Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Kingine hakuna hoja niliyo ikimbia bali nilikupuuza sababu nilishakwambia hizo habari zinapatikana katika kipengele cha "Nasikh wa al Mansukh". Ajabu ukaweka maneno ambayo mlango wake umeshajieleza ya kuwa hizo habari zipo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh".
Hukunipuuza, hilo huwezi ukaniongopea

Kwasababu mwanzo nilipokupa pages ya sehemu ambayo ina hiyo Quote hukumakinika na kuangalia page nyingine tofauti ambayo haikuwa lengo langu, na ulipoona hiyo Quote haipo ukaleta screenshot hapa kama ushahidi kuni prove wrong kua nimepotosha (mpaka muda huo kwako hicho kitabu kilikuwa authentic)

Since nimeku correct kuwa hiyo page uliyoweka sio ambayo nimekuambia, na nikakuonesha na screenshot yake, hukurudi tena kuijibu hiyo hoja.

Matokeo yake umeanza ku flip maneno kua hicho sio kitabu kilichozungumza ukweli na kwamba inatakiwa nisome kitabu kilichaondikwa kwa lugha ya asili (kiarabu) ili niweze kugundua hilo. (kuanzia hapo kitabu ukakitoa authenticity)
 
Mimi ndiye niliyekuwa wakwanza kuleta habari za As Suyuti hapa nikimnukuu kwa moja ya Quote yake inayoonesha uchakachuaji wa Quran, pitia post #16 ambayo ndio post niliyoanza kuku reply utaliona hilo
Kijana naona sasa umeishiwa na hoja. Sawa jalia umeanza kumuongelea, sasa imebadilisha nini ? Iweje umekubali kuweka nakala ambayo kwenye kitabu halisi haipo ?

Kingine kuanza kumtaja haimaanishi kwamba ndiyo unamjua kunizidi mimi au ndiy umesoma kitabu chake hata hicho kitabu ulichokiweka kilichotafisiriwa kwa Kiingereza inaonyesha wazi hujakisoma, ndiyo maana umeruka moja kwa moja kwenye hiyo nukuu, na bila kujua hiyo "chapter" ina husu nini ? Huu ndiyo ujinga wa kutoku kusoma.

Kingine humu ndani nimekuwa nikimrejea Imamu Suyuti kwenye nyuzi kadhaa kabla hujamjua ? Sasa usipoteze muda kwenye hakuna.

Basi tufanye hayo unayo yataka yote ukonayo, kwamba unamjua vizuri Imamu Suyuti, kadhalika umeanza wewe kumtaja. Sasa ndiyo nini yaani baada ya hapo kinafata nini ?
 
Nimeilewa vizuri sana, na ndiyo maana nimekupa kazi, wewe si umedai hiyo translation ni ya kitabu cha Imamu Suyuti, sasa ukisoma kitabu cha Imamu Suyuti cha asili hukuti hayo maneno ya kwenywe ukurasa wa 13 aya ya mwisho, sasa nakupa kazi utuambie wameyatoa wapi ?

Hiyo si sahihi na yaliyomo katika kitabu cha Imamu Suyuti si hayo, na hayo maneno yanapewa nguvu na mapokezi mengine, yenye maana ambayo ameinukuu Imamu Suyuti na wanazuoni wengine, kwamba kuna aya zilikuwa zinashushwa kisha zinfutwa kwa amri ya Allah.
Hujaelewa halafu una ng'an'gana kusema umeelewa wakati unachokiandika ni irrelevant na ulicho kinukuu

Hiyo Quote it has nothing to do with deleted verses

Nukuu inaelezea upotevu wa aya we unakuja kuongea habari za kufutwa kwa amri ya Allah huoni kama unazungumzia kitu kingine nje na hiyo Quote?
 
Hukunipuuza, hilo huwezi ukaniongopea
Sawa,bali nilifanyaje ? Nilikimbia si ndiyo ? Sasa jambo ambalo ukiangalia tu hiyo translation uliyoiweka hayo maelezo unayakuta katika mlango wa aya zilizo futwa na zoezi hilo limefanyika kabla ya mtume kufariki.

