Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Kushindwa kuthibitisha jambo fulani haina maana ya moja kwa moja kuwa hilo jambo ni uongo, inawezakuwa kweli ama si kweli.

Huwezi kusema jambo fulani la imani ni uongo kwa sababu hakuna uthibitisho, hapo utakuwa huelewi imani ni nini.
Assume kama kuna mtu ameku offer kukuuzia gari yenye sifa ya kupaa angani kwa shilingi Milion 5

Pengine taarifa hii ikawa ni nzuri kwako na ukafurahi zaidi kumiliki gari ya namna hiyo

Lakini kabla ya kufanya malipo ya gari hilo ukaamua kujiridhisha kwa kuomba ushahidi wa gari hilo

Kama muuzaji akashindwa kuja na hilo gari kuthibitisha kua lipo zaidi ya vipicha alivyoviokoteza kwenye movies za Sci-Fi na zakufikirika, unaweza kusema siamini kama gari hilo lipo

Je mfanya biashara atakuwa na ushawishi wa namna gani kwenye hoja yake yakusema "kushindwa kuthibitisha haina maana moja kwa moja hilo gari halipo"

Utampa hela?
 
Assume kama kuna mtu ameku offer kukuuzia gari inayo paa angani kwa shilingi Milion 5

Pengine taarifa hii ikawa ni nzuri kwako na ukafurahi zaidi kumiliki gari ya namna hiyo

Lakini kabla ya kufanya malipo ya gari hilo ukaamua kujiridhisha kwa kuomba ushahidi wa gari hilo

Kama muuzaji akashindwa kuja na hilo gari kuthibitisha kua lipo zaidi ya vipicha alivyoviokoteza kwenye movies za Sci-Fi na zakufikirika, unaweza kusema siamini kama gari hilo lipo

Je mfanya biashara atakuwa na ushawishi wa namna gani kwenye hoja yake yakusema "kushindwa kuthibitisha haina maana moja kwa moja hilo gari halipo"

Utampa hela?
Sitampa hela kwa sababu sijaliona gari na kujiridhisha bado hata ingekuwa gari ya kawaida.
 
Sitampa hela kwa sababu sijajiridhisha bado.
Bila kuzingatia kauli yake aliyoitanguliza kua "kushindwa kuthibitisha haina maana moja kwa moja hilo gari halipo"?
 
Kvp yani sijakuelewa.
Namanisha licha ya jamaa kuweka madai kuwa kushindwa kuthibitisha haina maana moja kwa moja hilo gari halipo bado ukampuuza na kuamua kutompa hela
 
Namanisha licha ya jamaa kuweka madai kuwa kushindwa kuthibitisha haina maana moja kwa moja hilo gari halipo bado ukampuuza na kuamua kutompa hela
Mfano wako sijajua umejikita kwenye uaminifu wa huyo jamaa cha kumuamini nimpe hela bila kuliona hilo gari au uwepo wa gari linalopaa?
 
Mfano wako sijajua umejikita kwenye uaminifu wa huyo jamaa cha kumuamini nimpe hela bila kuliona hilo gari au uwepo wa gari linalopaa?
Hoja yako ya kusema kutokuwa na uthibitisho sio kigezo cha kufanya jambo lisiwepo

Ndio sababu nimekupa mfano huo kuonesha huyo muuzaji ambaye anataka umpe hela hali ya kuwa hajaleta ushahidi wa kuonesha gari hilo ni kweli ana miliki

Badala yake anakuambia umpe tu hiyo hela kwani hata kama hana ushahidi sio kigezo cha kufanya gari hilo asiwe nalo
 
Aya hii itakuwa valid kwenye mabishano ya mshia na msuni ambao wote wanakubaliana kua ni kitabucha kweli cha Allah

Aya hii sio kwamba haiwezi kutumiwa dhidi ya atheist bali hata kwa mkristo haitafaa, na ndio maana nilianza mapema kulieleza hili jambo

Hayo ni madai, madai sio uthibitisho

Kusema "Allah amesema" haithibitishi kuwa Allah amesema kweli

Ni kama ambavyo wewe unazipinga aya za dini nyingine licha ya kwamba zimedaiwa kutolewa kwenye kitabu kilichoandikwa ama kuongozwa na Mungu
Shida siyo kupinga au kuangalia mtazamo fulani, shida unakanusha vipi jambo ambalo uko dhidi yako.

