu mkuu ili tuelewane,hebu niambie atheist ni mtu wa aina gani?Kwa hiyo na wewe umeshaweka msimamo wa kupinga habari za Yesu na wokovu na utaendelea kuutetea msimamo huo?
I hate kusikia tumeweka msimamo wakati umepewa nafasi ya ku-present hoja umeshindwa, kwa hiyo usitumie kushindwa kwako kama hoja ya kutupakazia jambo ambalo hatujawahi kuthubutu kulifanya
Kuwa wa kwanza kuuthibitishia umma hayo unayoyadai ni kweli kwa kuweka hapa uthibitisho halafu nikapinga hoja bila reasoning kiholela like "hiyo nakataa sio uthibitisho"