Lakini kingine suala la kufutwa kwa aya nilikwambia kabla na nikakuwekea jina la kitabu urejee, lakini huenda ninayo yaongelea ni mapya kwako. Sasa unapopewa muongozo fuata ili usiendelee kuonekana mbambaishaji.
Kwasababu mwanzo nilipokupa pages ya sehemu ambayo ina hiyo Quote hukumakinika na kuangalia page nyingine tofauti ambayo haikuwa lengo langu, na ulipoona hiyo Quote haipo ukaleta screenshot hapa kama ushahidi kuni prove wrong kua nimepotosha (mpaka muda huo kwako hicho kitabu kilikuwa authentic)
Nakuuliza swali unakubali kama nilikueleza juu ya aya zilizo futwa katika Qur'aan unakubali ?

Kingine ishu ilikuwa ni wewe uyarejeshe yale maneno kwenye kile kipande ulicho screenshot kwenye kitabu asili lakini hukufanya hivyo.

Kuna maswali nimekuuliza naomba unijibu, maana naona unatafuta huruma.
Since nimeku correct kuwa hiyo page uliyoweka sio ambayo nimekuambia, na nikakuonesha na screenshot yake, hukurudi tena kuijibu hiyo hoja.
Sasa nirudi tena kujibu ujinga ambao nilishakujibu huko mwanzo, na ukisoma hicho hicho kitabu hayo maneno yabajielezea wazi kuwa yapo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh" hivi unajua maana ya hayo maneno ?

Kingine huu ndiyo utaratibu wangu napoona mtu namjibu hoja zake anarudia rudia huwa nashika njia naangalia hoja mpya. Siwezi kupoteza muda na mjinga, sababu mtu makini na anaye taka kujua ukweli ushahidi mmoja utamfaa na kumtosheleza lakini mtu mbishi na asiyetaka ukweli hata umpe hoja au shahidi elfu hakubali, na huyu ndiyo wewe.

Au wewe unataka nikwambie nilikimbia, nikaenda kusoma si ndiyo au unataka nikupe jibu gani ? Au nikwambie swali lako lilikuwa gumu nikaenda kusoma ? Jalia vyote hivyo, haya kimebadilika nini ? Kijana unapoteza muda kwenya hakuna.
Matokeo yake umeanza ku flip maneno kua hicho sio kitabu kilichozungumza ukweli na kwamba inatakiwa nisome kitabu kilichaondikwa kwa lugha ya asili (kiarabu) ili niweze kugundua hilo. (kuanzia hapo kitabu ukakitoa authenticity)
Nani kati yangu mimi na wewe alikuwa anamshauri mwenzake asome kitabu cha asili ? Bila shaka ni mimi. Hizi translation nyingi huwa hazikidhi haja, kingine watu wengi wanafanya mambo kwa udanganyifu,labda kama wewe si msomaji wa vitabu, sisi wengine vitabu ndiyo maisha yetu, vitabu ndiyo mapambo yetu yaani hatuwezi kuishi nila mavitabu.

Huu ushauri huwa tunaambiwa na walimu na sisi tunawaambia nyinyi vijana, maana yake unapaswa usljifunze lugha kama unataka kuwa mtafiti na upate kile hasa kilichokusudiwa, wapo watu kibao wanaamua kujifunza lugha fulani kwa lengo kufanya utafiti fulani.

Sijasema hicho kimeandika uongo, nimesema hicho kipande ulichokikusudia wewe kwenuye kitabu asili hakipo, sasa nakuuliza wewe kimetoka wapi ? Lakini hujaona kama nimekubali ya kuwa hayo ya humo yapo katika mlango wa "Nasikh wa al Mansukh" kama ilivyo kwenye kitabu cha asili, na ndiyo maana nasisitiza kwamba kwanini hukusoma hiyo translation na ukaona fika kwamba hayo yamo kwenye chapter hiyo ya aya zilizo futwa ? Sasa ujinga wako usiutafutie upenyo, wewe kubali tu kwamba hili limekushinda na hoja huna.

Sasa nakuambia hivi, kwa mtindo huu unao enda nao wa "shortcut" hautakufikisha kokote. Bora upoteze miaka na mikaka kujifunza jambo na ukapatia kuliko kupita mapito unayo pita.
 
Hujaelewa halafu una ng'an'gana kusema umeelewa wakati unachokiandika ni irrelevant na ulicho kinukuu

Hiyo Quote it has nothing to do with deleted verses

Nukuu inaelezea upotevu wa aya we unakuja kuongea habari za kufutwa kwa amri ya Allah huoni kama unazungumzia kitu kingine nje na hiyo Quote?
Kijana naona unipotezea muda, kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza. Nimekuuliza kwanini hayo maneno unayakuta katika chapter hiyo ya "Nasikh wa al Mansukh" ? Soma hiyo translation yako kisha uniambie unajua nini kuhusu "Nasikh wa al Mansukh". Nilikuuliza huko juu kwanini hayo yamewekwa katika mlango huo ?