Mathalani mimi upingaji wangu wa maandiko ya vitabu vingine hurudi katika usuli.

Maana yake wewe ili uwe sahihi kwa hiki unachokiandika ulitakiwa ubatilishe hizo aya kwa njia yoyote unayo ona wewe ni nyepesi kwako. Kwa minajili hiyo kwa unachokiongelea hukupaswa kuanzisha hata hii mada yake, wewe umeshakubali ya kuwa kila mtu aende na mtazamo wake, maana yake hakuna kukosoana wala hakuna kuutafuta ukweli.

Hitimisho langu kulingana na ulichokiandika ni kuwa huna uwezo wa kupinga hizo aya kiakili, kimazingira wala kihistoria.

Shukrani.
 
Weka hoja usipoteze muda mwingi kwenye malalamiko
Inaonekana hata maana ya tamko malalamiko hujui, hakuna malalamiko hapo, bali naongelea ukweli juu ya yale mnayo yafanya kwa maana hamjibu maswali mnakimbia hii ni ada yenu, na hii inaonekana kwa kutokuwa na maarifa juu ya jambo hili.

Hapo juu nimeshakuwekea hoja ambayo nimeshaiweka zaidi ya mara tano humu ndani, leo unakuja kusema kwamba aya niwawekee Wakristo. Sasa najiuliza kwa lipi au ndiyo muendelezo wa kukimbia hoja.
 
Wana Wazazi wao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukimwambia yeye wazazi wake wa kali walikua ni samaki atakubali kweli au akiambiwa yeye na bacteria walikua na mzazi mmoja atasemaje
 
facts, information, and skills acquired through experience or education; the theoretical or practical understanding of a subject.
Safi kabisa hapa tumeafikiana. Naomba uniambie ilikuwaje mpaka dunia ikawa hivi ilivyo na sisi wanadamu tukawa hivi tulivyo, yaani mwanzo wetu ulikuwaje ?

Ukijibu hili swali, kama kichwa chako chepesi katika kufikiria utakubali ya kuwa zile aya ambazo huwa zinathibitisha ukweli wa uwepo wa Allah ni kuwa lazima awepo aliye umba mwenye sifa zile tano na hii tunaiita "Self evident truth"

Usikimbie swali hata moja.
 
Mungu ni nomino ya dhahania , inayosemekana kuwa kitu chenye uwezo usio wa kawaida
Inasemekana kwa mujibu wa nani ?

Nani amekwambia Mungu ni Nomino ya Dhahania ? Au ni wewe ndiyo umetaja hili ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukimwambia yeye wazazi wake wa kali walikua ni samaki atakubali kweli au akiambiwa yeye na bacteria walikua na mzazi mmoja atasemaje
Mimi nitakuomba ushahidi wa hilo. Hili huonyesha ya kuwa ni lazima mtu useme jambo ambalo una uhakika nalo siyo unajisemea ilimradi.
 
Naomba nikuulize swali, DNA ni nini hasa na ni upi ukweli wa DNA ? Nani wa kwanza kuizungumzia hii DNA ?

Kipimo cha DNA msingi wake ni nini na majibu ya DNA uhakika wake ukoje ?

Leo nataka unipopoe mimi ninaye amini katika Mola muumba.

Unauliza swali la kitoto sana. Kazi ya jicho ni nini ? Bila shaka ni kazi moja kuona.

Una akili ndogo sana ya kushindwa kutambua umaalumu wa mwanadamu na viumbe vingine, huu ni udhaifu wa Wanasayansi wengi na nyinyi mnaingia mkenge hamumoji. Nani anae muendesha mwenzake ? Mwanadamu anamfuga Ng'ombe, mwanadamu ana muhudumia Ng'ombe ushawahi kuona wapi Ng'ombe akafanya anayo yafanya mwanadamu ? Hizi elimu zenu sijui zina shida gani ?

Sasa hapo kuna ukweli gani kijana ? Mwanadamu anaye sanifu mambo na kujua hatima yake, unaona hana tofauti na Ng'ombe kisa wote wana macho, hata mtoto mdogo hafikiri kijinga namna hii.