Nukuu, uliyo iweka nimekwambia umeipata wapi na haipo katika vyanzo vyoyote vya vitabu vya asili vya Uislamu, hukuti kwenye vitabu vya hadithi wala huikuti kwenye kitabu cha Imamu Suyuti, na Imamu Suyuti ana kitabu kingine kinaitwa "An-Nuqaayah".

Uwe una jibu maswali unayo ulizwa.
 
Weww ndiyo husomi ninacho kiandika, hiyo nukuu yako haipo katika vyanzo vyote vya kutegemewa katika Uislamu, hata hicho kitabu cha Imamu Suyuti hiyo nukuu haipo, ndiyo maana nimekupa kazo utafute kitabu cha asili cha Imamu Suyuti cha Al-Itiqaan hukuti hiyo nukuu. Huelewi wapi kijana ?

Sasa sababu wewe hujui, nakuuliza swali la msingi, ukisoma katika hiyo translation yako utaona hayo maneno yapo katika chapter isomekayo "Nasikh and Mansukh" kwanza naomba unipe maana yake na uniambie kwanini hiyo nukuu ipo katika chapter hiyo ? Kama inaongelea aya zilizo kosekana ? Hili lazima ulijibu.
Utetezi wako bado ni mwepesi sana hauwezi kutumika kwenye hoja nzito kama ile, kwakua umejua kua sikijui kiarabu basi umechukulia hiyo kama opportunity ku refute hoja kwa madai ya kwamba original version ya kiarabu kitupu ndio imeongea kweli?

Nasikh maana yake "deleted" na Mansukh maana yake "removed"

Maneno haya nayahusikaje kwenye Quote hii
"None of you should say that he has full knowledge of the Quran; how could
he know what full knowledge is! So much of the Quran has passed him by! Let him say instead:
I have taken of the Quran that which was present."

Hayo maneno hayahusiani kabisa na nukuu hiyo, hiyo nukuu haizungumzii kufutwa au kuondolewa, inazungumzia upotevu na ndio maana nasisitiza kua hujaelewa
 
Utetezi wako bado ni mwepesi sana hauwezi kutumika kwenye hoja nzito kama ile, kwakua umejua kua sikijui kiarabu basi umechukulia hiyo kama opportunity ku refute hoja kwa madai ya kwamba original version ya kiarabu kitupu ndio imeongea kweli?

Nasikh maana yake "deleted" na Mansukh maana yake "removed"

Maneno haya nayahusikaje kwenye Quote hii
"None of you should say that he has full knowledge of the Quran; how could
he know what full knowledge is! So much of the Quran has passed him by! Let him say instead:
I have taken of the Quran that which was present."

Hayo maneno hayahusiani kabisa na nukuu hiyo, hiyo nukuu haizungumzii kufutwa au kuondolewa, inazungumzia upotevu na ndio maana nasisitiza kua hujaelewa
Swali maneno hayo na vitendo hivyo vimefanyika Mtume akiwa hai au akiwa amekufa ?

Hiyo nukuu haipo kwenye hicho kitabu cha Imamu Suyuti.

Pili, kwa maana ya nukuu iliyopo kwenye kitabu cha Imamu Suyuti, swahaba Ibn Umar alikuwa ana maanisha kuwa sababu kuna aya zilifutwa.

Tatu, sababu hoja yako unainasibisha na kipindi cha ukusanywaji wa Qur'aan uongo wa hoja hiyo unaingia hapo.

Naomba unionyeshe hiyo nukuu wapi inaonyesha upotevu ?

Na kuna ile uliyo sema 200 ukamnasibisha nayo mama Aisha, nikakuomba uniwekee ushahidi hujaweka mpaka muda huu.

Kingine kama unavyodai ya kuwa hayo maneno hayazungumziia nasikh na mansukh,kwanini tunayaona katika huo mlango (chapter) wa Nasikh na Mansukh ? Hapa nakuonyesha kwa namna gani hujui unachokidai
 
Naomba niwekee hiyo quote ambayo ndani kuna hiyo tarakimu 200 kama ilivyo. Kijana wewe husomi okoteza okoteza tu.
Ngoja kwanza hapo hapo

Kumbe unakubaliana kuwa Quran ime miss verse ambazo zilitakiwa kuwepo ila utata uko kwenye idadi sio?

Umeomba Quote haya hii hapa

1646900502605.png
 
Hili suala la Ubay bin Ka'ab lina maelezo yake tumalize kwanza na hili la kwenye post namba 141.
Haina shida kama umeomba iwe hivyo ila kumbuka nayo ni hoja ya msingi ya kuzingatia kwasababu inalenga yale ninayo yadai kwenye hiyo post uliyo mention, inaonesha uchakachuzi wa Quran na kuifanya ikose authenticity
 
Hapa swali nakuuliza hiyo aya haikuwepo tangu lini ? Sababu ukisoma katika mlango wa aya zilizo futwa na hii nilikwambia hapo kabla hizi zilifutwa kipindi mtume yuko hai, na ndiyo maana ukisoma kwenye Qur'aan huikuti hiyo aya ila hukumi yake ipo inafanya kazi. Haya yanafahamila hata kabla ya Qur'aan haijakusanywa soma kipengele hicho kwenye kitabu cha Imamu Suyuti ameelezea haya.
Hiyo verse haikuwepo baada ya collection ya Quran kufanyika na ndio maana zipo nukuu za mke wa muhammad Aisha akithibitisha hilo kwa kusema kipindi cha muhhamad verse zilikua 200 ukisoma lakini after Uthman collection zimekuwa 73
 
Haina shida kama umeomba iwe hivyo ila kumbuka nayo ni hoja ya msingi ya kuzingatia kwasababu inalenga yale ninayo yadai kwenye hiyo post uliyo mention, inaonesha uchakachuzi wa Quran na kuifanya ikose authenticity
Naanzia hapa. Shida unayo leta wewe ni kulazimisha mambo yawe unavyo taka wewe na si kuwa ni hona ya msingi, sababu ungesoma tu kitabu cha Imamu Suyuti ameyaongelea hayo mambo na hii Translation yako ukiyo iweka imekosa mambo mengi sana imekosa chambuzi za kihadithi alizo ziweka Imamu Suyuti, ndiyo maana nakusihi usome kitabu cha asili, ila naamini mwisho wa siku utakubali kimya kimya.

Hilo unalosema haliwezi kuifanya Qur'aan isiwe sahihi sababu maelezo yake yapo na hapa nitakuelezea nataka tumalizane na hili la hiyo nukuu ambayo hatuikuti katika kitabu cha asili.
 
Hiyo verse haikuwepo baada ya collection ya Quran kufanyika na ndio maana zipo nukuu za mke wa muhammad Aisha akithibitisha hilo kwa kusema kipindi cha muhhamad verse zilikua 200 ukisoma lakini after Uthman collection zimekuwa 73
Nataka uniwekee hiyo nukuu inayo taja aya 200.

Hili jambo liko wazi sana na Imamu Suyuto ameliezea pia. Kama ushawahi kusikia ishu ya Msahafu wa Swahaba Ubay Ibn Ka'ab, huo ulikuwa na sura mbili moja iliitwa Khal na Hafd, wengine wanasema hizo hazikuwa sura bali zilikuwa dua ambazo zilikuwa zinasomwa kwenye Qunut na mtume alizifuta kipindi cha uhai wake. Rejea kitabu Al-Itiqaan cha Imamu Suyuti katika mlango wa Nasikh wa al-Mansukh.
 
Swali langu la msingi kwanini hizi habari unazikuta katika mlango (chapter) ya "Nasikh wa al Mansukh" ? Jibu hili swali.

Swali je maswahaba walikuwa wanaifanyia kazi au la ?
Kwani kuna ubaya gani wa kuifanya habari iliyokaa kwenye hiyo chapter ionekane ya uwongo?

Hiyo nukuu ya Aisha ipo kwenye variant sources na inaungwa mkono, nashangaa unapo propose hoja nyepesi kabisa kufifisha uzito wa hoja kama hiyo

Angalia hii ni source nyingine ambayo haina hiyo chapter ya "Nasikh wa al Mansukh" na usome hapo halafu kafananishe na kwenye kile kitabu nilichokupatia

1646901508570.png
 
Makundi tofauti tofauti kama makundi ya dini na makundi wasiokuwa na dini.
Sasa mimi ndio nimetaka kujua ni kipi hicho kifanyike ili ndio iwe uthibitisho?
Kwani hayo makundi mpaka yakaweka madai kua Mungu yupo walitumia uthibitisho kujua au walitumia namna gani?
 