Kwanza kabla hatujafika katika porojo zako, mimi nitakuuliza maswali haya :

1. Virus ni nini hasa na habari za virus zilianza kuongelewa lini ?

2. Naomba tuthibitishie ya kuwa sisi evolution ndiyo imetufanya tubadilike na tuwe na structure tofauti ?

Sayansi ni dhaifu sana na Sayansi haipo kwa ajili ya kukupa ukweli kama ulivyo.
Bina damu hana umaalumu wowote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we are not as successful as bacteria au insects. Sasa nikuelezee DNA wewe huijui au unataka leta ligi.

mfano wa kusema binadamu yupo na umuhimu ngoja nikueleze kingine mfumo wa kinga ya mwili wa inate wa binadamu hauna tofauti na viumbo wengine wowote yani wako unafanana na wa mti. Mfumo wako wa acquired imune system hauna tofauti sana na wanyawa wote wenye uti wa mgongo.
 
Mimi nitakuomba ushahidi wa hilo. Hili huonyesha ya kuwa ni lazima mtu useme jambo ambalo una uhakika nalo siyo unajisemea ilimradi.
It is in your DNA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri sayansi imeshasogea sana Darwin alipata tabu kuelezea haya ila sisi sasa hivi mambo ni mepesi
 
Bina damu hana umaalumu wowote
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
we are not as successful as bacteria au insects. Sasa nikuelezee DNA wewe huijui au unataka leta ligi.
Naona mnaendeleza ujinga, mwanadamu kumfuga Ng'ombe hili si jambo maalumu kwa mwanadamu dhidi ya Ng'ombe ? Mwanadamu kusanifu Majengo hili si jambo maalumu dhidi ya Ng'ombe. Aisee kwa mtindo huu mtaendelea kuwa wajinga mpaka mnakufa.

Siijui DNA ndiyo maana nauliza. Inaonekana nyinyi ni mashabiki wa haya mambo yaani mnatuletea mavitu ambayo hamuwezi kuyatetea wala kuyajengea hoja. Sisi huwa tunasema hivi Wakana Mungu wote ni Wagonjwa wa AKILI.
mfano wa kusema binadamu yupo na umuhimu ngoja nikueleze kingine mfumo wa kinga ya mwili wa inate wa binadamu hauna tofauti na viumbo wengine wowote yani wako unafanana na wa mti. Mfumo wako wa acquired imune system hauna tofauti sana na wanyawa wote wenye uti wa mgongo.
Hili ndiyo tatizo la kujadiliana na watu wajinga yaani unayo yataja ni machache sana na yasiyo na uhalisia kuliko yale mengi ya uhalsia na yenye utofauti mkubwa sana.

Kijana wewe ni MJINGA tena mjinga hasa kwa kushindwa tu kung'amua utofauti uliopo kati yako na Ng'ombe yaani hujitambui na akili zako ndogo kuliko za mtoto.

Aisee, jf kuna watu wajinga sijapata kuona. Yaani mtu anashindwa kuona tofauti yake na umaalumu wake dhidi ya Ng'ombe, ajabu anasema Mungu hayopo na marejeo yako ni Sayansi. Wewe wa kupigwa makofi.
 
It is in your DNA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri sayansi imeshasogea sana Darwin alipata tabu kuelezea haya ila sisi sasa hivi mambo ni mepesi
Sasa shabiki si utuelezee hayo kuhusu DNA na ujibu maswali marahisi niliyo kuuliza ?

Unajua pale ulipo anza kutaja oo DNA mara sijui madaktari mara sijui scientist nikaona hapa kuna shabiki na si mtu mwenye maarifa.

Hay tu ni maswali mepesi sana nimekuuliza sasa je tukija kuzichambua hizi CELLS na mnavyotuhadithia namna zinavyofanya kazi na nikakuuliza maswali si utakimbia uzi kijana ?
 
Hoja yako ya kusema kutokuwa na uthibitisho sio kigezo cha kufanya jambo lisiwepo

Ndio sababu nimekupa mfano huo kuonesha huyo muuzaji ambaye anataka umpe hela hali ya kuwa hajaleta ushahidi wa kuonesha gari hilo ni kweli ana miliki

Badala yake anakuambia umpe tu hiyo hela kwani hata kama hana ushahidi sio kigezo cha kufanya gari hilo asiwe nalo
Ndio nimejibu kuwa sitompa hela kwa sababu sijaliona hilo gari ili kujiridhisha, anaweza kuwa kweli analo au hana ila issue ni kwamba ili nimpe hela nimetaka kuliona kwanza.
 
Back
Top Bottom