Kilugha lina maana kubwa na linatumika, na kuna wakati hutumika kuelezea au kujibu swali kilicho kuwepo.

Kijana unauliza maswali ya kitoto sana.
Kwanini litumike kuelezea kisichokuwepo ikiwa kama haiwezekani hata kuwa na wazo la kisichopo?
 
Haya mambo ya kawaida sana katika elimu, kijana unaonekana mgeni katika haya mambo.

Katika elimu ya hadithi kuna kitu kinaitwa "Takhrij" kuyarudisha maneno au habari kwenye asili yake, katika watu walikuwa wanazusha habari za uongo na kujisabisha nazo ndiyo hapo wakaamua watu kuingia ndani zaidi kufanya utafiti.

Hayo maneno uliyo yaweka huyakuti katika kitabu cha asili cha imamu Suyuti wala kitabu cha Hadithi za mtume zaidi utayakuta katika Tafsiri ya mwanachuoni mmoja, sasa nakuuliza wewe swali imekuwaje tumeyakuta humo na kwenye kitabu cha asili hayamo ?
Unavyosema tumeyakuta hayapo, unakuwa unajihusisha wee na nani?

Yani unani combine na mimi kwenye madai yako kuwa wote tumekubaliana kuwa hayo maneno hayapo?

Unatumia mbinu ya kutojua kiarabu kama weakness kuni manipulate kirahisi?

Kwa hiyo ni hoja yako kuwa tupuuze translation ya vitabu vyote na tu-focus kwenye lugha ya asili kwakua huko ndio ukweli ulipo?
 
Kijana unapiambiwa kwamba wewe ni mjinga na kweli ni mjinga hiyo ni lugha mbaya ? Huo ni mfano tu.
The personal character of an individual is logically irrelevant to the truth or falseness of the argument itself

Mimi pia nina kauli mbaya za kuudhi, amini kwamba tukikubaliana tutumie mfumo huo hapa basi huu mjadala utaisha kwa mmoja kupigwa ban
 
Kwa nini wawe na imani na uongozi wake?
Neno hilo kama ulivyolitumia hapo linatumika kimakosa na wanasiasa.
Ilitakiwa litumikaje?

kama wanasiasa wanalitumia kimakosa nakupa mfano mwingine

Najua kwamba muda wowote mahali popote kifo kinaweza kunikuta lakini usiku kabla ya kulala na set alarm ya kuniamsha

Hiyo utaiweka kwenye kundi lipi?
 
Kijana naona sasa umeishiwa na hoja. Sawa jalia umeanza kumuongelea, sasa imebadilisha nini ? Iweje umekubali kuweka nakala ambayo kwenye kitabu halisi haipo ?

Kingine kuanza kumtaja haimaanishi kwamba ndiyo unamjua kunizidi mimi au ndiy umesoma kitabu chake hata hicho kitabu ulichokiweka kilichotafisiriwa kwa Kiingereza inaonyesha wazi hujakisoma, ndiyo maana umeruka moja kwa moja kwenye hiyo nukuu, na bila kujua hiyo "chapter" ina husu nini ? Huu ndiyo ujinga wa kutoku kusoma.

Kingine humu ndani nimekuwa nikimrejea Imamu Suyuti kwenye nyuzi kadhaa kabla hujamjua ? Sasa usipoteze muda kwenye hakuna.

Basi tufanye hayo unayo yataka yote ukonayo, kwamba unamjua vizuri Imamu Suyuti, kadhalika umeanza wewe kumtaja. Sasa ndiyo nini yaani baada ya hapo kinafata nini ?
Kitabu halisi hayo ni madai yako ambayo umeyaweka kwa dhumuni maalumu la kukwepa hoja

Umeweka madai ifahamike translation imepotosha na ukweli sahihi upo kwenye kitabu cha asili (ambacho unajua siwezi ku decode lugha yake)

Kama ni hivyo basi mambo yasingekuwa simple hivyo kwa maana hata biblia ya leo ya kikristo haikuandikwa kiswahili au kingereza lakini bado mmekuwa mkikosoa kupitia hizo hizo translation
 
Back
Top Bottom